Rais wa TFF amewaonya waandishi wa habari kutomuuliza swali lolote Rais wa FIFA kuhusu Zanzibar!

kwa hiyo mnahofia hilo swali likiulizwa litavunja muungano???
Hakuna anayehifia kuvunjwa muungano, kwa sababu,
Muungano wetu ulipoundwa, ulidhamiriwa kuwa ni muungano wa milele ndio maana hauna kipengele cha kuvunjwa muungano.

Sio physical binding ya two items such that you can separate them, its a chemical reaction by fusion, two nations zimekuwa fused into one na ikazaliwa new product, hivyo you can't separate the two!.

Wanaepuka kitu kinachoitwa an embarrassing situation kufuatia Fifa kuwa na wanachama kibao ambao sio members wa UN, then why not Zanzibar?!. Hilo swali likiulizwa litatukumbusha issue ya OIC!.
P
 
k
kwanini wasimwache ajibu mwenyewe.Aulizwe tu
Tanzania ya leo, tunajenga taifa lenye nidhamu, ambalo linahitaji waandishi wa habari wenye nidhamu ambao wanapangiwa cha kuuliza. Wandishi wenye nidhamu, watauliza maswali mazuri tuu yenye majibu rahisi ya kufurahisha na kupendeza. Maswali magumu yanayohitaji majibu makini kujibu sintofahamu mbalimbali, hayahitajiki.
P
 
Naona watawala wa tanganyika wanadhidi kutokua na busara sasa mnara wa baberi ushafika mwisho

Hili la pili sasa la kwanza lilikua la kabudi kama busara isipochukua mkondo wake basi muungano ushafika mwisho
 
Inasemekana Malinzi alisaidia sana Zanzibar kuingia CAF na akatilia mkazo kupata uanachama wa FIFA.
Kosa hilo ndio linamsotesha Rumande mpaka leo.
Ameingizwa kwenye list ya wapinga muungano.
Kesi ya uhujumu ni geresja tu.
Hivyo huyu TFF anajua ameambiwa nini na ndio amchofanya.
Tanganyika haitaki Zanzibar iwemo FIFA ...inaifanya kama koloni lake
 
Tff n wa mama pamoja Na rais wake
 
Kwenye soka analeta siasa, basi maswali yaandikwe waweke vikaratasi kwenye kapu ili jamaa awe anaokota mwenyewe maana umaweza kupotezwa baada ya kuuliza swali!
 
Hapo ndipo huwa nawakumbuka waandishi wa gazeti la Mfanyakazi enzi za mwalimu walikuwa makini na hawajatokea wa kufanana nao hadi leo!
 
Nyie waandishi wa habari hamjielewi kabisa au ndio hivyo kuna mapungufu sana katika taaluma na mafunzo yenu.Kwa mawazo yangu hata hii nidhamu na hekima ya kujua kipi cha kuuliza na kwa wakati gani ni mpaka mpangiwe na mtu mwingine mwenye hekima ambaye kasomea uhasibu.Kwa hapo ni vizuri maswali yenu mengi basi mpangiwe au kama ni kwa waandishi wa habari wa Tanzania tu ndio wanatakiwa kupangiwa maswali basi tutakuwa na waandishi wa habari wa ovyo kuliko Nchi zote Duniani.Vyuoni mlisoma nini hivi nyie mpaka sisi wenye taaluma nyingine tuwapangie kazi zenu kwasababu eti hatuamini nidhamu na hekima zenu
 
Sasa hilo ndiyo liwe swali la kwanza kabisa kumuuliza huyo rais wa Fifa.

Na amekuja huku shithole kufanya nini??

Kasema mkiuliza anajua namna ya kulibabaisha mpaka halitojibiwa!

Hahahahaha, sijuti kuwa Mbongo
 
huyo sijui mama cannula ndo nani namsikia sikia
Ni yule muigizaji anayeigiza mpaka ugonjwa wake akachangiwa pesa ya matibabu akaenda India kwa matibabu... Shida Ikaja ile mirija ya kuwekewa drip au damu Kuna kakifaa kinaitwa CANNULA alikosea KUKAIGIZA.... Akachomeka ndivyo sivyo akajiselfie akapost hapo ndipo watu wakaanza kumuita mama cannula maana hata mwanafunzi wa nursing hawezi kukosea
 
Kwani soka ni suala la muungano ? Ndio tanganyika ukatae zanz wasiwe wanachama ?
 
Nashukuru mkuu johnthebaptist umeliona hili.

Hivi hii nchi kwa nini siasa imeteka kila kitu?!

Tunaenda wapi johnthebaptist?!

Njia pekee ya yeye kuepuka hilo swali ni kutoa maelezo ya kutosha sababu za zanzibar kunyimwa huo uanachama ili waandishi kwa akili zao waone hakuna haja ya kuuliza swali hilo.
On another note, hivi wadau hasa wa soka ni kina nani nchi hii? inaelekea wanaolalamikia maendeleo ya soka na uongozi wa TFF sio wale wapigaji wa kura, ndiyo maana tunapata viongozi ambao inabidi uwe geneous kuelewa sifa na uhusiano wao na soka ukiacha Leodgrad Tenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…