C Chief Sanze JF-Expert Member Joined Jun 13, 2014 Posts 1,668 Reaction score 3,736 Mar 25, 2024 #21 Kadhi Mkuu 1 said: Tumekusikua Dr Samia, utaitwa hilo hilo jina lako na hatutasahau kuanza na Dr. Click to expand... Sawa mjane wa lowassa tafute namna nyingine ya kumuenzi mumeo.
Kadhi Mkuu 1 said: Tumekusikua Dr Samia, utaitwa hilo hilo jina lako na hatutasahau kuanza na Dr. Click to expand... Sawa mjane wa lowassa tafute namna nyingine ya kumuenzi mumeo.
N NIMEONA JF-Expert Member Joined Aug 4, 2019 Posts 3,862 Reaction score 5,693 Mar 25, 2024 #22 Sappire said: Chawa wanalazimisha uitwe jina lake lakini kiuhalisia wa Tanzania wengi hawataki uitwe jina Hilo.Ni Bora uitwe Arusha kuliko Hilo jina Click to expand... Watanzania wa wapi huko?
Sappire said: Chawa wanalazimisha uitwe jina lake lakini kiuhalisia wa Tanzania wengi hawataki uitwe jina Hilo.Ni Bora uitwe Arusha kuliko Hilo jina Click to expand... Watanzania wa wapi huko?
K koryo JF-Expert Member Joined Jun 21, 2010 Posts 639 Reaction score 278 Mar 25, 2024 #23 Nifah said: Wazo mujarab, naunga mkono. Click to expand... Uwanja uitwe Ngorongoro Stadium kuipa umaarufu eneo la utalii wa Ngorongoro.
Nifah said: Wazo mujarab, naunga mkono. Click to expand... Uwanja uitwe Ngorongoro Stadium kuipa umaarufu eneo la utalii wa Ngorongoro.
Mganguzi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2022 Posts 1,604 Reaction score 3,715 Mar 25, 2024 Thread starter #24 Ngunguri said: Kaite nyumba ya baba yako lowassa,uitwe Arusha Click to expand... Nyumba yangu tayari nimeandika jina la m......ako
Ngunguri said: Kaite nyumba ya baba yako lowassa,uitwe Arusha Click to expand... Nyumba yangu tayari nimeandika jina la m......ako
Mganguzi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2022 Posts 1,604 Reaction score 3,715 Mar 25, 2024 Thread starter #25 koryo said: Uwanja uitwe Ngorongoro Stadium kuipa umaarufu eneo la utalii wa Ngorongoro. Click to expand... Hata hii ni sawa
koryo said: Uwanja uitwe Ngorongoro Stadium kuipa umaarufu eneo la utalii wa Ngorongoro. Click to expand... Hata hii ni sawa
Mganguzi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2022 Posts 1,604 Reaction score 3,715 Mar 25, 2024 Thread starter #26 machiaveli said: Kuwapa majina ya watu viwanja,barabara sio ujinga tu Bali ni upumbavu kwanini wasitafute jina zuri linaloshabiiana na mahali uwanja ulipojengwa Click to expand... Hata nchi zilizoendelea watu waliofanya makubwa wanaenziwa
machiaveli said: Kuwapa majina ya watu viwanja,barabara sio ujinga tu Bali ni upumbavu kwanini wasitafute jina zuri linaloshabiiana na mahali uwanja ulipojengwa Click to expand... Hata nchi zilizoendelea watu waliofanya makubwa wanaenziwa
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Mar 25, 2024 #27 Duh aiseee
R ruhi JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 4,368 Reaction score 6,661 Mar 25, 2024 #28 Mganguzi said: Arusha stadium tunasibiri utakao Jenga wewe huu wamejenga wao Click to expand... Wamejenga wao wa nchi gani na mimi nitakayoijenga wa nchi gani? Au unamaanisha kwa pesa zangu mwenyewe.
Mganguzi said: Arusha stadium tunasibiri utakao Jenga wewe huu wamejenga wao Click to expand... Wamejenga wao wa nchi gani na mimi nitakayoijenga wa nchi gani? Au unamaanisha kwa pesa zangu mwenyewe.
C Chief Sanze JF-Expert Member Joined Jun 13, 2014 Posts 1,668 Reaction score 3,736 Mar 26, 2024 #29 Mganguzi said: Nyumba yangu tayari nimeandika jina la m......ako Click to expand... Ingependeza ungeandika mkunduz wa mama yako
Mganguzi said: Nyumba yangu tayari nimeandika jina la m......ako Click to expand... Ingependeza ungeandika mkunduz wa mama yako