Rais wa Senegal avunja Bunge kwa madai ya Kuvutana na Mhimili wa Serikali

Rais wa Senegal avunja Bunge kwa madai ya Kuvutana na Mhimili wa Serikali

Black Butterfly

Senior Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
130
Reaction score
368
1726207574821.png

Rais Bassirou Diomaye Faye amevunja Bunge linaloongozwa na Upinzani kwa kile kilichoelezwa ni kuondoa mvutano uliopo kati ya Wabunge na Mhimili wa Serikali.

Hatua hiyo inakuja ikiwa ni miezi 6 tu tangu Serikali mpya ilipoingia Madarakani huku akieleza Bunge hilo linaloongozwa na upinzani limefanya iwe vigumu kwake kutekeleza 'Mabadiliko ya Kimfumo' aliyoahidi wakati wa kampeni.

Baadhi ya Wabunge wamedai Rais Faye na Waziri Mkuu Ousmane Sonko wamekuwa wakiendesha Serikali na Bunge kwa masilahi yao ya kisiasa. Aidha, Rais Faye amesema Uchaguzi wa Wabunge utafanyika Novemba 17, 2024.


Senegal’s President Bassirou Diomaye Faye dissolved the country’s opposition-led National Assembly on Thursday in a bid to break the tension between the legislature and the executive branch.

In a national address, Faye said snap elections will be conducted on Nov. 17 this year.

“By virtue of the powers conferred on me by Article 87 of the Constitution, and after consulting the Constitutional Council on the right date, the Prime Minister and the President of the National Assembly, on the expediency, I dissolve the National Assembly,” he said.

The move came six months after Faye was elected under an opposition platform.

He said the opposition-dominated legislature had made it hard for him to carry out the “systemic transformation” he promised during campaigns.

He asked voters to give his Patriots of Senegal for Work, Ethics and Fraternity (PASTEF) party a mandate.

The outgoing house, elected in 2022, was dominated by members of former President Macky Sall’s Benno Bokk Yakaar (United in Hope) coalition.

Tension between the executive and the legislature was reported recently after opposition lawmakers cancelled a budget debate and threatened to table a motion to censure the government.

The Benno Bokk Yakaar parliamentary group criticized the dissolution, saying it was aimed at avoiding the submission of a motion to censure the government by the parliamentary majority.

In a statement, the group accused President Faye and Prime Minister Ousmane Sonko of “manipulating institutions to serve their own political interests.”

“This dissolution is a blatant attempt to silence the parliamentary opposition and avoid any democratic debate on the management of the country,” said Abdou Mbow, president of the majority parliamentary group.

ANADOLU/AFP
 
View attachment 3094676
Rais Bassirou Diomaye Faye amevunja Bunge linaloongozwa na Upinzani kwa kile kilichoelezwa ni kuondoa mvutano uliopo kati ya Wabunge na Mhimili wa Serikali.

Hatua hiyo inakuja ikiwa ni miezi 6 tu tangu Serikali mpya ilipoingia Madarakani huku akieleza Bunge hilo linaloongozwa na upinzani limefanya iwe vigumu kwake kutekeleza 'Mabadiliko ya Kimfumo' aliyoahidi wakati wa kampeni.

Baadhi ya Wabunge wamedai Rais Faye na Waziri Mkuu Ousmane Sonko wamekuwa wakiendesha Serikali na Bunge kwa masilahi yao ya kisiasa. Aidha, Rais Faye amesema Uchaguzi wa Wabunge utafanyika Novemba 17, 2024.



Senegal’s President Bassirou Diomaye Faye dissolved the country’s opposition-led National Assembly on Thursday in a bid to break the tension between the legislature and the executive branch.

In a national address, Faye said snap elections will be conducted on Nov. 17 this year.

“By virtue of the powers conferred on me by Article 87 of the Constitution, and after consulting the Constitutional Council on the right date, the Prime Minister and the President of the National Assembly, on the expediency, I dissolve the National Assembly,” he said.

The move came six months after Faye was elected under an opposition platform.

He said the opposition-dominated legislature had made it hard for him to carry out the “systemic transformation” he promised during campaigns.

He asked voters to give his Patriots of Senegal for Work, Ethics and Fraternity (PASTEF) party a mandate.

The outgoing house, elected in 2022, was dominated by members of former President Macky Sall’s Benno Bokk Yakaar (United in Hope) coalition.

Tension between the executive and the legislature was reported recently after opposition lawmakers cancelled a budget debate and threatened to table a motion to censure the government.

The Benno Bokk Yakaar parliamentary group criticized the dissolution, saying it was aimed at avoiding the submission of a motion to censure the government by the parliamentary majority.

In a statement, the group accused President Faye and Prime Minister Ousmane Sonko of “manipulating institutions to serve their own political interests.”

“This dissolution is a blatant attempt to silence the parliamentary opposition and avoid any democratic debate on the management of the country,” said Abdou Mbow, president of the majority parliamentary group.

ANADOLU/AFP
NILIONA JUZI HII NIKASEMA HAPA SOLN KUJITIA MHANGA NA KUVINJA BUNGE WAPAMBANE NA HALIZAO

WALISAHAU MAMLAKA YA RAISI....SASA WATAISOMA NO...

KILA ALIVHOPELEKA KUJADILIWA WANAPINGA AKHA
 
View attachment 3094676
Rais Bassirou Diomaye Faye amevunja Bunge linaloongozwa na Upinzani kwa kile kilichoelezwa ni kuondoa mvutano uliopo kati ya Wabunge na Mhimili wa Serikali.

Hatua hiyo inakuja ikiwa ni miezi 6 tu tangu Serikali mpya ilipoingia Madarakani huku akieleza Bunge hilo linaloongozwa na upinzani limefanya iwe vigumu kwake kutekeleza 'Mabadiliko ya Kimfumo' aliyoahidi wakati wa kampeni.

Baadhi ya Wabunge wamedai Rais Faye na Waziri Mkuu Ousmane Sonko wamekuwa wakiendesha Serikali na Bunge kwa masilahi yao ya kisiasa. Aidha, Rais Faye amesema Uchaguzi wa Wabunge utafanyika Novemba 17, 2024.



Senegal’s President Bassirou Diomaye Faye dissolved the country’s opposition-led National Assembly on Thursday in a bid to break the tension between the legislature and the executive branch.

In a national address, Faye said snap elections will be conducted on Nov. 17 this year.

“By virtue of the powers conferred on me by Article 87 of the Constitution, and after consulting the Constitutional Council on the right date, the Prime Minister and the President of the National Assembly, on the expediency, I dissolve the National Assembly,” he said.

The move came six months after Faye was elected under an opposition platform.

He said the opposition-dominated legislature had made it hard for him to carry out the “systemic transformation” he promised during campaigns.

He asked voters to give his Patriots of Senegal for Work, Ethics and Fraternity (PASTEF) party a mandate.

The outgoing house, elected in 2022, was dominated by members of former President Macky Sall’s Benno Bokk Yakaar (United in Hope) coalition.

Tension between the executive and the legislature was reported recently after opposition lawmakers cancelled a budget debate and threatened to table a motion to censure the government.

The Benno Bokk Yakaar parliamentary group criticized the dissolution, saying it was aimed at avoiding the submission of a motion to censure the government by the parliamentary majority.

In a statement, the group accused President Faye and Prime Minister Ousmane Sonko of “manipulating institutions to serve their own political interests.”

“This dissolution is a blatant attempt to silence the parliamentary opposition and avoid any democratic debate on the management of the country,” said Abdou Mbow, president of the majority parliamentary group.

ANADOLU/AFP
Ni hatua nzuri kwa democrasia ya nchi, yao sio kwetu tunao tumia ubabe kulazimishwa kupata wabunge wanao tuunga mkono.
 
View attachment 3094676
Rais Bassirou Diomaye Faye amevunja Bunge linaloongozwa na Upinzani kwa kile kilichoelezwa ni kuondoa mvutano uliopo kati ya Wabunge na Mhimili wa Serikali.

Hatua hiyo inakuja ikiwa ni miezi 6 tu tangu Serikali mpya ilipoingia Madarakani huku akieleza Bunge hilo linaloongozwa na upinzani limefanya iwe vigumu kwake kutekeleza 'Mabadiliko ya Kimfumo' aliyoahidi wakati wa kampeni.

Baadhi ya Wabunge wamedai Rais Faye na Waziri Mkuu Ousmane Sonko wamekuwa wakiendesha Serikali na Bunge kwa masilahi yao ya kisiasa. Aidha, Rais Faye amesema Uchaguzi wa Wabunge utafanyika Novemba 17, 2024.



Senegal’s President Bassirou Diomaye Faye dissolved the country’s opposition-led National Assembly on Thursday in a bid to break the tension between the legislature and the executive branch.

In a national address, Faye said snap elections will be conducted on Nov. 17 this year.

“By virtue of the powers conferred on me by Article 87 of the Constitution, and after consulting the Constitutional Council on the right date, the Prime Minister and the President of the National Assembly, on the expediency, I dissolve the National Assembly,” he said.

The move came six months after Faye was elected under an opposition platform.

He said the opposition-dominated legislature had made it hard for him to carry out the “systemic transformation” he promised during campaigns.

He asked voters to give his Patriots of Senegal for Work, Ethics and Fraternity (PASTEF) party a mandate.

The outgoing house, elected in 2022, was dominated by members of former President Macky Sall’s Benno Bokk Yakaar (United in Hope) coalition.

Tension between the executive and the legislature was reported recently after opposition lawmakers cancelled a budget debate and threatened to table a motion to censure the government.

The Benno Bokk Yakaar parliamentary group criticized the dissolution, saying it was aimed at avoiding the submission of a motion to censure the government by the parliamentary majority.

In a statement, the group accused President Faye and Prime Minister Ousmane Sonko of “manipulating institutions to serve their own political interests.”

“This dissolution is a blatant attempt to silence the parliamentary opposition and avoid any democratic debate on the management of the country,” said Abdou Mbow, president of the majority parliamentary group.

ANADOLU/AFP
Kwani ana uhakika atashinda ikiwa ndani ya miezi 6 ameonekana Kushindwa? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C_1Z-EjNenf/?igsh=MW54bXJha3FsbTV3OA==
 
View attachment 3094676
Rais Bassirou Diomaye Faye amevunja Bunge linaloongozwa na Upinzani kwa kile kilichoelezwa ni kuondoa mvutano uliopo kati ya Wabunge na Mhimili wa Serikali.

Hatua hiyo inakuja ikiwa ni miezi 6 tu tangu Serikali mpya ilipoingia Madarakani huku akieleza Bunge hilo linaloongozwa na upinzani limefanya iwe vigumu kwake kutekeleza 'Mabadiliko ya Kimfumo' aliyoahidi wakati wa kampeni.

Baadhi ya Wabunge wamedai Rais Faye na Waziri Mkuu Ousmane Sonko wamekuwa wakiendesha Serikali na Bunge kwa masilahi yao ya kisiasa. Aidha, Rais Faye amesema Uchaguzi wa Wabunge utafanyika Novemba 17, 2024.



Senegal’s President Bassirou Diomaye Faye dissolved the country’s opposition-led National Assembly on Thursday in a bid to break the tension between the legislature and the executive branch.

In a national address, Faye said snap elections will be conducted on Nov. 17 this year.

“By virtue of the powers conferred on me by Article 87 of the Constitution, and after consulting the Constitutional Council on the right date, the Prime Minister and the President of the National Assembly, on the expediency, I dissolve the National Assembly,” he said.

The move came six months after Faye was elected under an opposition platform.

He said the opposition-dominated legislature had made it hard for him to carry out the “systemic transformation” he promised during campaigns.

He asked voters to give his Patriots of Senegal for Work, Ethics and Fraternity (PASTEF) party a mandate.

The outgoing house, elected in 2022, was dominated by members of former President Macky Sall’s Benno Bokk Yakaar (United in Hope) coalition.

Tension between the executive and the legislature was reported recently after opposition lawmakers cancelled a budget debate and threatened to table a motion to censure the government.

The Benno Bokk Yakaar parliamentary group criticized the dissolution, saying it was aimed at avoiding the submission of a motion to censure the government by the parliamentary majority.

In a statement, the group accused President Faye and Prime Minister Ousmane Sonko of “manipulating institutions to serve their own political interests.”

“This dissolution is a blatant attempt to silence the parliamentary opposition and avoid any democratic debate on the management of the country,” said Abdou Mbow, president of the majority parliamentary group.

ANADOLU/AFP
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
In most cases Huwa siwakubali watu waliotokea Upinzani Kwa sababu Huwa wanawajaza Wananchi uongo na matumaini ambayo hayapo yaani utapeli wa Kisiasa tofauti na wenzetu.

Mnapofanya kampeni muwe mnawaeleza watu ukweli sio kupinga Kila kitu na kudanganya
 
In most cases Huwa siwakubali watu waliotokea Upinzani Kwa sababu Huwa wanawajaza Wananchi uongo na matumaini ambayo hayapo yaani utapeli wa Kisiasa tofauti na wenzetu.

Mnapofanya kampeni muwe mnawaeleza watu ukweli sio kupinga Kila kitu na kudanganya
Tatizo Siyo kwamba "Watu waliotokea Upinzani," bali tatizo ni akili mbovu sana miongoni mwa Watu weusi wengi zaidi.

Kama amelivunja Bunge eti kwa sababu 'Bunge hilo linaongozwa na Upinzani ambao wamesababisha mivutano na mhimili wa Serikali.' Je, hali itakuwaje endapo kama Wananchi wa nchi hiyo ya Senegal wataamua Tena kuwachagua Wabunge wengi zaidi kutoka kwenye vyama vya Upinzani na Kisha bunge hilo kuongozwa na Upinzani Tena? Je, atalivunja Tena bunge Hilo? Atalivunja mara ngapi??
 
View attachment 3094676
Rais Bassirou Diomaye Faye amevunja Bunge linaloongozwa na Upinzani kwa kile kilichoelezwa ni kuondoa mvutano uliopo kati ya Wabunge na Mhimili wa Serikali.

Hatua hiyo inakuja ikiwa ni miezi 6 tu tangu Serikali mpya ilipoingia Madarakani huku akieleza Bunge hilo linaloongozwa na upinzani limefanya iwe vigumu kwake kutekeleza 'Mabadiliko ya Kimfumo' aliyoahidi wakati wa kampeni.

Baadhi ya Wabunge wamedai Rais Faye na Waziri Mkuu Ousmane Sonko wamekuwa wakiendesha Serikali na Bunge kwa masilahi yao ya kisiasa. Aidha, Rais Faye amesema Uchaguzi wa Wabunge utafanyika Novemba 17, 2024.



Senegal’s President Bassirou Diomaye Faye dissolved the country’s opposition-led National Assembly on Thursday in a bid to break the tension between the legislature and the executive branch.

In a national address, Faye said snap elections will be conducted on Nov. 17 this year.

“By virtue of the powers conferred on me by Article 87 of the Constitution, and after consulting the Constitutional Council on the right date, the Prime Minister and the President of the National Assembly, on the expediency, I dissolve the National Assembly,” he said.

The move came six months after Faye was elected under an opposition platform.

He said the opposition-dominated legislature had made it hard for him to carry out the “systemic transformation” he promised during campaigns.

He asked voters to give his Patriots of Senegal for Work, Ethics and Fraternity (PASTEF) party a mandate.

The outgoing house, elected in 2022, was dominated by members of former President Macky Sall’s Benno Bokk Yakaar (United in Hope) coalition.

Tension between the executive and the legislature was reported recently after opposition lawmakers cancelled a budget debate and threatened to table a motion to censure the government.

The Benno Bokk Yakaar parliamentary group criticized the dissolution, saying it was aimed at avoiding the submission of a motion to censure the government by the parliamentary majority.

In a statement, the group accused President Faye and Prime Minister Ousmane Sonko of “manipulating institutions to serve their own political interests.”

“This dissolution is a blatant attempt to silence the parliamentary opposition and avoid any democratic debate on the management of the country,” said Abdou Mbow, president of the majority parliamentary group.

ANADOLU/AFP
Siasa za Africa ni kizungumkuti. Maigizo maigizo tu huku hali za wananchi zikiendelea kuzorota. Halafu baadae utasikia wazungu hawataki tuendeleee 😀😀😀😀😀
 
Tatizo Siyo kwamba "Watu waliotokea Upinzani," bali tatizo ni akili mbovu sana miongoni mwa Watu weusi wengi zaidi.

Kama amelivunja Bunge eti kwa sababu 'Bunge hilo linaongozwa na Upinzani ambao wamesababisha mivutano na mhimili wa Serikali.' Je, hali itakuwaje endapo kama Wananchi wa nchi hiyo ya Senegal wataamua Tena kuwachagua Wabunge wengi zaidi kutoka kwenye vyama vya Upinzani na Kisha bunge hilo kuongozwa na Upinzani Tena? Je, atalivunja Tena bunge Hilo? Atalivunja mara ngapi??
Exactly.. Tu assume kwamba watu wakachagua tena wengi wa upinzani kwahiyo atavunja tena?, Sisi kimsingi bado tuna safari ndefu sana.
 
NILIONA JUZI HII NIKASEMA HAPA SOLN KUJITIA MHANGA NA KUVINJA BUNGE WAPAMBANE NA HALIZAO

WALISAHAU MAMLAKA YA RAISI....SASA WATAISOMA NO...

KILA ALIVHOPELEKA KUJADILIWA WANAPINGA AKHA
Maana alishindwa kuwaua Wabunge wote wanaoipinga Serikali yake na kuweka Wabunge wake wanaendana na yeye
 
In most cases Huwa siwakubali watu waliotokea Upinzani Kwa sababu Huwa wanawajaza Wananchi uongo na matumaini ambayo hayapo yaani utapeli wa Kisiasa tofauti na wenzetu.

Mnapofanya kampeni muwe mnawaeleza watu ukweli sio kupinga Kila kitu na kudanganya
Kwenye demokrasia hakuna watu wenye "asili" ya upinzani au wenye "asili" ya utawala. Ni suala la kupokezana na wananchi ndio waamuzi kuhusu nani anakuwa upande upi wakati gani.

Sasa hiyo kusema watu waliotokea upinzani, haina mantiki yoyote. Achana na hali ya Tanzania ambayo ni unique (yenye chama tawala na wapinzani wa kudumu). Has no global application.

Muhimu elezea "mlengo" (ideology) wa huyo kiongozi usiokubaliana nao: liberal, conservative, socialist, communist, dictator, pragmatic, idealistic, populist, hardliner, etc.

Kuhusu kujaza wananchi uongo hakuna mwenye monopoly, watawala wa kudumu ndio nyenzo yao kuu - propaganda.
 
Ni hatua nzuri kwa democrasia ya nchi, yao sio kwetu tunao tumia ubabe kulazimishwa kupata wabunge wanao tuunga mkono.
Lakini si Mulikubaliana Hamkuandamana wa kupiga kelele na Bahati alitangulia mungejuwa kama chumvi sio Sukari
 
Back
Top Bottom