imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sorry, nilidhani unaniuliza France wamepata faida gani?...Djibouti inapata Dola millioni 30 kila mwaka halafu local economy pia inafaidika kuwepo na maelfu ya Askari na familia zao ambao hununua kwenye Market zao Maduka yao nk.Ndio faida waliopata Djibouti hio
Askari wakilipwa mishahara Bar Nightclubs za Waisilamu wa Djibouti hupata maelfu ya Wateja.