Rais, Waziri Mkuu, Mkuu wa Navy, Waziri wa maafa, waziri wa mawasiliano uchukuzi na wengineo Tunaomba mjiuzuru

Rais, Waziri Mkuu, Mkuu wa Navy, Waziri wa maafa, waziri wa mawasiliano uchukuzi na wengineo Tunaomba mjiuzuru

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
 
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Kwa Afrika labda uitishe maandamano ndo utafanikiwa, watajiuzuru
 
Waanze tu! Wataishia kutoa matamko ya hapa na pale! Baada ya hapo, business as usual.
 
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Hoja yako ina mashiko,ila kwa sababu Tanzania iko Afrika!
Hilo halitawezekana kamwe!

Kwa sababu Bukoba iko Tanzania,hilo halitawezekana kamwe!

Pamoja na waziri Wa Ulinzi,Bashungwa kutoka Bukoba...
Hilo halitawezekana kamwe!
 
hivi huko kwenye mafunzo ndani ya Chama, Vyama vya upinzani huwa mnafundishana kitu gani! yaan mawazo ya hovyo ambayo hata mtoto wa standard 7 hawezi thubutu ongea..
 
Mkuu naona unajaribu kutenganusha Umoja na mshikamano wa Mafisi, haiwezekani!
Yaani fisi waache kula mifupa kwa matamko ya Sungura,sahau!
 
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Wakijiuzulu niite Mufti kuku The Infinity nimekaa pale
 
Wito mkubwa Sana huo!

Sio kwa Tanzania ninayoifahamu!!

Tuliamua kuifanya SIASA KUWA kichaka cha pesa nyingi Sana!

NDIO kosa linalotugharimu hadi kesho!Ni ngumu sana kupata uadilifu kwenye kichaka kama HIKI!!

Anahitajika kichaa mwingine,ambaye yupo tayari kujinyonga MWENYEWE kwa kuondoa mapato makubwa kwenye SIASA!

NDIO kichaa mwingine!!!

Namshukuru Mungu kwa kuwa nafaa kabisa kuifanya siasa kuwa kazi ya kawaida sana!!

Ukipata tafsiri halisi ya neno Maisha huwezi shindwa hilo!!!
 
Suala la kujiuzulu viongozi ni jambo geni, haliwezekani.. nakumbuka aliye wahi kujiuzulu ni ndugai pekee, nae kwa kulazimishwa na raia namba moja
 
umesahau kuna zile meli mbili za Zanzibar MV Icelander na nyingine.

swali serikali inashindwa nini kuweka rescue unit miji ya maziwa makuu na pwani ya bahari ya Hindi?
 
Labda atamke kanali aliyetamka kuhusu uchaguzi kurudiwa hai ccm wakasema sawa Hawa bila amri
 
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Mnataka wajiuzulu kwani waliwekwa na Jitu au walichaguliwa na wananchi? Wawe na machungu na aliewaweka au waliowachagua? Kweny falsafa uchaguzi unamaana kubwa katika uwajibikaji, but kama hawakuchaguliwa nani utawatisha? Maoni yako ni kama kilio cha samaki majini.Niwambie ndugu zangu Tusikubali kuchezewa tena kwenye uchaguzi. Tukikubali tusilalamike!! Wakitaka kula rushwa wale,wakitaka kuishi kw urefu wa kamba yao wale,wakitaka kula wale wanavotaka sisi si ndy tumetaka??
 
RC Kagera, DC -Bukoba, RPC Kagera, Mkuu wa Zima moto Kagera, Mkuu wa Jeshi-Kamandi ya Maji -Kagera. Nao waunganishwe humo.
 
Africa kuwajibika ni kuonyesha nyuso ya uchungu kwa waombolezaji na kutoa pole kwa familia basi....
 
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Mfalme Zumaridi????
Kasri lake aliache tuuuu.... kisaaaa?
 
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.

Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.

Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Hii nchi tunaishi kwa kurithishana.....wakijiuzuru tutawapata wapi viongozi wengine
 
Back
Top Bottom