Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said nchi uliyoitaja inaitwa 'Tunis' iko Bara gani Kijiografia?

Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said nchi uliyoitaja inaitwa 'Tunis' iko Bara gani Kijiografia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nipende kuchukua nafasi hii Kuwahakikishia wana Yanga SC kuwa tunaenda kupindua matokeo nchini Tunis na kusonga mbele" Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.

Chanzo: Sauti yake aliyoisambaza mwenyewe katika Electronic Media zote leo.

Yaani huna hata mwaka uongozini umeshaanza kudata (kuchanganyikiwa)! Hivi kwa Rais mzima na tena msomi wa Engineering na una 'exposure' ya kusafiri nchi mbalimbali umeshindwa kujua hakuna nchi iitwayo Tunis bali kuna Mji Mkuu uitwao Tunis unaowakilisha nchi ya Tunisia.

Ndiyo maana tumekwambia waombe radhi (msamaha) wana Yanga SC wote kwa kuwaita wala mihogo (ukimaanisha ni watu masikini), kwani huenda huku kujichanganya na kukosea kwako ikawa ni sehemu ya laana zao kwako na usipokuwa makini wanaweza hata kukufanya ukawa taahira muda si mrefu.
 
"Nipende kuchukua nafasi hii Kuwahakikishia wana Yanga SC kuwa tunaenda Kupindua Matokeo nchini Tunis na Kusonga mbele" Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.

Chanzo: Sauti yake aliyoisambaza Mwenyewe katika Electronic Media zote Leo.

Yaani huna hata mwaka Uongozini umeshaanza Kudata ( Kuchanganyikiwa ) hivi kwa Rais mzima na tena Msomi wa Engineering na una exposure ya Kusafiri nchi mbalimbali umeshindwa kujua hakuna nchi iitwayo Tunis bali kuna Mji Mkuu uitwao Tunis unaowakilisha nchi ya Tunisia.

Ndiyo maana tumekuambia Waombe Radhi ( Msamaha ) wana Yanga SC wote kwa kuwaita Wala Mihogo ( ukimaanisha ni Watu Masikini ) kwani huenda huku Kujichanganya na Kukosea Kwako ikawa ni sehemu ya Laana zao Kwako na usipokuwa makini wanaweza hata Kukufanya ukawa Taahira muda si mrefu.
G - hili balaa... amegoma kuomba radhi et!
 
"Nipende kuchukua nafasi hii Kuwahakikishia wana Yanga SC kuwa tunaenda Kupindua Matokeo nchini Tunis na Kusonga mbele" Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.

Chanzo: Sauti yake aliyoisambaza Mwenyewe katika Electronic Media zote Leo.

Yaani huna hata mwaka Uongozini umeshaanza Kudata ( Kuchanganyikiwa ) hivi kwa Rais mzima na tena Msomi wa Engineering na una exposure ya Kusafiri nchi mbalimbali umeshindwa kujua hakuna nchi iitwayo Tunis bali kuna Mji Mkuu uitwao Tunis unaowakilisha nchi ya Tunisia.

Ndiyo maana tumekuambia Waombe Radhi ( Msamaha ) wana Yanga SC wote kwa kuwaita Wala Mihogo ( ukimaanisha ni Watu Masikini ) kwani huenda huku Kujichanganya na Kukosea Kwako ikawa ni sehemu ya Laana zao Kwako na usipokuwa makini wanaweza hata Kukufanya ukawa Taahira muda si mrefu.
Wananchi msameheni Injinia katereza ulimi hauna mfupa ila usirudie kuongea ushuzi

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
"Nipende kuchukua nafasi hii Kuwahakikishia wana Yanga SC kuwa tunaenda Kupindua Matokeo nchini Tunis na Kusonga mbele" Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.

Chanzo: Sauti yake aliyoisambaza Mwenyewe katika Electronic Media zote Leo.

Yaani huna hata mwaka Uongozini umeshaanza Kudata ( Kuchanganyikiwa ) hivi kwa Rais mzima na tena Msomi wa Engineering na una exposure ya Kusafiri nchi mbalimbali umeshindwa kujua hakuna nchi iitwayo Tunis bali kuna Mji Mkuu uitwao Tunis unaowakilisha nchi ya Tunisia.

Ndiyo maana tumekuambia Waombe Radhi ( Msamaha ) wana Yanga SC wote kwa kuwaita Wala Mihogo ( ukimaanisha ni Watu Masikini ) kwani huenda huku Kujichanganya na Kukosea Kwako ikawa ni sehemu ya Laana zao Kwako na usipokuwa makini wanaweza hata Kukufanya ukawa Taahira muda si mrefu.
Kwani engineer lazima ajue jiografia?
 
HView attachment 2406175
IMG-20221103-WA0004.jpg
 
Izi zinaitwa propaganda Mkaa, Kinacho wasumbua Viongozi, Mashabiki, wapenzi wa Simba ni Yanga kuwa Imara.
Yanga ikiwa na uimara (organised) kama ilivyo Sasa hakuna timu yoyote katika nchi hii itafurukuta kwamaana ya kutwaa Mataji.

Simba waliweza kufurukuta baada ya kufanikiwa kumuondoa Manji pale Yanga, ila Muda ambao Manji yupo active na MO yupo Simba bado Simba walikaa miaka Mitano bila kikombe.

Yaani Baada ya Yanga kutwaa kikombe alifuatia Azam Wakaja Yanga Waka twaa mara tatu mfululizo.
Kwakutumia Makonda na figisu zake walifanikiwa kumuondoa Manji nchini na Yanga kuyumba vibaya ki uchumi Ndipo Simba wakawa wanabeba vikombe.

Kwa Hali ya Yanga ilivyo Sasa ata MO akiwepo ingawa amesha kimbilia kwenye Ngumi, Yanga itaendelea kutawala Soka la ndani Kwa miaka mingi sana.
Tena Kwa utaratibu uliopo Kila timu ikienda Mikoani wanakabidhiwa Wanachama wa mkoa husika, Yanga ita tesa Kwa muda mrefu.

Kuhusu kimataifa Yanga Ipo hatua nzuri, kama Nyumba Ipo kwenye finishing muda si mrefu tutaanza kula Mema ya nchi.

Kuhusu kuitwa Wala Mihogo kwangu aina Shida, Kama Mohamed Dewji (MO) Kila siku kwake linakwenda kapu la Mihogo kutokea kisutu sokoni Mimi ni nani nisile.
 
Izi zinaitwa propaganda Mkaa, Kinacho wasumbua Viongozi, Mashabiki, wapenzi wa Simba ni Yanga kuwa Imara.
Yanga ikiwa na uimara (organised) kama ilivyo Sasa hakuna timu yoyote katika nchi hii itafurukuta kwamaana ya kutwaa Mataji.

Simba waliweza kufurukuta baada ya kufanikiwa kumuondoa Manji pale Yanga, ila Muda ambao Manji yupo active na MO yupo Simba bado Simba walikaa miaka Mitano bila kikombe.

Yaani Baada ya Yanga kutwaa kikombe alifuatia Azam Wakaja Yanga Waka twaa mara tatu mfululizo.
Kwakutumia Makonda na figisu zake walifanikiwa kumuondoa Manji nchini na Yanga kuyumba vibaya ki uchumi Ndipo Simba wakawa wanabeba vikombe.

Kwa Hali ya Yanga ilivyo Sasa ata MO akiwepo ingawa amesha kimbilia kwenye Ngumi, Yanga itaendelea kutawala Soka la ndani Kwa miaka mingi sana.
Tena Kwa utaratibu uliopo Kila timu ikienda Mikoani wanakabidhiwa Wanachama wa mkoa husika, Yanga ita tesa Kwa muda mrefu.

Kuhusu kimataifa Yanga Ipo hatua nzuri, kama Nyumba Ipo kwenye finishing muda si mrefu tutaanza kula Mema ya nchi.

Kuhusu kuitwa Wala Mihogo kwangu aina Shida, Kama Mohamed Dewji (MO) Kila siku kwake linakwenda kapu la Mihogo kutokea kisutu sokoni Mimi ni nani nisile.
Sikujua kama ndio lengo letu kutamba humu humu ndani. Basi sawa wacha Yanga ichague kuwa kiboko wa akina Mtibwa. Simba wacha avuke mipaka kwa kutafuta umwamba wa Africa. Kama ndio akili za mashabiki wa Yanga ndio zipo hivi basi makundi na raisi wenu mtayasikia kwa jirani kila msimu.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Nina wasiwasi sana na Engineer yake.

Sijui amehisusika na jengo Gani!!!
Au amewahi kujenga nini....

Haya ndio Yale Yale yanayoitwa PROFESA NABI.

ELIMU ZA WATU ZIHESHIMIWE.
 
"Nipende kuchukua nafasi hii Kuwahakikishia wana Yanga SC kuwa tunaenda kupindua matokeo nchini Tunis na kusonga mbele" Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.

Chanzo: Sauti yake aliyoisambaza mwenyewe katika Electronic Media zote leo.

Yaani huna hata mwaka uongozini umeshaanza kudata (kuchanganyikiwa)! Hivi kwa Rais mzima na tena msomi wa Engineering na una 'exposure' ya kusafiri nchi mbalimbali umeshindwa kujua hakuna nchi iitwayo Tunis bali kuna Mji Mkuu uitwao Tunis unaowakilisha nchi ya Tunisia.

Ndiyo maana tumekwambia waombe radhi (msamaha) wana Yanga SC wote kwa kuwaita wala mihogo (ukimaanisha ni watu masikini), kwani huenda huku kujichanganya na kukosea kwako ikawa ni sehemu ya laana zao kwako na usipokuwa makini wanaweza hata kukufanya ukawa taahira muda si mrefu.
Hata angekuwa hajakosea jina la nchi bado suala la KUPINDUA MATOKEO haliwezekani, anaomba radhi kijanja kwa kuwaita watu wala mihogo
 
Back
Top Bottom