Rais wa wana-JamiiForums

Rais wa wana-JamiiForums

Umeona eeh...

Wameona hawana kabisa nafasi imebidi waje na visingizio.

Ngabu anatisha....yuko juu kama mbingu!
1.Mkuu ebu eleza mikakati yako juu ya ID mchepuko? je ni halali?

2.Baada ya mtu kupewa ban, atapata nafasi ya kujitetea maana kumpiga ban mtu anayemiliki ID 10 ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

3.Utasuluhisha vipi mgogoro kati ya ''makapuku'' na wakongwe wanaodhaniwa kuwa ma cyber bullers?
 
1.Mkuu ebu eleza mikakati yako juu ya ID mchepuko? je ni halali?

2.Baada ya mtu kupewa ban, atapata nafasi ya kujitetea maana kumpiga ban mtu anayemiliki ID 10 ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

3.Utasuluhisha vipi mgogoro kati ya ''makapuku'' na wakongwe wanaodhaniwa kuwa ma cyber bullers?
alafu pia threads zinazofutwa ziwe kwenye sehemu maalumu ambapo mtu anaweza kwenda kuangalia na kuambiwa sehemu za kubadilisha!!
 
Mkuu naona una mawazo kama yale ya Economist anayedai kuombwa kuugombe tangu demokrasia ilipo ingia TZ...ebu jibu post namba 124.


Mimi nafikiri suala la ban litazamwe upya
watu wapewe nafasi ya kujitetea kabla ya ban

na kuhusu Makapuku siamini kama wana mgogoro na wakongwe
nafikiri watu wawaache makapuku wawe free kuendeleza movement yao
 
Mimi nafikiri suala la ban litazamwe upya
watu wapewe nafasi ya kujitetea kabla ya ban

na kuhusu Makapuku siamini kama wana mgogoro na wakongwe
nafikiri watu wawaache makapuku wawe free kuendeleza movement yao
kwa kweli "The Boss Utakuwa Waziri Wa Mambo ya Banning"
 
Back
Top Bottom