Rais wapunguzie kina Mbowe asali, wamepagawa

Samia hawezi iba yule anamuogopa mungu sana
Huyu ndo aliwaambia wananchi kuwa hata wapigie kura wapinzani CCM itaunda serikali tu!.

Linapokuja kwenye suala la power(madaraka) , CCM wanakuchinjilia baharini hata kama umejifanya chawa wao namna gani.
 
hana lolote unafiki tu umemjaa

dhehebu lake limejaa genge la watu wanafiki sana wanaopenda kujionyesha mbele ya macho ya watu kuwa ni wema sana kumbe hawana lolote😕

nchi ina amani gani watu wanalaa njaa,acha kudanganya watu
 
Kila siku nazidi kuona jinsi CDM inavyowachanganya akili wana ccm na Genge S. Mbowe na timu yake wamewazidi kwa kila kitu, akili hadi umaarufu. Bado kidogo tu mtawapigia Mbowe na kina Lissu saluti.
 
NILISHAWAHI KUWAMBIA MBOWE ATARUDI CCM NIKABEZWA SANA HUMU HAYA ONA SASA HAYA YANAYOTOKEA SASA NASEMA TENA 2026 CDM ITAKUWA IMEKUFA RASMI KWISHA KABISA MBOWE SITAAFU KWA HESHIMA UTAAIBIKA
 
Tofautisha kati ya siasa za maridhiano na siasa za kishosti kati ya chama tawala na upinzani. Hakuna siasa za hivyo zenye tija
MAMA ANAWAVUTA ANAWAVUTA BAADAYE ATAKUJA KUWAACHA KWENYE MATAA WANASHANGAA TU NA ATAKUJA KUWABADILIKIA CDM HAWATAAMINI MACHO YAO MAMA HANA HARAKA TARATIBU
 
NILISHAWAHI KUWAMBIA MBOWE ATARUDI CCM NIKABEZWA SANA HUMU HAYA ONA SASA HAYA YANAYOTOKEA SASA NASEMA TENA 2026 CDM ITAKUWA IMEKUFA RASMI KWISHA KABISA MBOWE SITAAFU KWA HESHIMA UTAAIBIKA
Weka ushahidi ulituambia lini Na wapi. Usitake kujifanya mwenye maono wakati ni kapuku flani tu mitaa ya Lumumba .
 
Ununuzi unaendelea katika njia tofauti.

JPM aliwanunua na kuwabatiza UCCM, wale Elites hawakukubaliana na mbinu hii, JPM akaamua kuwa mbabe.

Kwa sasa style ni kuwaachia kijiwe chao CDM aka goli na kuwapelekea mabuyu ya asali waendelee kulamba huku bado wakiitwa wapinzani, style hii pia aliitumia JK wa msoga kuishi na hawa watu.
 
Sio rahisi kupunguza asali maana akifanya hivyo wataanza kumsema na yeye sio mvumilivu wa kusemwa viabaya na hawezi kuwachukulia hatua kwa sasa atayumbisha taswira aliyojijengea mbele yao.
 
Legacy ya Bimkubwa ni kutupatia Katiba mpya ya Warioba! Kulamba asali wapinzani sio ishu kubwa!
 
Pole sana mkuu. Kisaikolojia inaonekana una maumivu makali hasa baada ya kuona wale uliotegemea na kutaka wafe ama kuteseka sasa hali haiko hivyo. Wao ndio wanaokula raha. Hii kisaikolojia inaitwa sponsor afe ujue ubora wa yule uliye mdharau. Mama atawaua wengi wenu bila risasi hata moja kutumika haha
 
Poleni nyie makamanda ambao hamna namna isipokuwa kufuata akitakacho Mbowe hata kama nyie ndani ya nafsi zenu mnaumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…