Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amekutana leo na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Oluseguni Obasanjo.
Taarifa zaidi kutolewa
========
Rais wa Jamhuri ya Muungano leo Mei 3, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olesegun Obasanjo.
Rais Mstaafu, Obasanjo ametoa salamu zake za rambirambi kwa Mhe. Rais Samia kufutia vifo vya waliokuwa marais wa Tanzania ambao ni Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Magufuli.
Aidha wamezungumzia hali ya usalama barani Afrika na umuhimu wa wakuu wa Nchi kujadiliana na kutafuta suluhisho la migogoro ambayo inasababisha vifo vya watu hasa wanawake na watoto
Pia wamezungumzia masuala ya maendeleo hasa katika uchumi na kusisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kuongeza na kuondoa vikwazo vya biashara na uwekezaji.
Taarifa zaidi kutolewa
========
Rais wa Jamhuri ya Muungano leo Mei 3, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olesegun Obasanjo.
Rais Mstaafu, Obasanjo ametoa salamu zake za rambirambi kwa Mhe. Rais Samia kufutia vifo vya waliokuwa marais wa Tanzania ambao ni Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Magufuli.
Aidha wamezungumzia hali ya usalama barani Afrika na umuhimu wa wakuu wa Nchi kujadiliana na kutafuta suluhisho la migogoro ambayo inasababisha vifo vya watu hasa wanawake na watoto
Pia wamezungumzia masuala ya maendeleo hasa katika uchumi na kusisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kuongeza na kuondoa vikwazo vya biashara na uwekezaji.