Daah [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Wamama hua hawapumziki anaweza kuumwa haswa ila akaamka kupika mnatoka shule chakula tayari Wakati mlimuacha anaumwa...Hata akizidiwa atajitahidi mtoto anyonye ashibe.[emoji110]
View attachment 1815842
Rais Samia like many women is good at multi tasking; sio kama wanaume wanataka kumaliza task moja ndio aanze nyingine!Mungu amsaidie huyu mama, asimpungukie!
YESU NI KRISTO
Nyie endeleeni kumpoteza, lolRais Samia like many women is good at multi tasking; sio kama wanaume wanataka kumaliza task moja ndio aanze nyingine!
Mimi ningemshauri to borrow a leaf from mzee Mwinyi ya kuwa na muda wa mazoezi kila siku bila kukosa hata akiwa safarini; she can do stretching exercises.
Pole sana mkuu, nimehuzunika pamoja nawe, muombee mama yetu aachwe huru na adhabu za Mungu.mama acha aitwe mama na mwanae!!
nimefanikiwa sana leo hii kimaisha lakini ajabu mungu amemchukua mama yangu....
natamani haya mafanikio nipo nayo leo angekuwepo ayaone!hizi zote ni juhudi zake mama yangu!i wish she was there for me today..😢😢
now i feel love my mother like never before..
love her more than anything..
RIP MY MOM..
leo nalia kama ndio msiba umetokea
Unataka apumzike ili muibe, yupo hapahapa, haendi Makunduchi Hadi AugustNyie endeleeni kumpoteza....lol
Pole! Muenzi kwa mema!mama acha aitwe mama na mwanae!!
nimefanikiwa sana leo hii kimaisha lakini ajabu mungu amemchukua mama yangu....
natamani haya mafanikio nipo nayo leo angekuwepo ayaone!hizi zote ni juhudi zake mama yangu!i wish she was there for me today..[emoji22][emoji22]
now i feel love my mother like never before..
love her more than anything..
RIP MY MOM..
leo nalia kama ndio msiba umetokea
We acha tu[emoji24][emoji24][emoji24].mama acha aitwe mama na mwanae!!
nimefanikiwa sana leo hii kimaisha lakini ajabu mungu amemchukua mama yangu....
natamani haya mafanikio nipo nayo leo angekuwepo ayaone!hizi zote ni juhudi zake mama yangu!i wish she was there for me today..[emoji22][emoji22]
now i feel love my mother like never before..
love her more than anything..
RIP MY MOM..
leo nalia kama ndio msiba umetokea