Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta), Tumaini Nyamhokya, waliokumbwa na vyeti feki wanalipwa kwa formular ipi?

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta), Tumaini Nyamhokya, waliokumbwa na vyeti feki wanalipwa kwa formular ipi?

Hii ni fursa kwa wakubwa watafanya sana malipo hewa ya waliokufa, na majina yao mengine, faida inaenda Kwa muibua hoja na sio wanufaika wa hoja watainlate kwenye nyaraka pia ila wanufaika watapata Pesa Ndoige
Sasa tuungane wapate chochote Cha kuwasaidia sio kuwatukana na kumtetea yule kuwadi. Ingekuwa ni vizuri tukaungana wakapewa hata yakutosha. Wanasema maisha huwa hayataboriki leo kwa kesho kwako.

Hawa ni wenzetu hatakama walifanya makosa yarekebishwe tuende pamoja. Tusiwaombee wenzetu mabaya kuishi ni baraka za mungu na maisha ni safari ndefu.

Tusiwaombee mabaya mungu anafanyakinyume. Anaefurahia mateso ya mwenzake anasepa na anazikwa na yule aliyekuwa anamwombea mabaya sio ajabu akamchangia hata hela ya geneza.

Haya ni mapito. Hayo makaravati yalianza kujengwa na mkoloni hawakumaliza mpaka leo.
 
Sasa tuungane wapate chochote Cha kuwasaidia sio kuwatukana na kumtetea yule kuwadi. Ingekuwa ni vizuri tukaungana wakapewa hata yakutosha. Wanasema maisha huwa hayataboriki leo kwa kesho kwako.

Hawa ni wenzetu hatakama walifanya makosa yarekebishwe tuende pamoja. Tusiwaombee wenzetu mabaya kuishi ni baraka za mungu na maisha ni safari ndefu.

Tusiwaombee mabaya mungu anafanyakinyume. Anaefurahia mateso ya mwenzake anasepa na anazikwa na yule aliyekuwa anamwombea mabaya sio ajabu akamchangia hata hela ya geneza.

Haya ni mapito. Hayo makaravati yalianza kujengwa na mkoloni hawakumaliza mpaka leo.
Hadhari kabla ya hatari ni muhimu sana. Serikali illibiwa miaka yote. Wizi au udanganyifu haujawahi kuota Nuru ya huruma, wizi ni wizi, udanganyifu haifai ni kesi ya uhujumu uchumi. Zingatia hilo. Basically hapa serikali inawanufaisha wahujumu uchumi badala ya kuwafungulia kesi ya uhujumu uchumi.

Huruma na kusamehe hakupingwi kwa hio bila husda tunampongeza mwenye wazo na inshallah atimize dhamira iwe yenye mafanikio makubwa. Tunaitaka pesa kwenye mzunguko ije.
 
We ni kilaza tu kama umesikia kuwa watalipwa halafu hukusikia watalipwaje unakuja huku kumuuliza nani wakati umesikia.
Kaa chini sikiliza kwa kutulia utajua watalipwa nini
Kagombea uvccm pale Hai kapigwa chini ana hasira balaa.
 
Hii ni fursa kwa wakubwa watafanya sana malipo hewa ya waliokufa, na majina yao mengine, faida inaenda Kwa muibua hoja na sio wanufaika wa hoja watainlate kwenye nyaraka pia ila wanufaika watapata Pesa Ndoige
Rais wa shirisho na kamati yake na serikali zihakikishe kila anayestahili kulipwa analipwa pesa yake wajanja wasichinje pesa zao. Tunawatukana hapa ni wezi wa vyeti lakini wezi wamebaki maofisini humo. Ikiwezekana wawe wameshajua malipo ya hawa watu kulingana na mwaka walioajiriwa. Waandishi msaidie kuwapambania baba, mama, kaka, Dada shangazi, wajomba ndugu na jamii kwa ujumla. Raisi anataka aone wametendewa haki.

Sio watu waliajiriwa 1980 anakuja kulipwa milioni moja. Italeta malalamiko na chuki zitaongezeka zaidi. Na huyu mtu anaweza kufa kwa hasira kwa sababu wamemwongezea stress.
 
Wakati Rais Samia anatangaza kuongeza watumishi mishahara kwa 23% wengi walifurahia ila mwishoni wengi waliambulia Tsh 12,000 kwenye mishahara yao baada ya kukatwa kodi.

Sasa hii ya watumishi wenye kesi ya Jinai ya kufoji vyeti kulipwa mafao yao wafafanulie ni kiasi gani wanalipwa Ili wajianjae kisaikologia.
Kuna kila dalili mtumishi kulipwa laki sita Za mafao yao Ili Hali wengine wss as na mawazo potovu ya kupokea mamilioni.

Ninajiuliza serikali ya awamu ya tano samia alikuwa makamu wa Rais, akaona watumishi wa vyeti feki wakiondolewa kazini Mbona alipiga kimya Leo kaibuka kivingine?
Nimeliangalia swali lako hapo mwisho,halafu nikafungua kitabu kinachomuelezea "simba wa Yuda".Naandaa jibu.
 
Hadi Serikali imekubali
Itakua sio hela kubwa/wanaimudu
Sio kiasi kidogo bilioni 43,sema kwa kuwa sio pesa za serikali ni zao wenyewe walizokuwa wana changia kwenye mifuko ya jamii japo hata kama ingetaka kuwadhurumu ingeweza kufanya hivyo tu,kama ilivyokuwa tayari imefanyika.kwa awamu ya tano
 
Sio kiasi kidogo bilioni 43,sema kwa kuwa sio pesa za serikali ni zao wenyewe walizokuwa wana changia kwenye mifuko ya jamii japo hata kama ingetaka kuwadhurumu ingeweza kufanya hivyo tu,kama ilivyokuwa tayari imefanyika.kwa awamu ya tano
Naona kama ni afadhali flani kwao
Si sawa na bure
 
Wafute tu uchaguzi wa 2020 maana ulikua batili.
 
Tukubali waliokuwa wahanga wa wa vyeti feki ni baba zetu, mama zetu, wajomba zetu, shangazi zetu, kaka zetu, dada zetu ila kwa hili la kuwalipa ni kuwafanya watanzania hawana akili ila mwenye akili ni rais pekee yake. Ukweli mchungu rais Samia kwa hili umefuja fedha za watanzania, itakapo kuja sheria ya rais kushitakiwa akitoka madarakani, kwa hili watanzania watakushitaki kwa kufuja fedha zao.
 
Nchi hii Kuna mahali tumemkosea Mwenyezi Mungu kwanini mambo rahisi yanakuwa magumu? Haiitajiki Elimu kubwa kujua kwamba mambo ya utumishi yanaongozwa na sheria tatizo hatupendi sheria kufuata mkondo wake Jambo hili ni rahisi Sana kama likipelekwa kwenye tasnia ya sheria.
Tatizo la wanaotafsiri sheria litafutiwe ufumbuzi haraka ili wasiwe bias angalia Leo hii Muhamiaji haramu anavyoishi Nchini Kwa KUVUNJA sheria na anapigiwa makofi na wazawa wahamiaji haramu wanafanya watakavyo wananunua hata Ardhi huku sheria zetu zipo na wanazivunja Kwa kuwatumia walioshika dhamana.
Tuzifanye sheria zetu kutekelezeka.
 
Hata mishahara ilikua batili kwa sababu waliitumikia serikali ilihali wameingia kwa njia batili..unavosema wamechuma kwa jasho..jasho gan ilo..wakati ata mshahara hawakustahili
Hawalipwi! Wanarudishiwa michango yao.
Ni fedha zao walizochuma kwa jasho ambazo zilikuwa zinakatwa kwenye mishahara yao.
 
Wakati Rais Samia anatangaza kuongeza watumishi mishahara kwa 23% wengi walifurahia ila mwishoni wengi waliambulia Tsh 12,000 kwenye mishahara yao baada ya kukatwa kodi.

Sasa hii ya watumishi wenye kesi ya Jinai ya kufoji vyeti kulipwa mafao yao wafafanulie ni kiasi gani wanalipwa Ili wajianjae kisaikologia.
Kuna kila dalili mtumishi kulipwa laki sita Za mafao yao Ili Hali wengine wss as na mawazo potovu ya kupokea mamilioni.

Ninajiuliza serikali ya awamu ya tano samia alikuwa makamu wa Rais, akaona watumishi wa vyeti feki wakiondolewa kazini Mbona alipiga kimya Leo kaibuka kivingine?
JPM aliona kama vile anafanya maamuzi magumu kufukuza watu kazini kumbe ni kupalilia laana juu ya uongozi wake.

Medical Assistant aliyefoji vyeti anayefanya kazi kwenye zahanati huko Handeni au Bugarama Ngara tangu mwaka 1984 ameponya afya za kinamama wangapi na matatizo ya ujauzito kwa muda wote aliotumikia taifa lake?. Hata kama hana haki kwa sababu ya cheti chake fake, vipi kuhusu huduma yake halisia na yenye kuokoa maisha ya watu aliyoifanya huko alipoajiriwa kwa miaka yote hiyo?.

Maamuzi mengine ni magumu lakini yalikosa chembe ya ubinadamu katika utekelezaji wake. Usimtazame aliyefoji vyeti akawa meneja au akaishia kufanya kazi humu mijini kama Dar au Arusha, shuka chini kabisa uone namna walivyookoa maisha ya watu kila siku licha ya upungufu wa elimu zao.
 
Kuna dokta mmoja alimuharibu mtoto wa watu kwa kumfanyia tohara vibaya hadi kupelekea mtoto wa watu uume wake hausimami tena.. baadae akatumbuliwa kwakuwa hakuwa na vyeti halali,Sasa nijiuliza na yeye atapewa mafao yake dahh🤔

Yule mtoto hakupata haki yeyote licha ya mzazi kwenda mahakamani
Hii ni ajali kama iliyofanywa Muhimbili miaka ya nyuma operation ya mguu kufanywa kichwani na yule wa kichwa kufanyiwa ya mguu na walikuwa ni madaktari wenye vyeti halali.

Wenye vyeti feki sio wote walioharibu kazi, kuna wakunga wengi sana wamezalisha maelfu ya watu huko mikoani wakiwa na vyeti feki, tusiwanyanyape mno watu.
 
Wakati Rais Samia anatangaza kuongeza watumishi mishahara kwa 23% wengi walifurahia ila mwishoni wengi waliambulia Tsh 12,000 kwenye mishahara yao baada ya kukatwa kodi.

Sasa hii ya watumishi wenye kesi ya Jinai ya kufoji vyeti kulipwa mafao yao wafafanulie ni kiasi gani wanalipwa Ili wajianjae kisaikologia.
Kuna kila dalili mtumishi kulipwa laki sita Za mafao yao Ili Hali wengine wss as na mawazo potovu ya kupokea mamilioni.

Ninajiuliza serikali ya awamu ya tano samia alikuwa makamu wa Rais, akaona watumishi wa vyeti feki wakiondolewa kazini Mbona alipiga kimya Leo kaibuka kivingine?
Sio mafao , wanarudishiwa michango yao
 
JPM aliona kama vile anafanya maamuzi magumu kufukuza watu kazini kumbe ni kupalilia laana juu ya uongozi wake.

Medical Assistant aliyefoji vyeti anayefanya kazi kwenye zahanati huko Handeni au Bugarama Ngara tangu mwaka 1984 ameponya afya za kinamama wangapi na matatizo ya ujauzito kwa muda wote aliotumikia taifa lake?. Hata kama hana haki kwa sababu ya cheti chake fake, vipi kuhusu huduma yake halisia na yenye kuokoa maisha ya watu aliyoifanya huko alipoajiriwa kwa miaka yote hiyo?.

Maamuzi mengine ni magumu lakini yalikosa chembe ya ubinadamu katika utekelezaji wake. Usimtazame aliyefoji vyeti akawa meneja au akaishia kufanya kazi humu mijini kama Dar au Arusha, shuka chini kabisa uone namna walivyookoa maisha ya watu kila siku licha ya upungufu wa elimu zao.
Vipi wale wenye vyeti feki ambao waliua watu kutokana na kukosa weledi, nao watarudishiwa michango yao?
 
Back
Top Bottom