Rais wa TFF, Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu Celestine Mwesigwa washikiliwa na TAKUKURU

Waende tu bhana.
Kwanza walitubania point zetu.
Safari hii wao ndo wakaripoti FIFA
Vitambi vinawatoka kwa mapato ya getini na pengine rushwa zimo ndani ya hivyo vitambi.
 
hahahahaha,tulisema humu kuwa jamaa ana faili lake pale upanga tukaitwa watu zengwe,sasa nasikia hata mmoja wa kiongozi wa club kongwe nae faili lake liko tayari
 
Hahahahaah we jamaa umenifanya nicheke kwa sauti ofisini. hahaha ipogolo shikamoo Mkuu
Marahaba. Ukaguzi wa 2013 leo ndio majibu yanatoka.
Ukaguzi wa 2016/7 utatoka magufuli akiwa rais mstaafu.
Angalia boss asikufukuze mkuu.
 
Reactions: Mj1
Safi sana TAKUKURU, mtusaidie na kibiti kule kuna watu wanatusumbua
 
Marahaba. Ukaguzi wa 2013 leo ndio majibu yanatoka.
Ukaguzi wa 2016/7 utatoka magufuli akiwa rais mstaafu.
Angalia boss asikufukuze mkuu.
Tayari first warning nshapewa.............. hahahah
 
Aliyoharibu ni mengi sana kuliko hayo uliyoorodhesha
 
Si mpaka uthibitishe? Mnashangilia nini? Na hakuna uthbitisho ni figisu tu
Una ushabiki wa kipuuzi..

Tushangilie mimi na nani?, kuna sehemu umeona nashangilia kukamatwa kwa hao ndugu zako?..Unaongea vitu usivyovujua...

Uliiona taarifa ya CAG kuhusu TFF?..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…