Rais Yoon wa Korea Kusini amekamatwa na Polisi kwa jaribio lake la kutangaza hali ya hatari (martial law)mwezi Desemba

Rais Yoon wa Korea Kusini amekamatwa na Polisi kwa jaribio lake la kutangaza hali ya hatari (martial law)mwezi Desemba

Huu msemo na ule mwinge wa "hakuna uhuru usio na mipaka" huwa inamaanisha nini??
Maana yake ni kuwa, uhuru wa raia mmoja unadhibitiwa na uhuru wa raia mwingine au Mipaka yake ni uhutu wa raia mwengine.
 
Halafu tunatarajia CCM waridhie katiba mpya. Yalibvyo majangili, hakuna hata mmoja atakaebaki uraini katiba mpya ikipitishwa.
 
Kitu kibaya kwenye maisha ni pale unafanya maamuzi kiserikali lakini tatizo likitokea unashughulikiwa peke yako.

Ila hiyo nchi itakuja kupata matatizo makubwa sana kama itaendelea kuhangaika kutafuta mtu mkamilifu.

Kwa sababu mtangulizi wa huyo rais yupo jela
Sheria zao mbovu sana mipolisi inaona sifa kuwafunga marais wao!!!! Marais wa Korea kusini wanateseka sana.
 
Maana yake ni kuwa, uhuru wa raia mmoja unadhibitiwa na uhuru wa raia mwingine au Mipaka yake ni uhutu wa raia mwengine.
Mbona sokoni Karume wamachinga wanapiga kelele muda wote bila kujali kuna watu ambao hawahitaji na hawapendi hizo kelele??
 
Mbona sokoni Karume wamachinga wanapiga kelele muda wote bila kujali kuna watu ambao hawahitaji na hawapendi hizo kelele??
Mipaka ya uhuru ipo kama msumeno na inatanuka na kusinyaa kama mpira. Haipo Fixed.

Wasiotaka kelele sokoni wana haki ya kuzikataa bila kuingilia uhuru wa wanaopiga kelele hapo sokoni.

Hapo hapo machinga na hiyo haki yao ya kupiga kelele wakienda hospitali wana uhuru wa kupiga kelele bila kuingilia uhuru wa wagonjwa kusikia kelele zao.

Kwa ufupi, mipaka ya kupiga kelele kwa machinga inategemeana na eneo alilopo. Sokoni mipaka inaenda mbali kuliko mahakamani.
 
Mipaka ya uhuru ipo kama msumeno na inatanuka na kusinyaa kama mpira. Haipo Fixed.

Wasiotaka kelele sokoni wana haki ya kuzikataa bila kuingilia uhuru wa wanaopiga kelele hapo sokoni.

Hapo hapo machinga na hiyo haki yao ya kupiga kelele wakienda hospitali wana uhuru wa kupiga kelele bila kuingilia uhuru wa wagonjwa kusikia kelele zao.

Kwa ufupi, mipaka ya kupiga kelele kwa machinga inategemeana na eneo alilopo. Sokoni mipaka inaenda mbali kuliko mahakamani.
Mipaka ya wahuburi na dini ikoje?
Wahuburi wanoingia na kuanza kuhubiri kwenye bus hawaingilii uhuru wa watu wasiohitaji hayo mahubiri?
Adhana haiingili uhuru wa watu wasio husika nayo?
Kwa nini shule zilikuwa zinalazimisha wanafunzi wote wahudhurie vipindi vya dini? Huku sio kuingilia uhuru wa wengine?
 
Mipaka ya wahuburi na dini ikoje?
Wahuburi wanoingia na kuanza kuhubiri kwenye bus hawaingilii uhuru wa watu wasiohitaji hayo mahubiri?
Wanaingilia.
Adhana haiingili uhuru wa watu wasio husika nayo?
Inaingilia
Kwa nini shule zilikuwa zinalazimisha wanafunzi wote wahudhurie vipindi vya dini? Huku sio kuingilia uhuru wa wengine?
Ni kuingilia.
 
Hiyo ni zaid ya katiba, vuta picha Mama Abdul kabebwa Machupichupi na wale Trafiki wawili 😂
 
Lilikuwa jaribio la kumkamata na limeshindikana
Wacha kuota ndoto za mchana. Yoon Kwisney

Screenshot_20250115_181929_Chrome.jpg
Screenshot_20250115_181949_Chrome.jpg
 
Marekani walijifanya kumkingia kifua wamempiga chini

"It may be dangerous to be America's enemy, but to be America's friend is fatal."
–Henry Kissinger (Former U.S Secretary of State)
 
Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol amekamatwa kwa jaribio la kutangaza sheria ya kijeshi.

Tukio hili linaashiria mara ya kwanza katika historia ya Korea Kusini ambapo rais aliyeko madarakani amekamatwa

Yoon anakabiliwa na mashtaka ya uasi na ufisadi kutokana na tangazo lake la sheria ya kijeshi mwezi uliopita


==================================================

South Korea’s impeached President Yoon Suk Yeol was arrested on Wednesday in a massive police operation, with the embattled leader defiantly insisting an investigation into him is illegal and he only complied to prevent violence.

His arrest, the first ever for an incumbent president, is the latest development for one of Asia's most vibrant democracies, which has a history of prosecuting and imprisoning former leaders.

In a video message recorded before he was escorted to the headquarters of South Korea's anti-corruption agency, Mr Yoon said the “rule of law has completely collapsed in this country”.

The operation to arrest Mr Yoon involved some 3,000 police officers after he had been holed up for weeks at his residence in Seoul while vowing to “fight to the end” against efforts to oust him. He had been guarded by a small army of personal security that blocked a previous arrest attempt.

The saga began on December 3 when Mr Yoon declared martial law for the first time in 44 years, saying it was needed to tackle “anti-state” opposition using their legislative majority to thwart his political agenda. He deployed troops around the National Assembly but legislators managed to get through the blockade and vote to lift the measure.

His declaration shocked South Koreans, rattled Asia's fourth largest economy and started an unprecedented period of political turmoil.
Wenye Sheria na Katiba zao hao ...
 
Marekani walijifanya kumkingia kifua wamempiga chini

"It may be dangerous to be America's enemy, but to be America's friend is fatal."
–Henry Kissinger (U.S Secretary of State)
Absolutely 💯 💯
 
Hakuna katiba bora duniani,binaadamu ni kiumbe puuzi kuliko ng,,ombe
 
Back
Top Bottom