Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Hili ombi lako wazanzibari bila shaka wanaliwekea ubani litimiea haraka. Wenyewe wanaelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Tutaandamana" wewe na akina nani?Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
[emoji1751][emoji1751]Wewe jamaa haueleweki. Kuna nyuzi kibao unamsifia JPM na kuna nyuzi kibao unamponda JPM. Kuna nyuzi kibao unamsifia mama na kuna nyuzi kibao unamponda mama. Kuna nyuzi kibao unamsifia Bashite na kuna nyuzi kibao unamponda Bashite. Kwa kifupi wewe ni shithole.
Wewe jamaa haueleweki. Kuna nyuzi kibao unamsifia JPM na kuna nyuzi kibao unamponda JPM. Kuna nyuzi kibao unamsifia mama na kuna nyuzi kibao unamponda mama. Kuna nyuzi kibao unamsifia Bashite na kuna nyuzi kibao unamponda Bashite. Kwa kifupi wewe ni shithole.
Mahaba yako binafsi kwa Rais Hussein Mwinyi usidhani ni matakwa ya Tanzania. Achana na mawazo potofu Ghati. Utasubiri sana.Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
😳😳 kumbe ni ndugu.Dada yake ameridhia?
Jembe angeendelea angemaliza huyo ndio angekuwa wakumrithi lakini kwa jinsi mzunguko ulivyo itabidi akae mtu kutoka nchikavu otherwize Mwinyi ana anatufaa.Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Sikumbuki ni lini umewahi kuwa na Akili JF.Wewe mleta mada mnyarwanda mambo ya Tanzania tuachie wenyewe
Tafuta na kupendekeza baada ya Kagame nani anatakiwa kuwa Raisi wa Rwanda...
Ni Genta huyu huyu ninayemfahamu mimi ndiye ameyasema haya au "kahakiwa"?Tumeshachoka 24/7 Kudhihakiwa tu kwa Mipasho, Ngonjera huku tukidharauliwa na 'Dereva Deiwaka' wa Gari aina ya 'Tanzania' japo hapo awali kwakuwa alikuwa chini ya 'Dereva Mahiri' tuliamini alijifunza mengi na huenda angekuwa 'Dereva Bora' kumzidi ila kumbe ndiyo 'vulu vulu' tupu tu.
Binafsi nahitaji 2025 uwe Rais wa Bara.
Mwinyi kwao ni Mkuranga siyo Zanzibar.Nani anayemhitaji huku Tanganyika? Kwani watu wamekwisha? Labda Russia waingie hapa na kutumaliza tunao vijana wengi tena very bright
ndo huyo mkuu , hizi ndo tarehe zake . mwisho wa mwezi huu kichwa iko hyper.Ni Genta huyu huyu ninayemfahamu mimi ndiye ameyasema haya au "kahakiwa"?