Rais William Ruto atuma Jeshi Congo, KDF direct to DRC

East Africa Community against vibaraka wa Marekani, Belgium πŸ‡§πŸ‡ͺ na France πŸ‡«πŸ‡· nyuma ya mgongo wa πŸ‡·πŸ‡Ό Rwanda
 
Sasa ukishazidiwa kiuchumi na Kimalkia kwenye dunia hii, nini kingine kimesalia, wewe ndugu? Au unataka ku chapwa24 mibakora?
 
Wabongo tuna maneno mengi.
Somalia walimdunda hata US na ma black hawk yake wakayaangusha akaondoa jeshi.
 
Kagame should see this...
 
Wa-Congo wajiandae kuibiwa upya.
 
Kwamba unaenda kujificha kwenye premises za gaidi mwenyewe, then anaamua kukuibukia muda gani. Ila bila shaka hao M23 wanaenda kupigwa kama ngoma. πŸ™‚
M23 wamedekezwa tu.
Wakongo wamelegea sana.
M23 wana zana dhaifu lkn wanaisumbua nchi.

Tuone kama Kagame atajenga uhasama na Kenya kama alivyomfanyia Kikwete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…