Rais wa Ukraine aidharau Urusi kupita kiasi

Rais wa Ukraine aidharau Urusi kupita kiasi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya kuona majeshi yake yamefanikiwa kuwarudisha wanajeshi wa Urusi kwenye baadhi ya maeneo yaliyotekwa, sasa Rais wa Ukraine, Zelensky ameanza kuidharau Urusi pakubwa na kutoa utabiri wa kushinda moja kwa moja kama kwamba anapigana na mtoto mdogo.

Kwenye hotuba yake hapo jana alisema kwa sasa hakuna chochote kitakachoisaidia Urusi ishinde katika vita hivi, si silaha kutoka popote duniani wala droni za Iran. Akaongeza kuwa kwa sasa Urusi imeshindwa.

Jee ni kweli na yeye ana silaha na Jeshi hilo la kuitambia Urusi kiasi hicho. Au ni kiburi na propaganda za kivita tu.
 
Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.

Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
 
Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.

Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
... umeandika ukiwa na maumivi makali sana kijana; penda kuona na kusikia usichopenda - huo ndio uungwana. Pole sana.
 
Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.

Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Kama ni kweli Ukraine imeizidi kete Urusi, iweje Ukraine itambe kwa mdomo tu badala ya kutekeleza kimya kimya kimatendo yale wanayosema wana uwezo nayo? Kupiga domo ni propaganda tu kuwapa moyo watu pale waliposhindwa kimatendo.
 
Kama ni kweli Ukraine imeizidi kete Urusi, iweje Ukraine itambe kwa mdomo tu badala ya kutekeleza kimya kimya kimatendo yale wanayosema wana uwezo nayo? Kupiga domo ni propaganda tu kuwapa moyo watu pale waliposhindwa kimatendo.
Ukraine tuko vzr Sana,kwanza jeshi la urusi liliishiwa chakula likabaki na chakula Cha siku 3 tu.Nchi maskini sana ile

Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
 
... ila Zelensky kama kweli aliongea hivyo anaharibu. Achape kimya kimya tuone matokeo aachane na maneno na kejeli nyingi hata kama anaona ushindi uko upande wao! In short aweke akiba ya maneno itamsaidia.
Anapenda sana mdomo mdomo.Hali za vita zinabadilika ghafla.Urusi hatakubali aendelee kukimbia kila siku.Atafika pahala atakuwa kama paka anayekimbizwa na mbwa.Akishajibanza na ukuta.Itakuwa kama kumwambia Ukraine sasa basi.Hata wananchi wa Urusi watajenga ushujaa na kuamua kuilinda nchi yao.
 
Wahehe wanamsemo usemao"ukiona kicheche anajigamba ujue karibu yake kuna shimo analolitegemea kujificha" kwa mantiki hiyo ukraine anajiamini kwa kuwa anaona ana
Screenshot_20221005-143932_Chrome.jpg
mzigo wa kutosha wa siraha na ujasusi.
Screenshot_20221006-115124_Chrome.jpg
 
Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.

Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Dah
 
Anapenda sana mdomo mdomo.Hali za vita zinabadilika ghafla.Urusi hatakubali aendelee kukimbia kila siku.Atafika pahala atakuwa kama paka anayekimbizwa na mbwa.Akishajibanza na ukuta.Itakuwa kama kumwambia Ukraine sasa basi.Hata wananchi wa Urusi watajenga ushujaa na kuamua kuilinda nchi yao.
... uko sahihi ingawa kuhusu wananchi wa Urusi kujenga ushujaa kuilinda nchi yao sijakuelewa Kiongozi kwa sababu Urusi haijavamiwa; unless unamaanisha maeneo yaliyokuwa annexed tayari ni sehemu ya Urusi!
 
Kweli kabisa mkuu . Angalia Afghanistan walikaa miaka 20 wakaondoka wenyewe .
Afghanistan hadithi yake ni kama ile ya Marekani Iraq na Afghanistan kwa mara nyengine.Walitoka mbali kwenda kuvamia nchi ya mbali.Kwa Ukraine ni kitu tofauti.Adui yuko upande wa pili wa mpaka na bado anaita watu zaidi waje wakupige.Katika hali kama hii ushujaa unakuja ndani kwa ndani.Ndio naamini manene ya Putin juzi kuwa sasa wataanza kurudisha majimbo yaliyoingia mikononi mwa Ukraine.
 
Back
Top Bottom