Rais wa Ukraine aidharau Urusi kupita kiasi

Rais wa Ukraine aidharau Urusi kupita kiasi

Wahehe wanamsemo usemao"ukiona kicheche anajigamba ujue karibu yake kuna shimo analolitegemea kujificha" kwa mantiki hiyo ukraine anajiamini kwa kuwa anaona ana View attachment 2378739mzigo wa kutosha wa siraha na ujasusi.View attachment 2378738
UK kwa sasa si mshirika wa kuaminika.Agange njaa yake kwanza kabla kuifikiria Ukraine.Iko karibu kuwa taifa la tatu.Hawaeleweki kabisa.
 
Huyu Zele ni comedian tu.
Kelele zote hizo ni kwa vile ana nguvu za hao mabwana zake, yeye kama yeye ni unyoya tu.
Akiminywa mbupu kidogo tu unasikia akiomba vikwazo viongezwe kwa mwamba Putin.


Mkuu kama Zele ni komedian tu basi ni komedian wa karne kwa kusimama ma watu wake.
Ingekiwa mjinga mwingine angekuwa tayari anakula kuku Us na nchi ingekuwa mikononi mwa wanywa gongo kitambo.
 
Anapenda sana mdomo mdomo.Hali za vita zinabadilika ghafla.Urusi hatakubali aendelee kukimbia kila siku.Atafika pahala atakuwa kama paka anayekimbizwa na mbwa.Akishajibanza na ukuta.Itakuwa kama kumwambia Ukraine sasa basi.Hata wananchi wa Urusi watajenga ushujaa na kuamua kuilinda nchi yao.
Kwani nani alieatuma kuvamia nchi ya watu.
 
Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.

Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Slava Ukraine [emoji1255] [emoji813]
 
Afghanistan hadithi yake ni kama ile ya Marekani Iraq na Afghanistan kwa mara nyengine.Walitoka mbali kwenda kuvamia nchi ya mbali.Kwa Ukraine ni kitu tofauti.Adui yuko upande wa pili wa mpaka na bado anaita watu zaidi waje wakupige.Katika hali kama hii ushujaa unakuja ndani kwa ndani.Ndio naamini manene ya Putin juzi kuwa sasa wataanza kurudisha majimbo yaliyoingia mikononi mwa Ukraine.
Putin aanapenda vita ilikuonyesha ubabetu lakini hanafaida na hiyo vita.

Anakosea kusema atakomboa majimbo kwasababu majimbo sio yake.
 
... ila Zelensky kama kweli aliongea hivyo anaharibu. Achape kimya kimya tuone matokeo aachane na maneno na kejeli nyingi hata kama anaona ushindi uko upande wao! In short aweke akiba ya maneno itamsaidia.
Anafundishwa cha kufanya ili Putin apandwe na mashetani afanye haraka haraka mipango yake wamchape kimkakati.
 
Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.

Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Ahahahaaaaaaa mkuuu nimekuelewa
 
Baada ya kuona majeshi yake yamefanikiwa kuwarudisha wanajeshi wa Urusi kwenye baadhi ya maeneo yaliyotekwa, sasa Rais wa Ukraine, Zelensky ameanza kuidharau Urusi pakubwa na kutoa utabiri wa kushinda moja kwa moja kama kwamba anapigana na mtoto mdogo.

Kwenye hotuba yake hapo jana alisema kwa sasa hakuna chochote kitakachoisaidia Urusi ishinde katika vita hivi, si silaha kutoka popote duniani wala droni za Iran. Akaongeza kuwa kwa sasa Urusi imeshindwa.

Jee ni kweli na yeye ana silaha na Jeshi hilo la kuitambia Urusi kiasi hicho. Au ni kiburi na propaganda za kivita tu.
Na hapo buza mmeshafanikiwa kuwarudisha warusi nyuma,katika maeneo yao waliyoyatoa hata kuwa yao😂
 
Anapenda sana mdomo mdomo.Hali za vita zinabadilika ghafla.Urusi hatakubali aendelee kukimbia kila siku.Atafika pahala atakuwa kama paka anayekimbizwa na mbwa.Akishajibanza na ukuta.Itakuwa kama kumwambia Ukraine sasa basi.Hata wananchi wa Urusi watajenga ushujaa na kuamua kuilinda nchi yao.
Urusi hana silaha hana jeshi kabaki na makaratasi tu aliyoweka sign, Mrusi zama zake zimeisha na wasiwas wangu huenda US wakamtia shaba huko huko mafichoni Moscow au kunshika akiwa hai na kumfungulia mashtaka ya mauaji
 
Ni kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.

Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Alisikika mjinga mmoja..
 
Urusi hana silaha hana jeshi kabaki na makaratasi tu aliyoweka sign, Mrusi zama zake zimeisha na wasiwas wangu huenda US wakamtia shaba huko huko mafichoni Moscow au kunshika akiwa hai na kumfungulia mashtaka ya mauaji
Putin anatakiwa kunyongwa kama Sadam kwa madhila aliyoleta duniani.
 
Huyu Zele ni comedian tu.
Kelele zote hizo ni kwa vile ana nguvu za hao mabwana zake, yeye kama yeye ni unyoya tu.
Akiminywa mbupu kidogo tu unasikia akiomba vikwazo viongezwe kwa mwamba Putin.
Urusi nae ni unyoya tu ndio maana kaivamia ukraine unyoya mwenzie
 
Back
Top Bottom