Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He hee wokeey papaa Kiranga....Mimi sigombei u rais, mimi ni Papa tayari, siku nyingi tu.
Mgombea wa3 The Boss tunasubiri sera zako
Unahisi unahitaji urais wa jf? Kama ndiyo yepi tutegemee toka kwako kama ukishinda?
Teh hapa naona dalili zote za Ngabu kupita kiulaini bila upinzani...I am the Boss .....sigombei chochote....
matokeo yoyote yale nitabaki The boss....mshindi asubiri kupokea maagizi tu kutoka kwangu ha haa
Interesting![emoji1]I am the Boss .....sigombei chochote....
matokeo yoyote yale nitabaki The boss....mshindi asubiri kupokea maagizi tu kutoka kwangu ha haa
Nasubiri muda wa maswali ufikeSawa ngosha tunasubiri muendelezo kisha maswali yatafata toka kwa wananchi wa Jf....
[emoji1] [emoji1] kweli interestingInteresting![emoji1]
Umeona eeh...Teh hapa naona dalili zote za Ngabu kupita kiulaini bila upinzani...
mshana jr unaingia kwenye kinyang'anyiro au nawe unasarenda?
Shikamoo Ngabu kwakweliUmeona eeh...
Wameona hawana kabisa nafasi imebidi waje na visingizio.
Ngabu anatisha....yuko juu kama mbingu!
Ngoja kwanza apatikane mpinzani wakenakaribia kumtangaza mshindi