Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UK kwa sasa si mshirika wa kuaminika.Agange njaa yake kwanza kabla kuifikiria Ukraine.Iko karibu kuwa taifa la tatu.Hawaeleweki kabisa.Wahehe wanamsemo usemao"ukiona kicheche anajigamba ujue karibu yake kuna shimo analolitegemea kujificha" kwa mantiki hiyo ukraine anajiamini kwa kuwa anaona ana View attachment 2378739mzigo wa kutosha wa siraha na ujasusi.View attachment 2378738
Huyu Zele ni comedian tu.
Kelele zote hizo ni kwa vile ana nguvu za hao mabwana zake, yeye kama yeye ni unyoya tu.
Akiminywa mbupu kidogo tu unasikia akiomba vikwazo viongezwe kwa mwamba Putin.
Kwani nani alieatuma kuvamia nchi ya watu.Anapenda sana mdomo mdomo.Hali za vita zinabadilika ghafla.Urusi hatakubali aendelee kukimbia kila siku.Atafika pahala atakuwa kama paka anayekimbizwa na mbwa.Akishajibanza na ukuta.Itakuwa kama kumwambia Ukraine sasa basi.Hata wananchi wa Urusi watajenga ushujaa na kuamua kuilinda nchi yao.
Slava Ukraine [emoji1255] [emoji813]Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.
Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Putin aanapenda vita ilikuonyesha ubabetu lakini hanafaida na hiyo vita.Afghanistan hadithi yake ni kama ile ya Marekani Iraq na Afghanistan kwa mara nyengine.Walitoka mbali kwenda kuvamia nchi ya mbali.Kwa Ukraine ni kitu tofauti.Adui yuko upande wa pili wa mpaka na bado anaita watu zaidi waje wakupige.Katika hali kama hii ushujaa unakuja ndani kwa ndani.Ndio naamini manene ya Putin juzi kuwa sasa wataanza kurudisha majimbo yaliyoingia mikononi mwa Ukraine.
Na vita vyote hivyo alishinda mwishoni kwa usaidizi wa Marekani.Kihistoria Urusi imepigana vita vingi sana vikubwa na hatimae ikiwa ukingoni mwa kushindwa ikaibuka mshindi.Hivi itatokea safari hii.Tuache kumuamini Zelensky na kelele zake.
Huo ndo uzalendo tunaoimba kila sikuMkuu kama Zele ni komedian tu basi ni komedian wa karne kwa kusimama ma watu wake.
Ingekiwa mjinga mwingine angekuwa tayari anakula kuku Us na nchi ingekuwa mikononi mwa wanywa gongo kitambo.
... hutasikia wakigusia hilo; wanajifanya hamnazo kweli kweli!Na vita vyote hivyo alishinda mwishoni kwa usaidizi wa Marekani.
Anafundishwa cha kufanya ili Putin apandwe na mashetani afanye haraka haraka mipango yake wamchape kimkakati.... ila Zelensky kama kweli aliongea hivyo anaharibu. Achape kimya kimya tuone matokeo aachane na maneno na kejeli nyingi hata kama anaona ushindi uko upande wao! In short aweke akiba ya maneno itamsaidia.
Ahahahaaaaaaa mkuuu nimekuelewaNi kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.
Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Na hapo buza mmeshafanikiwa kuwarudisha warusi nyuma,katika maeneo yao waliyoyatoa hata kuwa yao😂Baada ya kuona majeshi yake yamefanikiwa kuwarudisha wanajeshi wa Urusi kwenye baadhi ya maeneo yaliyotekwa, sasa Rais wa Ukraine, Zelensky ameanza kuidharau Urusi pakubwa na kutoa utabiri wa kushinda moja kwa moja kama kwamba anapigana na mtoto mdogo.
Kwenye hotuba yake hapo jana alisema kwa sasa hakuna chochote kitakachoisaidia Urusi ishinde katika vita hivi, si silaha kutoka popote duniani wala droni za Iran. Akaongeza kuwa kwa sasa Urusi imeshindwa.
Jee ni kweli na yeye ana silaha na Jeshi hilo la kuitambia Urusi kiasi hicho. Au ni kiburi na propaganda za kivita tu.
Urusi hana silaha hana jeshi kabaki na makaratasi tu aliyoweka sign, Mrusi zama zake zimeisha na wasiwas wangu huenda US wakamtia shaba huko huko mafichoni Moscow au kunshika akiwa hai na kumfungulia mashtaka ya mauajiAnapenda sana mdomo mdomo.Hali za vita zinabadilika ghafla.Urusi hatakubali aendelee kukimbia kila siku.Atafika pahala atakuwa kama paka anayekimbizwa na mbwa.Akishajibanza na ukuta.Itakuwa kama kumwambia Ukraine sasa basi.Hata wananchi wa Urusi watajenga ushujaa na kuamua kuilinda nchi yao.
Alisikika mjinga mmoja..Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.
Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Akiku-choresha 7.Alisikika mjinga mmoja..
Umekosea, ni mimi ndo namchoresha 7 mama yako mzaziAkiku-choresha 7.
Putin anatakiwa kunyongwa kama Sadam kwa madhila aliyoleta duniani.Urusi hana silaha hana jeshi kabaki na makaratasi tu aliyoweka sign, Mrusi zama zake zimeisha na wasiwas wangu huenda US wakamtia shaba huko huko mafichoni Moscow au kunshika akiwa hai na kumfungulia mashtaka ya mauaji
Urusi nae ni unyoya tu ndio maana kaivamia ukraine unyoya mwenzieHuyu Zele ni comedian tu.
Kelele zote hizo ni kwa vile ana nguvu za hao mabwana zake, yeye kama yeye ni unyoya tu.
Akiminywa mbupu kidogo tu unasikia akiomba vikwazo viongezwe kwa mwamba Putin.