Rais wa Uganda kushuhudia mechi ya CHAN: Uganda vs Tanzania

Deogratius n

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2015
Posts
1,193
Reaction score
254
Wakuu waganda wamejipanga kututupa nje ya afcon. Rais wa uganda yoweri kaguta museven ameitwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa leo kati ya uganda na tanzania ili kuwapa nguvu na hamasa vijana wake watufunge tena. Ikumbukwe wiki2 zilizopita tulipigwa 3-0 katika ardhi ye2. Hapa nimeshaandaa machozi, ntalia sana leo mana dalili zinaonesha hatuwezi kupindua matokeo yawe 4-0.
 
Hii mechi itaonyeshwa na kituo gani kwa anayefahamu atujuze
 
Mtoa mada acha woga. Kwani Museveni atacheza? Hata sisi tulipigwa zile 3-0 mbele ya Makamu wa pili wa Rais huko Zanzibar.

Ila nakubaliana na wewe Uganda wameshatuwahi, lazima ule msemo wa tumetolewa lakini kwa taabu utimie leo.
 
Hii nchi ya kindorobo kweli hata hapo uganda hawatuonyeshi tukishindiliwa mabao jamani
 
Duh kweli watu wamechoshwa na timu ya Taifa ....yani awana habali kabisaa
 
Hamna TV station inayorusha hii mechi. Wazee wa dezo leo imekula kwenu..

Mandla.
 
Azamu one mbona hatuoni mkuu au azam one yako ipi wewe mwenzetu unayotumia (au ndo hiyo ya kusema wanatangaza azam 1)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…