Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi 2025 usipokuja Kugombea Bara tutaandamana uje uwe Rais wetu Kilazima, tunakuhitaji mno

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi 2025 usipokuja Kugombea Bara tutaandamana uje uwe Rais wetu Kilazima, tunakuhitaji mno

Nani anayemhitaji huku Tanganyika? Kwani watu wamekwisha? Labda Russia waingie hapa na kutumaliza tunao vijana wengi tena very bright
 
Hivi huu muungano wetu ukoje
Mkuria anaweza kuwa mgombea Zanzibar kweli au wakojani tu ndiyo wana haki ya kugombea kokote

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.

Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
"Tutaandamana" wewe na akina nani?
Kama ni jamii hii ya kibongo unaitegemea.. tegemea disapointment
 
Nawakumbusha tarehe hizi za mwisho wa mwezi ndo tarehe zake huyo popoma .
Sio mm ni kwa mujibu wa Dr wake .
 
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.

Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.

Wewe. Ni ndumila kuwili haueleweki acha tupige kaz
 
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.

Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.

Acha kaz iendelee
 
Wewe mleta mada mnyarwanda mambo ya Tanzania tuachie wenyewe

Tafuta na kupendekeza baada ya Kagame nani anatakiwa kuwa Raisi wa Rwanda

Tanzania tunao kibao wenye sifa kibao akiwemo Hussein Mwinyi hatuhitaji mapendekezo kutoka kwa mya rwanda wewe

Tueleze Kagame akitoka nani unafikiri aweza kuwa Raisi wa Rwanda iwe kwa kuezeka etc jikite huko

Tanzania tuna utajiri wa viongozi
 
Wewe jamaa haueleweki. Kuna nyuzi kibao unamsifia JPM na kuna nyuzi kibao unamponda JPM. Kuna nyuzi kibao unamsifia mama na kuna nyuzi kibao unamponda mama. Kuna nyuzi kibao unamsifia Bashite na kuna nyuzi kibao unamponda Bashite. Kwa kifupi wewe ni shithole.
[emoji1751][emoji1751]
 
Kigeugeu Huyoooo
Wewe jamaa haueleweki. Kuna nyuzi kibao unamsifia JPM na kuna nyuzi kibao unamponda JPM. Kuna nyuzi kibao unamsifia mama na kuna nyuzi kibao unamponda mama. Kuna nyuzi kibao unamsifia Bashite na kuna nyuzi kibao unamponda Bashite. Kwa kifupi wewe ni shithole.
 
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.

Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Mahaba yako binafsi kwa Rais Hussein Mwinyi usidhani ni matakwa ya Tanzania. Achana na mawazo potofu Ghati. Utasubiri sana.
 
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.

Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Jembe angeendelea angemaliza huyo ndio angekuwa wakumrithi lakini kwa jinsi mzunguko ulivyo itabidi akae mtu kutoka nchikavu otherwize Mwinyi ana anatufaa.
 
Wewe mleta mada mnyarwanda mambo ya Tanzania tuachie wenyewe

Tafuta na kupendekeza baada ya Kagame nani anatakiwa kuwa Raisi wa Rwanda...
Sikumbuki ni lini umewahi kuwa na Akili JF.
 
Jamaa ni linafiki sana . linapigaga zogo hapa kuwa katika marais linaowakubali ni .
1.Nyerere
2. Mkapa na
3. Magufuli
Ukiangalia wote hao ni wa imani yake.
Haiingii akirini kuwa mtu hamkubaligi mzee mwinyi , harafu Leo anatamani mtoto wa Mwinyi aje kuwa rais.

Nikukumbushe tu ndugu popoma nenda kamwambie mtoto wa Magufuli yule kibonge 2025 achukue form apambane na mama .
 
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.

Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Ni Genta huyu huyu ninayemfahamu mimi ndiye ameyasema haya au "kahakiwa"?
 
Back
Top Bottom