Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wangu ni vema utusaidie jinsi ya kukufikishia maoni ya mtaani kwetu ! Mtaani kwetu mambo yamechacha ! Nahisi watu wako wakaribu hawakwambii ukweli kabisa ! Ni wapi sisi vijana wa mtaani tutakupatia maoni yetu ?
Haha, chawa wengine watajitokeza, wengine tayari wamejitokeza.Malaria 2 mtoe kwenye hiyo list..ameshaujua ukweli nao ukamweka huru.
Afanye kitu kinaitwa Triangulation, apate majibu toka vyanzo 3 vinavyo jutegemea badala ya singke sourceRais wangu ni vema utusaidie jinsi ya kukufikishia maoni ya mtaani kwetu ! Mtaani kwetu mambo yamechacha ! Nahisi watu wako wakaribu hawakwambii ukweli kabisa ! Ni wapi sisi vijana wa mtaani tutakupatia maoni yetu ?
wewe unahangaika naye wa nini, mwache.Rais wangu ni vema utusaidie jinsi ya kukufikishia maoni ya mtaani kwetu ! Mtaani kwetu mambo yamechacha ! Nahisi watu wako wakaribu hawakwambii ukweli kabisa ! Ni wapi sisi vijana wa mtaani tutakupatia maoni yetu ?
Mapumziko yake yote ni USA. Kutalii, shopping.Namshauri mama aangalie Al Jazeera
Hivi Tanganyika kuna wana habari au ulimaanisha wapasha habari?Kuna utaratibu nchi nyingine anaongea na wana habari kila mwezi na kujibu maswali yao. Zingine kila wiki anahojiwa na upinzani kama PMQ UK.
Hapa Tanzania atajibu mipasho anyway. Usitegemee kitu chochote cha maana kutoka kwa huyo.
Sijui kama atakusikia maana anaamini ulinzi wa binadamu ambao hawakawii kukugeuka.Rais wangu ni vema utusaidie jinsi ya kukufikishia maoni ya mtaani kwetu ! Mtaani kwetu mambo yamechacha ! Nahisi watu wako wakaribu hawakwambii ukweli kabisa ! Ni wapi sisi vijana wa mtaani tutakupatia maoni yetu ?
Maoni peleka kwa sheha/mtendaji kijiji, huna hadhi ya kuwasiliana moja kwa moja na Dr president wewe.Rais wangu ni vema utusaidie jinsi ya kukufikishia maoni ya mtaani kwetu ! Mtaani kwetu mambo yamechacha ! Nahisi watu wako wakaribu hawakwambii ukweli kabisa ! Ni wapi sisi vijana wa mtaani tutakupatia maoni yetu ?
Hawezi kusikia sababu wakiiba wanatunuku PhD za kitapeli naye ni mpenda sifa analewa sifaRais wangu ni vema utusaidie jinsi ya kukufikishia maoni ya mtaani kwetu ! Mtaani kwetu mambo yamechacha ! Nahisi watu wako wakaribu hawakwambii ukweli kabisa ! Ni wapi sisi vijana wa mtaani tutakupatia maoni yetu ?