Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

Rais Zelensky utawalipa nini NATO?

Mwisho wa hii vita ni mbaya sana ,ila marekani hajawahi kuwa rafiki mzuri siku zote,urafiki wa kimasirahi ni mbaya mno.
 
Mwisho wa hii vita ni mbaya sana ,ila marekani hajawahi kuwa rafiki mzuri siku zote,urafiki wa kimasirahi ni mbaya mno.
Ukraine wajiandae kuneemeka kwa kipindi hiki lkn baada ya muda watafirisika
 
Ukiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako.

Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma.

Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure.

Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.

Sasa hivi bila aibu unatembelea nchi wanachama kwa jeuri kabisa huku ukijipiga kifua kuwa unampiga Mrusi kwa silaha za kupewa au kuhongwa ili baadae uwauze wananchi wako.

Hakika Mungu atakulipa kwa huo utumwa wako uliokubali kuuingia ili utimize dhamira na matamanio ya kupata sifa za kijinga.

Mmawia niko paleeee nikishuhudia wana Nato wakikutumia kama taulo la kufutia miguu yao na mikono yao iliyo jaa damu za wananchi wako.

View attachment 2628605
Kuna mtu anaenda kuinamishwa soon subiri apandwe na mabeberu wa nato wakimdai hela zao

Jinga sana hili Selepunga
 
Unaonekana hilo neno ulilisikia tu sehemu ukaja lipachika. Nimeshakueleza sehemu kapate darsa sheikh. Haya mambo maamuma huwa hawayafaham mpaka sisi watu wa Ilim.
Nimeshaeleza fuatilia, sina muda wa kulitolea maelezo tena
 
Kwan huyo ndo alienda Urusi kuwaomba waivamie Ukraine ? au Urusi alipoipora Crime Zele ndo alikuwa rais kipind hicho ? au Urus alipokuwa anasaidia waas kujitenga mwaka 2014 hadi 2019 Zele ndo alichochea ? Hii vichaa mpo wengi sema mkinunua smart mnaanza ambukiza wengine ukichaa , huo mgogoro mchoche ni urusi na ndio maana majiran wengine wa Urusi wameanza jihami mapema sana mf Moldova katuma barua kujiunga na EU pia Georgia anapambania kujiunga na NATO huku Finland akiwa tyr kajiunga na NATO , sasa mmatumbi uliyeferi hesab za kuchagua ndo unajua zaid ya majiran wa urusi ?
Warusi watachukuwa kila sehemu takayoshinda
 
ila hii vita mpaka sasa naona nikama Mrusi ameshindwa kwasababu ilikua vita ya wiki moja sasa inakula miaka du usimdharau usiyemjua
 

Attachments

  • Screenshot_20230523-151801.jpg
    Screenshot_20230523-151801.jpg
    43.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom