Rais wapunguzie kina Mbowe asali, wamepagawa

Hawa wahuni ndio maana magufuli aliwapiga pini wakabaki wanatapa tapa.

Kuna yule mwenzao aliyeolewa UBELGIJI anakwambia tutunze faragha!

Imbecility and madness!
Pole mkuu, shida ni kuwa wewe na uzao wako mmezoea na mlifuraia kuwaona watu...
Wakibambikiwa kesi.
Wakimwagwa damu zao
Wakipotea milele
Wakitekwa na kuteswa etc

I wish angetekwa mamako au dada zako wakalatiwa na wale wahuni wa dictator JPM the devil ungeelewa why people are happy now.

Overrr
 
Wewe kwenye ukoo wenu kuna mtu alidhulumiwa,alibambikwa kesi na kumwagwa damu,au ww unazungumzia damu ipi?
 
Mimi nakushauri tu uwe mpiga kura mtiifu kwani husipopiga kura ni in otherway unasababisha kiongoz mbaya kuchaguliwa
Acha tu awe kiongozi mbaya au mzuri mi hainihusu ilimradi mambo yangu yanaenda vizuri
 
Kwa hoja hizi dhaifu tulizo zisikia siku mbili hizi tokea hio mkutano yao ya hadhara kulikua na umuhimu wa kuifungia hio mikutano.

Siasa ni utapeli uliohalalshwa na wanasiasa ni matapeli ambao wanaubinafsi ulio pitiliza
Mikutano hiyo iko kikatiba mkuu, ukisema kuifungia mikutano ni halali so unamaanisha furaha yako juu ya kuvunja katiba ambalo ni kosa na betrayal kwa nchi yako we foolish.

..so husifuraie
 
Too low.....

Umeandika ushabiki tu.

Huu ndio msimamo wenu Act ?
 
Poleni sana, Samia anawaanika viongozi wenu waganga njaa.

Mnaumia lakini Mtafanyaje sasa Mbowe na genge lake wako busy na asali yao na wala hawana mpango na nyinyi na hamna cha kuwafanya!
Kudai haki / katiba mpya nk ni wajibu wetu sote,
i.e. hata wewe una wajibu huo.

Akina mbowe hawazidi 40 au hata 50, do u think it's right wao kusimama kwa niaba yatu sisi milion 60 na zaidi, huku wewe ukiwa kt banda umiza ukiangalia EPL na dadapoas pembeni mkipanga kungonoka jioni hiyo?? Utakua unajidanganya kwa mchana

Lol hope c sawa
 
Mikutano hiyo iko kikatiba mkuu, ukisema kuifungia mikutano ni halali so unamaanisha furaha yako juu ya kuvunja katiba ambalo ni kosa na betrayal kwa nchi yako we foolish.

..so husifuraie
Sikuwahi kufurahia hata siku moja wala haupo wakati nitafurahi uvunjifu wa katiba na nadhani hakuna anae furahia kitu kama hicho.
 
Masikini Wana roho mbaya sana ndioo maana ulofa unawachakaza
 
Sukuma gang hamkani si shwari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe kwenye ukoo wenu kuna mtu alidhulumiwa,alibambikwa kesi na kumwagwa damu,au ww unazungumzia damu ipi?
Ivi wajua watu wengi kwa mamia waolopotea uko kibiti walichinjwa na kutupwa baharini na ndio waleee walikua wakipatikana coco Beach wakielea wakiwa kt plastic bags?? Kua uyaone.

Mshukur Mungu ulikuwa ukiwachukulia kama watu baki tu kwako.
 
Sikuwahi kufurahia hata siku moja wala haupo wakati nitafurahi uvunjifu wa katiba na nadhani hakuna anae furahia kitu kama hicho.
Weee dogo wewe, umesema aliyezuiq mikutano alikuwa yuko right.
Nikakuuliza uoni kuwa unaona hapo ni kuvunja katiba and you are supporting that??
 
Si kwamba Magufuli alikuwa mbaya, ubaya wake uliletwa na propaganda kutoka kwa wachumia tumbo wa kisiasa ambao mianya yao ya upigaji ilibanwa ghafla tofauti na walivyozoea huko nyuma, maisha yao yakawa magumu bila zile favour walizozoea, na hawakuwa na namna zaidi ya kuwa wapiga kelele.

Kwasasa huwezi kuwasikia wakipiga kelele kwakua wanakula na utawala, hata ufisadi utoker vipi, hela ziliwe hovyo hautasikia wakipayuka kwasababu hiyo haijawahi kuwa kazi yao mpaka pale wanaponyimwa masilahi.
 
Labda walamba asali inayopatikana katikati ya mapaj ya mamak. Mwaka huu lazima muucheze mziki wa CDM. Mmeona kwa njia ya propaganda imefeli sasa mnataka kumgombanisha rais na chadema
 
Tofautisha kati ya siasa za maridhiano na siasa za kishosti kati ya chama tawala na upinzani. Hakuna siasa za hivyo zenye tija
Kwa hiyo siasa kwako wewe ni kuleteana ubabe? Tatizo ninyi sukuma gang mnaumia kwa vile mtakosa cha kusema maana zile siasa za uadui zinakwenda kufa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…