Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta), Tumaini Nyamhokya, waliokumbwa na vyeti feki wanalipwa kwa formular ipi?

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta), Tumaini Nyamhokya, waliokumbwa na vyeti feki wanalipwa kwa formular ipi?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Wakati Rais Samia anatangaza kuongeza watumishi mishahara kwa 23% wengi walifurahia ila mwishoni wengi waliambulia Tsh 12,000 kwenye mishahara yao baada ya kukatwa kodi.

Sasa hii ya watumishi wenye kesi ya Jinai ya kufoji vyeti kulipwa mafao yao wafafanulie ni kiasi gani wanalipwa Ili wajianjae kisaikologia.
Kuna kila dalili mtumishi kulipwa laki sita Za mafao yao Ili Hali wengine wss as na mawazo potovu ya kupokea mamilioni.

Ninajiuliza serikali ya awamu ya tano samia alikuwa makamu wa Rais, akaona watumishi wa vyeti feki wakiondolewa kazini Mbona alipiga kimya Leo kaibuka kivingine?
 
Wakati Rais Samia anatangaza kuongeza watumishi mishahara kwa 23% wengi walifurahia ila mwishoni wengi waliambulia Tsh 12,000 kwenye mishahara yao baada ya kukatwa kodi.

Sasa hii ya watumishi wenye kesi ya Jinai ya kufoji vyeti kulipwa mafao yao wafafanulie ni kiasi gani wanalipwa Ili wajianjae kisaikologia.
Kuna kila dalili mtumishi kulipwa laki sita Za mafao yao Ili Hali wengine wss as na mawazo potovu ya kupokea mamilioni.

Ninajiuliza serikali ya awamu ya tano samia alikuwa makamu wa Rais, akaona watumishi wa vyeti feki wakiondolewa kazini Mbona alipiga kimya Leo kaibuka kivingine?
Rais ana dhamira njema kwa walioonewa hapo nyuma na Magufuli sasa wewe inakuuma nini mwacheni yeye ndiye Rais, linalokushinda wewe kwa Rais Samia ni jambo dogo, umeelewa we Mmachame gang.
 
Hivi najiuliza swali hapa nakosa jibu na jawabu, ikatokea saivi kuna mtumishi kagundulika tena alifoji cheti ila huko nyuma kwa bahati Afisa Utumishi wake alimlinda..

Itakuwaje?, atashitakiwa kwa kufoji nyaraka? au atafukuzwa kazi?..kwa ground ipi?

Ikatokea mtu kaomba kazi na kapata, siku anawasilisha vyeti vyake olijino ikagundulika ni feki atafukuzwa/nyimwa kazi? na ataambiwa una vyeti feki na ilihali wenye nyaraka feki wanalipwa?

Mama namuunga mkono sana lakini kwenye hili HAPANA. Bora wangetaftwa graduates kama elfu kumi, wakapewa Haya mabilioni na kuwezeshwa ardhi malaki ya hekari wakaanzishe kilimo cha mazao ingepunguza njaa Tanzania na hata kwa majirani zetu!

Kupanga ni kuchagua!
 
Wakati Rais Samia anatangaza kuongeza watumishi mishahara kwa 23% wengi walifurahia ila mwishoni wengi waliambulia Tsh 12,000 kwenye mishahara yao baada ya kukatwa kodi.

Sasa hii ya watumishi wenye kesi ya Jinai ya kufoji vyeti kulipwa mafao yao wafafanulie ni kiasi gani wanalipwa Ili wajianjae kisaikologia.
Kuna kila dalili mtumishi kulipwa laki sita Za mafao yao Ili Hali wengine wss as na mawazo potovu ya kupokea mamilioni.

Ninajiuliza serikali ya awamu ya tano samia alikuwa makamu wa Rais, akaona watumishi wa vyeti feki wakiondolewa kazini Mbona alipiga kimya Leo kaibuka kivingine?
Inakuuma watumishi hao kulipwa wakati wametoa huduma? Eti unasema vyeti feki una hakika wote hao ilikuwa vyeti feki. Kuna madakrari wana degree halali kabisa na wametibu hadi karibia kustaafu halafu waliondolewa tu kisa cheti cha form Iv sio halali. Swali la nsingi la kujiuliza katika utumishi wao hawakutoa huduma?
Kuna watu wamejawa cbuki dhidi ya watumishi wa serikali, kazi yao ni kushambulia watumishi.

Mimi kwa maoni yangu wale wenye vyeti halali vya taaluma hata kama cheti chake cha Iv alibadili pass ya baadhi ya masomo bado anastahili kulipwa mafao pamoja na pensheni ikiwa ametumikia walau miaka 15.
 
Haina formula hii
Ni utapata kiasi chako ulichochangia tu i.e 5% kwa wengi
Sio cha mwajiri
 
Wastaafu wenye vyeti halali wanasotea mafao yao halafu mnarukia kulipa wenye vyeti feki.
 
Wakati Rais Samia anatangaza kuongeza watumishi mishahara kwa 23% wengi walifurahia ila mwishoni wengi waliambulia Tsh 12,000 kwenye mishahara yao baada ya kukatwa kodi.

Sasa hii ya watumishi wenye kesi ya Jinai ya kufoji vyeti kulipwa mafao yao wafafanulie ni kiasi gani wanalipwa Ili wajianjae kisaikologia.
Kuna kila dalili mtumishi kulipwa laki sita Za mafao yao Ili Hali wengine wss as na mawazo potovu ya kupokea mamilioni.

Ninajiuliza serikali ya awamu ya tano samia alikuwa makamu wa Rais, akaona watumishi wa vyeti feki wakiondolewa kazini Mbona alipiga kimya Leo kaibuka kivingine?
We ni kilaza tu kama umesikia kuwa watalipwa halafu hukusikia watalipwaje unakuja huku kumuuliza nani wakati umesikia.
Kaa chini sikiliza kwa kutulia utajua watalipwa nini
 
We ni kilaza tu kama umesikia kuwa watalipwa halafu hukusikia watalipwaje unakuja huku kumuuliza nani wakati umesikia.
Kaa chini sikiliza kwa kutulia utajua watalipwa nini
Mtumishi alikatwa Tsh 5,000 mwaka 2000 leo unamrudishi fedha ile ile inasema vyeti feki wamelipwa fedha zao.
 
Mtumishi alikatwa Tsh 5,000 mwaka 2000 leo unamrudishi fedha ile ile inasema vyeti feki wamelipwa fedha zao.
Dhana hapa ni kurejeshewa alichokatwa, kumbuka pia payee hukatwa baada ya makato ya nssf/psssf hivyo hiyo refund inatakiwa ikatwe kodi maana syo mafao tena
 
Bora kakufa zake.ona ss wanateseka wengi kwa maamuzi ya hajabu
 
Bora kakufa zake.ona ss wanateseka wengi kwa maamuzi ya hajabu
Nasoma comment zao nashikwa na butwaa Kama vile wanafurahiya maisha kwa wenzao yanapokuwa magumu.

Naona yanavyodondoka huko barabarani na roho zao mbaya Kama za ibilisi.

Hawa ndiyo wale wakienda kwenye sherehe wanachukua chakula hata Mara tano wengine wakose na hashibi. Akiweka kwenye malboro Cha kwenda nyumbani bado atalalamika sherehe Jana ilikuwa mbaya sana.

Watu wa namna hii ni dangerous kabisa.

Tunaounga mkono tuipongeze serikali kwa kuwa na utu. Tuache kurudi nyuma yaliyopita yamepita. Mfumo Sasa ufanye kazi.
 
Kuna dokta mmoja alimuharibu mtoto wa watu kwa kumfanyia tohara vibaya hadi kupelekea mtoto wa watu uume wake hausimami tena.. baadae akatumbuliwa kwakuwa hakuwa na vyeti halali,Sasa nijiuliza na yeye atapewa mafao yake dahh🤔

Yule mtoto hakupata haki yeyote licha ya mzazi kwenda mahakamani
 
Wakati Rais Samia anatangaza kuongeza watumishi mishahara kwa 23% wengi walifurahia ila mwishoni wengi waliambulia Tsh 12,000 kwenye mishahara yao baada ya kukatwa kodi.

Sasa hii ya watumishi wenye kesi ya Jinai ya kufoji vyeti kulipwa mafao yao wafafanulie ni kiasi gani wanalipwa Ili wajianjae kisaikologia.
Kuna kila dalili mtumishi kulipwa laki sita Za mafao yao Ili Hali wengine wss as na mawazo potovu ya kupokea mamilioni.

Ninajiuliza serikali ya awamu ya tano samia alikuwa makamu wa Rais, akaona watumishi wa vyeti feki wakiondolewa kazini Mbona alipiga kimya Leo kaibuka kivingine?
Hii ni fursa kwa wakubwa watafanya sana malipo hewa ya waliokufa, na majina yao mengine, faida inaenda Kwa muibua hoja na sio wanufaika wa hoja watainlate kwenye nyaraka pia ila wanufaika watapata Pesa Ndoige
 
Back
Top Bottom