Rais wa Senegal avunja Bunge kwa madai ya Kuvutana na Mhimili wa Serikali

Rais wa Senegal avunja Bunge kwa madai ya Kuvutana na Mhimili wa Serikali

sasa gentleman,
sasa ukiangalia hata hapa nchini, mathalani Hashimu Rungwe Sipunda kashinda uchaguzi mkuu na amekua Rais na ana wabunge wa3 tu wa chama chake bungeni kuna kitu anaweza kufanya kweli?

hata avunje bunge mara30 hawez kupata wabunge wa kumsaidia kuendesha nchi....
Lazima auende serikali ya umoja wa kitaifa sio kuvunja bunge anaweza akawakosa hata hao watatu alonao....


Faye na Songo wana kiburi mno, walidhani wanapendwa na wananchi kumbe wananchi walimchukia na kuchoka uongozi wa Maki Sali tu...

sasa fuatilia vizuri uchaguzi wa hilo bunge jipya, utagundua hata wale wabunge wachache wa vyama vya Faye na sonko hawarudi bungeni na wale wa kilichokua chama Tawala wanaongezeka na wanakua zaidi ya 98% bungeni, hawatamaliza miaka mitano akina Faye wataondoshwa mamlakani....

suluhisho pekee na muhimu sana ni kuunda serikali ya umoja wa kitaifa pakee na wasonge mbele 🐒
Wale vidomodomo awalambishe asali. Ubabe hautasaidia.
 
Wale vidomodomo awalambishe asali. Ubabe hautasaidia.
Unafikiri Watu wote waliopo kwenye nchi hiyo ya Senegal ni 'raia misukule' kama ilivyo kwa hapa Tanzania? Wapo baadhi ya watu Siyo rahisi hata kidogo kuweza kuwahonga eti kusudi kuwaziba midomo ili wafumbie macho uovu unaofanywa na Serikali. It is not possible to silence them easily.
 
Unafikiri Watu wote waliopo kwenye nchi hiyo ya Senegal ni 'raia misukule' kama ilivyo kwa hapa Tanzania? Wapo baadhi ya watu Siyo rahisi hata kidogo kuweza kuwahonga eti kusudi kuwaziba midomo ili wafumbie macho uovu unaofanywa na Serikali. It is not possible to silence them easily.
Demokrasia na maendeleo havikai pamoja. Waafrika tunapoteza sana muda kwenye kupingana wakati wenzetu huwa kitu kimoja kwenye jambo lenye maslahi ya taifa.
 
In most cases Huwa siwakubali watu waliotokea Upinzani Kwa sababu Huwa wanawajaza Wananchi uongo na matumaini ambayo hayapo yaani utapeli wa Kisiasa tofauti na wenzetu.

Mnapofanya kampeni muwe mnawaeleza watu ukweli sio kupinga Kila kitu na kudanganya
Wewe unamlaumu huyo jamaa kwa madai yako kuwa ameshindwa kutekeleza aliyoyaahidi, unashindwa kuelewa kushindwa huko kunaanzia bungeni ambako wanamkwamisha.
Mimi huyo rais simkunali, ile siyo kwa hoja za kindezi na kishabiki
 
Back
Top Bottom