sasa gentleman,
sasa ukiangalia hata hapa nchini, mathalani Hashimu Rungwe Sipunda kashinda uchaguzi mkuu na amekua Rais na ana wabunge wa3 tu wa chama chake bungeni kuna kitu anaweza kufanya kweli?
hata avunje bunge mara30 hawez kupata wabunge wa kumsaidia kuendesha nchi....
Lazima auende serikali ya umoja wa kitaifa sio kuvunja bunge anaweza akawakosa hata hao watatu alonao....
Faye na Songo wana kiburi mno, walidhani wanapendwa na wananchi kumbe wananchi walimchukia na kuchoka uongozi wa Maki Sali tu...
sasa fuatilia vizuri uchaguzi wa hilo bunge jipya, utagundua hata wale wabunge wachache wa vyama vya Faye na sonko hawarudi bungeni na wale wa kilichokua chama Tawala wanaongezeka na wanakua zaidi ya 98% bungeni, hawatamaliza miaka mitano akina Faye wataondoshwa mamlakani....
suluhisho pekee na muhimu sana ni kuunda serikali ya umoja wa kitaifa pakee na wasonge mbele 🐒