KDF walijiibia hadi wenyewe kwenye lile skendo la west gate!!
Kama Wanamgambo wa Kihutu kutoka Rwanda wakiachwa halafu Wakenya wajifanye kushambulia M23 pekee basi huu mgogoro unaenda kuwa mkubwa na KDF watachapwa sana.Once on a battle field kufa hakuepukiki hilo fahamu, kikubwa KDF ikumbuke tu M23 wana mashambulizi ya kuvizia kambini usiku hivo wakae macho au wawaulize TPDF walifanya nini kuwafurusha hao wahuni wa M23
Naunga mkono Kenya kwa hili, inafika muda huyu bwana Kagame inabidi ashikishwe adbu kama Tanzania ilivyofanya huko nyuma dhidi ya M23.Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama nchini Kenya mheshimiwa Rais William Ruto mapema leo amekabidhi bendera ya kenya kwa Jeshi kabambe la kenya KDF kwenda kuwaokoa Wacongoman na masaibu ya vita yanayowasumbua.
View attachment 2404964
View attachment 2404965
KDF ni jeshi imara na lenye nguvu ukanda huu wa Afrika Mashariki hii ni safi kwa afya ya jumuiya yetu lazima M23 wafurushwe haraka sana.
Viva KDF Viva KDF.
Dawa ni kuwapelekea moto tu Rwanda alienda Msumbiji kutusukumia wale magaidi yaingie nchini kupitia Mtwara Wala hatukulialia tulipambana tu na hali zetu. Ni muda sasa wa kwenda Mashariki mwa Congo kusukuma waasi wanaoisumbua Congo watafute Kwa kwenda na hatutaki kusikia kelele humu.
Kama Wanamgambo wa Kihutu kutoka Rwanda wakiachwa halafu Wakenya wajifanye kushambulia M23 pekee basi huu mgogoro unaenda kuwa mkubwa na KDF watachapwa sana.
Hao ndio KIINI cha mgogoro na bado wanaeleza DHAMIRA yao ni kukamilisha MAUAJI YA KIMBARI waliyonza 1994 wasipodhibitiwa na wakiendelea kulindwa na DRC basi wacha Kenya nae akauone mziki.FDLR
Mtoto wa Museveni alikuwa na hamu na KDF sasa huko Msituni ndio kutamu Wakenya watarudi bila Viatu.
Mtoto wa Museveni alikuwa na hamu na KDF sasa huko Msituni ndio kutamu Wakenya watarudi bila Viatu.
Uganda iwasupply M23 tuone kama DRC na Kenya hawajaanza kulialia.
Nani atawasupply Kenya au wanategemea KenyanAirways?
Bora yule Mzee wa Kijaluo angeshinda uchaguzi Kenya isungeingizwa kwenye Trap kwenda kuua Vijana wake mwituni.
Kilicho mpata savimbi kinakaribia kumpata kagameHayawi hayawi sasa yamekuwa.
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama nchini Kenya mheshimiwa Rais William Ruto mapema leo amekabidhi bendera ya kenya kwa Jeshi kabambe la kenya KDF kwenda kuwaokoa Wacongoman na masaibu ya vita yanayowasumbua.
View attachment 2404964
View attachment 2404965
KDF ni jeshi imara na lenye nguvu ukanda huu wa Afrika Mashariki hii ni safi kwa afya ya jumuiya yetu lazima M23 wafurushwe haraka sana.
Viva KDF Viva KDF.
Hebu tuwekee hapa mission/Vita ambazo KDF imepigana ili tuone uzoefu wake kulinganisha na UPDF.UPDF Ni ndogo kwa KDF huo ndio ukweli wenyewe na kinachowacost FARDC ni vile hawako organised na jeshi lao lina mamluki kibao wanaouza ramani lakini wangekua pamoja waasi wote M23 , maimai, lutumba wa pokos na uchafu mwingine wote ingekua ishakua historia DRC
Kwahiyo unashauri M23 waachwe tu?Uhuru nae hivyo hivyo alituma KDF kule Somalia, Matokeo yake Alshabaab wakaja kushambulia Kenya eg. ( West Gatte attack) Ruto nae anaenda kufanya jaribio ambalo kwa haraka haraka ni vigumu hicho kikosi kufanikiwa dhidi ya M23, Serikali za DRCKongo zimepambana na hhili kundi kwa muda mpaka sasa na halionekani kurudi nyuma, kila siku wanasumbua raia katika majimbo kadhaa na kuteka miji, KDF wanaenda kufanya nini kipya humo msituni?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kama kutakua Hakuna pressure ya kutoka USA kwenda kwa Rwanda khs support Yao kwa M23 na then KDF hawezi kutoboa kamwe.Kama Wanamgambo wa Kihutu kutoka Rwanda wakiachwa halafu Wakenya wajifanye kushambulia M23 pekee basi huu mgogoro unaenda kuwa mkubwa na KDF watachapwa sana.
Kenya hapigwi mtu kule DRC.Mtoto wa Museveni alikuwa na hamu na KDF sasa huko Msituni ndio kutamu Wakenya watarudi bila Viatu.
Uganda iwasupply M23 tuone kama DRC na Kenya hawajaanza kulialia.
Nani atawasupply Kenya au wanategemea KenyanAirways?
Bora yule Mzee wa Kijaluo angeshinda uchaguzi Kenya isungeingizwa kwenye Trap kwenda kuua Vijana wake mwituni.
Hebu tuwekee hapa Vita/mission Kenya ilizowahi kupigana/kushinda mkuu ili tuipime.Kenya hapigwi mtu kule DRC.
Kenya ngoma nyingine.
Ramli mzee.Kenya hapigwi mtu kule DRC.
Kenya ngoma nyingine.
Hao KDF waliozoea kula Ugali wa Posho na Blue Band, na vita vya Misituni hawavujui hawawezi kusumama na UPDF hata mwezi mmoja.UPDF Ni ndogo kwa KDF
Msumbiji showdown uliiona? tuzime moto Mlimani mzee...tuwaanchie Nyang'au wakakurupushwe 😁😂TPDF wako na KDF