Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Akija atekwe akabidhiwe mikononi mwa majeshi ya DRC
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akija atekwe akabidhiwe mikononi mwa majeshi ya DRC
Sasa atakama angekuwepo yule unavyomuona angeongea nn la maana!Mama hayupo labda aonane ka ☎️
Jambo moja la ajabu kuhusu chuki ni kuwa hummaliza/humuumiza aliyonayo kuliko anayetupiwa asiye na hatia..............mafanikio makubwa kabisa ambayo jitu lenye chuki na wivu anaweza kuwa nayo ni kuwa mchawi tu basi.Sasa atakama angekuwepo yule unavyomuona angeongea nn la maana!
Huyu mtu anaitesa Afrika Mashariki hasa Congo DR kwa mambo yake ya kupenda vita.Kumekuwa na wimbi la wakimbizi,vifo,vilema,familia kupotezana,chuki,hasira,njaa,udumavu wa ukuaji kiuchumi,uporaji wa maliasili hasa za DRC,utapakaaji wa silaha haramu na hatari za moto,kuibuka kwa vitendo vya wanyang'anyi wenye silaha za moto,ubakaji,ujangili kwenye mbuga na hifadhi za wanyama,ulegevu wa masuala ya kisiasa,kutokuaminiana,kuogopana,kudharauliana,kuhariibu miundombinu ya elimu,usafiri,maji na umeme,kuzua matabaka ya wababe,walionacho wachache na mafukara wengi.Kwa hayo madhila,PK hana maana na hafai kwenye jamii ya waliostaarabika.Hana tofauti na Joseph Kony au Kibwetere.Akija atekwe akabidhiwe mikononi mwa majeshi ya DRC
Tutawaookea lakini kama wanyarwanda tutawaookea na tutawapiga sana na kuwanyanyasaTanzania tujiandae kupokee wakimbizi
Kuna watu ajira zao zinategemea wakimbizi na wanaomba Vita itokee ajira zao ziendelee kuwepo.Tanzania tujiandae kupokee wakimbizi
Kutokana na kile kinachoendelea kati ya DRC & Rwanda natabiri rais mrefu kuliko wote East Afrika kufanya ziara ya ghafla sana nchini Tanzania ili kuweka mambo sawa
Mama hajarudi pamoja na tetesi zote za vita ndani ya jumuia? Au kuhusu video 19 huko Victoria?Mama hayupo labda aonane ka [emoji3513]
Walisaidia nini? Mseveni alikuwa na agenda yake ya muda mrefu ambayo mpaka leo anafaidika nayo.Mkumbuke huyu jamaa na mseveni walitusaidia vita ya Uganda siyo mnapayuka tu
Pole sana kijana wa 1990Walisaidia nini? Mseveni alikuwa na agenda yake ya muda mrefu ambayo mpaka leo anafaidika nayo.
Tuliwasaidia M7 mpaka kesho anaihudumia familia ya Mwalimu Nyerere kwa msaada aliompa.Mkumbuke huyu jamaa na mseveni walitusaidia vita ya Uganda siyo mnapayuka tu