Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N'a huo ndiyo ukweli. Kwani lazima Yanga Wacha Musonye atafute timu nyingine. Mbona hapo nyuma Simba na Yanga hszikwenda South Sudan n'a mashindano yaliendelea bila shida yeyote ? Kama ni fedha za viingilio mmepigia Hesabu tayari, imekula kwenu CECAFA. Tafuteni timu nyingine acheze n'a mjadala ufungwe. Kama adhabu fungia hata maisha Yanga isishiriki mashindano yenu full stop.Huyu Karia ni mshabiki mkubwa wa Simba aache upuuzi Simba mechi zote wanabebwa na marefa
Kweni lazima Yanga washiriki hilo kombe? Washiposhiriki hayo mashindano hayatafanyika?....Simba nyie nendeni tu kuna timu nyingi tu nzuri kama Gor Mahia mtacheza nazoMpira unachezwa hadharani, haya eleza namna Simba inabebwa ili kila mmoja afahamu hapa
Yaani kupangwa kundi moja ndo kuibeba Simba?
Mbona KCC ya Uganda imejitoa na wala sio nongwa..alafu Simba mwaka Jana alikuwa bingwa???si angojee mwakaniKama rekodi inakubeba shiriki basi kombe. Unaleta risala ya marehemu hapa ambayo haisaidii kitu kwa wakati huu
Wewe umeumwaga baada ya kuona kundi moja na Mnyama Mkali[emoji3][emoji3]
Hizo takwimu za kuhistoriwa hazina mashikoNakumbusha tu.
Rudi nyuma kuanzia mwaka 1935 mpaka mwaka 2018. Kusanya H2H za hawa wagalatia hasa hasa kwenye vipengele vya
1. nani amefunga mechi nyingi dhidi ya mwenzake.?
2. nani amemfunga mwenzake jumla ya mabao lukuki mwenzake.?
Ukisha kusanya hizo takwimu mpatie mleta uzi aziambatannishe kwenye uzi hapo uu ili tujue nani anamkimbia mwenzake.
Siimbaaaaaaaaakwani kagame bila yanga haifanyiki? kama mlikopa hela ya maandalizi kwa kutegemea mapato ya uwanjani ya yanga basi imekula kwenu,na tutafurahi kama mtatufungia ili mfurahi na roho zenu
Watapigwa faini!wapeleke U-18
kwann mkuu wa[igwe fine na wameleta wachezaj wao halali?Watapigwa faini!
Kujitoa kwenye mashindano ni kosa.WataadhibiwaHivi ikitokea vyura hawajatengua uamuzi wa kujitoa itakuwaje?