Ndugu viongozi, kwa matatizo tuliyoyaona Bukoba kutokana na ajali ya precison, imeonyesha bila shaka viongozi wet na wasimamizi wa serikali wamekuwa hawajali kuwekeza katika kupamabna na majanga wakati pesa nyingi zinatumika kwenye safari na posho na wizi mkubwa. Marubani walikuwa hai kwa masaa matatu ni kwanini hata jeshi la NaVY walishindwa kuwaokoa. Ukianagalia historia ya ajalia hatarishai, za MV Bukoba, ferry la ukara, na hii ya ndege..serikal haikujali maisha ya wananchi hata ya kuwa na helicopita ya kusaidia kuokoa maisha ya watu kama jana.
Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.
Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi
Baadhi ya ndugu zetu na marubani walikuwa hai kwa zaidi ya masaa matatu kwanini tumeshindwa kuwaokoa. UKweli, kutokana na haya tunaomba viongozi wajiuzudhuru nayizfa zaio ikiwemo na makibu wakuu waote wa wizra husika.
Kam wananchi tunaumia san akuona vifo vinatoke harafu viongozi hawaonyeshi hata soni juu ya haya. Viongozi wajue kunasiku ndege itazama wakiwa ndani, je hawataokolewa? Tunaomba viongozi muwajibike kwa kujiuzuru nakuomba radhi kwa kutufanyia uzembe ulio zidi