Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naheshimu maoni yakoNakuona malaya wa siasa
Mimba uliyobeba inakupelekesha puta.Atakosaje makasiriko wakati hata uakika wa mlo wa asubuhi hana?
Kuna mtu anaenda kuinamishwa soon subiri apandwe na mabeberu wa nato wakimdai hela zaoUkiwa kibaraka kamwe huwezi kuwa na huruma kwa wananchi wako.
Rais Zelensky ameamua kuwauza wananchi wake kwa Nato bila hata ya huruma.
Nato wamekupatia vifaru,risasi,na mitambo mikubwa ya kuangamiza watu bure.
Je, unaamini hivyo vifaa wanakupatia bureee? Jiandae kuwalipa hao Nato maana hakuna cha bure duniani.
Sasa hivi bila aibu unatembelea nchi wanachama kwa jeuri kabisa huku ukijipiga kifua kuwa unampiga Mrusi kwa silaha za kupewa au kuhongwa ili baadae uwauze wananchi wako.
Hakika Mungu atakulipa kwa huo utumwa wako uliokubali kuuingia ili utimize dhamira na matamanio ya kupata sifa za kijinga.
Mmawia niko paleeee nikishuhudia wana Nato wakikutumia kama taulo la kufutia miguu yao na mikono yao iliyo jaa damu za wananchi wako.
View attachment 2628605
Fuatilia nimeshaeleza kama hujui...Unafahamu maana ya Buffer Zone?
Unaonekana hilo neno ulilisikia tu sehemu ukaja lipachika. Nimeshakueleza sehemu kapate darsa sheikh. Haya mambo maamuma huwa hawayafaham mpaka sisi watu wa Ilim.Fuatilia nimeshaeleza kama hujui...
Nimeshaeleza fuatilia, sina muda wa kulitolea maelezo tenaUnaonekana hilo neno ulilisikia tu sehemu ukaja lipachika. Nimeshakueleza sehemu kapate darsa sheikh. Haya mambo maamuma huwa hawayafaham mpaka sisi watu wa Ilim.
Naona kakomaa na mimi, anataka ufafanuzi kijanja.......nimeshamwambia afuatile nilipo eleza maana ya hicho anachotaka kujua.Wachana na huyo Lofa wa mambo yanayohitaji kutumia akili
Ndio siku uliyopewa mimba ?Tatizo lako lilianzia pale kwenye mkesha wa mbio za mwenge
Warusi watachukuwa kila sehemu takayoshindaKwan huyo ndo alienda Urusi kuwaomba waivamie Ukraine ? au Urusi alipoipora Crime Zele ndo alikuwa rais kipind hicho ? au Urus alipokuwa anasaidia waas kujitenga mwaka 2014 hadi 2019 Zele ndo alichochea ? Hii vichaa mpo wengi sema mkinunua smart mnaanza ambukiza wengine ukichaa , huo mgogoro mchoche ni urusi na ndio maana majiran wengine wa Urusi wameanza jihami mapema sana mf Moldova katuma barua kujiunga na EU pia Georgia anapambania kujiunga na NATO huku Finland akiwa tyr kajiunga na NATO , sasa mmatumbi uliyeferi hesab za kuchagua ndo unajua zaid ya majiran wa urusi ?
Naona sasa tumeelewana kwa wale wafuasi wa NATOkwa hiyo kwa akili zako ulijua ukraine ndio inayopigana na urusi ama .......View attachment 2632442