Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rais wa Zanzibar Dkt. Hussen Mwinyi amemteua Dkt. Saleh Y. Mneno kuwa Mkurugenzi wa ZBC. Nasriya M. Nassor ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Utumishi na Uendeshaji.
Khamis Siasa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Sera na Utafiti. Shaib I. Moh'd ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana.
Salum Issa Ameir ameteuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Vijana. Hassan K. Hassan ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo.
Aidha Rais amemteua Ameir Moh'd Makame kuwa Kamishna wa Idara ya Michezo.
Khamis Siasa ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Sera na Utafiti. Shaib I. Moh'd ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana.
Salum Issa Ameir ameteuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Vijana. Hassan K. Hassan ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo.
Aidha Rais amemteua Ameir Moh'd Makame kuwa Kamishna wa Idara ya Michezo.