[emoji1787][emoji1787][emoji1787]UK kwa sasa si mshirika wa kuaminika.Agange njaa yake kwanza kabla kuifikiria Ukraine.Iko karibu kuwa taifa la tatu.Hawaeleweki kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]UK kwa sasa si mshirika wa kuaminika.Agange njaa yake kwanza kabla kuifikiria Ukraine.Iko karibu kuwa taifa la tatu.Hawaeleweki kabisa.
Kwny 0 ya baba yako ndipo nimejua ni kwanini watanga wanasemaga raha ya Nanga itoke na tope.Umekosea, ni mimi ndo namchoresha 7 mama yako mzazi
Hizo siku tatu mbona zimekwisha pita na bado askari wanadunda? Au mlikosea kusema siku badala ya miezi mitatu?Ukraine tuko vzr Sana,kwanza jeshi la urusi liliishiwa chakula likabaki na chakula Cha siku 3 tu.Nchi maskini sana ile
Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Si ndio Maana Russia anapigwa mwanzo mwisho,Jana Ukraine kidogo ipachukue pale St. Petersburg, Russia Kama sio msaada wa wanajeshi kutoka Iran na North Korea Basi Russia ingetekwa mkuu.Hizo siku tatu mbona zimekwisha pita na bado askari wanadunda? Au mlikosea kusema siku badala ya miezi mitatu?
@bukyanangadi anakwambia ulikua ni mtego Kwa Ukraine [emoji23][emoji1787][emoji1787]Vipi ule msafara wa tactical battalion kalibia kilometre 60 uliishia wapi
Putin sawa lakini Sadam noo., hakustahiliPutin anatakiwa kunyongwa kama Sadam kwa madhila aliyoleta duniani.
@elungata sijui yupo ficho gani@bukyanangadi anakwambia ulikua ni mtego Kwa Ukraine [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Huyo ni Amiri jeshi mkuu lazima awatie morali wapiganaji wake.... ila Zelensky kama kweli aliongea hivyo anaharibu. Achape kimya kimya tuone matokeo aachane na maneno na kejeli nyingi hata kama anaona ushindi uko upande wao! In short aweke akiba ya maneno itamsaidia.
Umekasirika alichoandika? Ukraine amechukua majimbo ya urusi, slava Ukraine... umeandika ukiwa na maumivi makali sana kijana; penda kuona na kusikia usichopenda - huo ndio uungwana. Pole sana.
Utamuona siku warusi wakiiteka Kiev@elungata sijui yupo ficho gani
Unaongea ukiwa umetumia kilevi ganiNi kweli Ukraine ana silaha Kali mnoo ndio Maana Russia imeshindwa kuchukua maeneo huko Ukraine (Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhia) na Sasa Ukraine inaekekea kuikamata Moscow,Putin anaomba msaada kwa washirika wake la sivyo Russia itatekwa yote.
Slava Ukraine Slava Ukraine Slava Ukraine.
Gongo ya mavi,karibu.Duh,
Unaongea ukiwa umetumia kilevi gani
Yeye ni Rais, anajua kuliko wewe... ila Zelensky kama kweli aliongea hivyo anaharibu. Achape kimya kimya tuone matokeo aachane na maneno na kejeli nyingi hata kama anaona ushindi uko upande wao! In short aweke akiba ya maneno itamsaidia.
Winter is coming, the rusks will freezeLong term war urusi atashindwa, ni vigumu sana kujilinda kila siku kwa watu wanaokushambulia.
Kwa sasa mko on defenceAnapenda sana mdomo mdomo.Hali za vita zinabadilika ghafla.Urusi hatakubali aendelee kukimbia kila siku.Atafika pahala atakuwa kama paka anayekimbizwa na mbwa.Akishajibanza na ukuta.Itakuwa kama kumwambia Ukraine sasa basi.Hata wananchi wa Urusi watajenga ushujaa na kuamua kuilinda nchi yao.