Rais wa Zanzibar aagiza Meli zote za Serikali ziuzwe kwa vile hazileti faida

Rais wa Zanzibar aagiza Meli zote za Serikali ziuzwe kwa vile hazileti faida

Wakati rais wa Zanzibar anauza Meli, Rais wa Tanzania yuko busy kusaini mikataba mipya ya kununua ndege
Anauza meli ili anunue mpya, sio kwamba anaachana na hiyo biashara.
Sasa Cha kushangaza meli ina miaka mitano, inachakaaje? Miaka mitano kwa meli ni michache Sana
Pia hata akinunua mpya bado watendaji ni haohao, Kuna kitu hakipo sawa. Huenda Kuna watu wamemshawishi awauzie
Hata viwanda viliuzwa hivi hivi, mwisho vyote vikageuka magofu. Wajanja wakakopea mkopo, wakavitelekeza
 
Hata ningekuwa mimi ndio Rais wa Muungano ndege zote ningekodisha kwa mashirika binafsi au serikali yanayojitahidi afu nasubilia changu.

Soon sgr itakuwa hivyo hivyo hasara ,wataleta mwekezaji atasema sipati faida yaani tuendako itakuwa maumivu Sana.

Kama sgr ya Mombasa Nairobi ambayo iko kwenye main transport corridor inaleta faida ndogo au hasara sembuse sgr ya kwenda Mwanza ambako hata mizigo ya kubeba ya maana hakuna
 
Biashara ya serikali sio yako binafsi ,Serikalini kumejaa incompetent people ambao hupewa Kazi kwa kujuana na sio uwezo unlike private sector.

Ili biashara za serikali zifaulu lazima ajira zizingatie uwezo na ziwe za mkataba yaani performance based ndio tija itapatikana .
Incompetent, lack of confifence, corrupts
 
Kuna haja ya kubadili mifumo ya nishati ya meli za serikali. Serikali iangalie uwezekano wa meli zote mpya zinazojengwa ziwa Victoria, Tanganyika na bahari ya Hindi kutumia nishati ya gesi ambayo ni nafuu sana ili meli hizi zianze kuendeshwa kwa faida.
Mwinyi pia angefanya 'last attempt' kwa kutenga fedha na kununua gas fired engines na kufunga kwenye baadhi ya meli, hasa zile ambazo ni mpya-mpya aone kama ufanisi utaongezeka kwa kupugua kwa gharama ya nishati.
Gas is our future...
Amekengeuka. Halafu hatma yake itakuaje maana lengo ni kuwapatia wananchi huduma muhimu ikibidi kwa kodi ya umma.
 
Anauza meli ili anunue mpya, sio kwamba anaachana na hiyo biashara.
Sasa Cha kushangaza meli ina miaka mitano, inachakaaje? Miaka mitano kwa meli ni michache Sana
Pia hata akinunua mpya bado watendaji ni haohao, Kuna kitu hakipo sawa. Huenda Kuna watu wamemshawishi awauzie
Meli mpya inachukua miaka takribani 15-20 bila kuchakaa.
 
Hata kwa kanuni simpo ya Pythagoras haiingii kichwani. Ninanusa watu wanafanya biashara nyuma ya pazia na wanataka biashara zao zisitawi. Serikali inakosa meli hata moja? Na mnajiita serikali? Bora hako kazanzibar kawe moja ya mikoa ya TZ bara
🏃🏃🏃🏃🏃💨💨💨
Mzee anataka kuingiza meli zake. lakini wazanzibari ni mafidadi kuliko nchi zote afrika.
 
Ajira za kubebana ndugu, rushwa, kujuana ,vimada nk.
shida ni nini kinafanyika baada ya kupewa hiyo dhamana,unaweza mbeba mtu lakini akawa na uchungu na mali za umma.

kama mtu anakosa uchungu na mali za umaa,huyu hata angefanyiwa usaili wa namna gani atafanya madudu tu.
 
Halafu hatma yake itakuaje maana lengo ni kuwapatia wananchi huduma muhimu ikibidi kwa kodi ya umma.
Ofcourse. Most of these vessels were acquired to 'unite' the two islands infrastructurewise so there is an urgent need to retain some of them and to keep them up and running as long the shipping company can cover the variable costs.
The best they can do for now is to upgrade them to become cost effective given that it has taken many years for the state of Z'bar to acquire these vessels.
 
Hivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?
Biashara inahitaji uwajibikaji na displine ya hali ya juu. Uwajibikaji serikalini ndio mtihani mkubwa sana.

Kwa mfano kama wizara ya Ardhi ingekuwa inaendeshwa kibiashara, ingefilisika juzi tu. Maana ukiwapa kazi ya kupima kiwanja kimoja pamoja na kuwapa chai kidogo, itawachukua mwaka mmoja mpaka kukukabidhi hati. Utawalipa pesa ngapi wapimaji hao kwa muda wa mwaka mmoja ili upate faida? Hapo ndipo jibu la swali lako lilipo.
 
Hivi kwanini serikali huwa inafeli kwenye biashara nini tatizo haswa?
Kwasababu wanaajiri watu wenye degree mpaka MBA ambao hawajui biashara.
Mkinga mmoja tu drs la Saba anaendesha hoteli kubwa kariakoo kwa faida kubwa tu lkn hotel hiyo hiyo ukimpa msomi mwenye master's in business administration.
Miezi mitatu mingi wafanyakazi hawapati mishahara. Mnakumbuka IMPALA HOTEL
MT USAMBARA HOTEL
EMBASSY HOTEL
NA SASA PEACORK mtaniambia
 
Kwasababu wanaajiri watu wenye degree mpaka MBA ambao hawajui biashara.
Mkinga mmoja tu drs la Saba anaendesha hoteli kubwa kariakoo kwa faida kubwa tu lkn hotel hiyo hiyo ukimpa msomi mwenye master's in business administration.
Miezi mitatu mingi wafanyakazi hawapati mishahara. Mnakumbuka IMPALA HOTEL
MT USAMBARA HOTEL
EMBASSY HOTEL
NA SASA PEACORK mtaniambia
Hahaha sasa tusisime?
 
shida ni nini kinafanyika baada ya kupewa hiyo dhamana,unaweza mbeba mtu lakini akawa na uchungu na mali za umma.

kama mtu anakosa uchungu na mali za umaa,huyu hata angefanyiwa usaili wa namna gani atafanya madudu tu.
Uko sahihi Mkorintho
 
Back
Top Bottom