Rais Zelensky wa Ukraine anaweza kuitumbukiza dunia kwenye janga la vita kuu ya dunia

Rais Zelensky wa Ukraine anaweza kuitumbukiza dunia kwenye janga la vita kuu ya dunia

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Rais Zelensky wa Ukraine ni mtu hatari sana!! Yuko tayari kuiingiza dunia kwenye vita kuu ya dunia ili mradi tu afanikiwe kuziingiza nchi zingine moja kwa moja zipigane na Urusi. Amekuwa akitafuta upenyo wa kufanya hivyo tangu mwanzo kabisa wa vita vya ukraine.

Anaona haitoshi kupewa silaha na fedha na mafunzo tu bali angetamani vita vya ana kwa ana kati ya magharibi na urusi.

Mwanzoni alitaka NATO iweke no fly zone nchini ukraine ili ndege za urusi ziweze kutunguliwa na NATO. Ukifanya hivyo ni vita ya moja kwa moja kati ya NATO na Urusi. NATO walikataa kabisa ombi hilo!!

Kipindi hiki Ukraine bila shaka wameamua kurusha missile Poland wakati ambapo Urusi ilikuwa inaishambulia Ukraine ili kusingizia kuwa Urusi imeishambulia nchi ya NATO.

Haraka haraka Zelensky akatangaza kuwa Urusi nimeishambulia Poland mwanachama wa NATO hata kabla Serikali ya Poland haijasema kitu!! Hapa Ukraine inataka kuilazimisha NATO kuingia vitani na Urusi!!

Ila siyo rahisi NATO wakakubaliana na hilo na kuamua kuitumbukiza dunia kwenye maafa makubwa ili mradi tu kumfurahisha Zelensky.

Biden keshasema INAVYOELEKEA URUSI HAIKUHUSIKA, sasa between the lines/katikati ya mistari Biden anasema Ukraine imehusika maana kama siyo Urusi basi Ukraine itakuwa imehusika.

Mwanzo Zelensky aligomea mazungumzo lakini leo ndo anayatafuta mazungumzo ya amani na Urusi kwa udi na uvumba.
 

Missile that landed in Poland was fired by Ukraine - report​

The Associated Press news agency is quoting three US officials as saying a preliminary assessment suggests the missile that hit Poland was fired by Ukrainian forces at an incoming Russian missile.

The officials, who are not authorised to discuss the matter publicly, spoke to AP on the condition of anonymity.
Earlier on Tuesday President Biden said it was "unlikely" the missile that hit Poland was fired from Russia.
The missile landed in the village of Przedwodow near the border with Ukraine, killing two people.

Hapa wanajaribu kuifichia Ukraine uovu wake kwa kudai kuwa hiyo missile ilirushwa na Ukraine ili kuzuia cruise missile ya Urusi. Lakini Urusi imesema haikutuma missile yoyote magharibi mwa ukraine! Hata hivyo kama ni kweli hiyo missile ilirushwa na ukraine kutaka kudungua missile ya urusi mbona hiyo missile ya urusi haionekani kutua popote huko ukraine magharibi! Wauseme tu ukweli kuwa Ukraine iliamua kupiga nchini Poland ili iisingizie Urusi!! Hapa Ukraine imeishambulia nchi ya NATO!
 
Baba yao Biden keshasema HAIELEKEI/not likely kuwa Urusi ndio imehusika na kupiga missile nchini Poland!! Baada ya kauli ya baba wa nchi za magharibi Zelensky kimyaaaa! Uingereza kimyaaaa!!! Marekani ikisema ni blue hata kama ni nyeupe vibaraka wake wa nchi za ulaya wote watasema ni kwelibaba hiyo ni blue, hata kama wanaona kuwa siyo blue bali ni nyeupe!

Kauli ya Marekani huwa haipingwi huko ulaya magharibi! Kwa hiyo hata kama ni kweli kuwa Urusi imehusika Biden akisema siyo kweli itabidi kila mmoja akubali hilo!! Marekani huwa inapingwa tu na wababe wenzake kama Iran, Korea ya Kaskazini, China, Urusi, Uturuki, na kwa kiasi fulani India.
 
Baba yao Biden keshasema HAIELEKEI/not likely kuwa Urusi ndio imehusika na kupiga missile nchini Poland!! Baada ya kauli ya baba wa nchi za magharibi Zelensky kimyaaaa!!!! Uingereza kimyaaaa!!! Marekani ikisema ni blue hata kama ni nyeupe vibaraka wake wa nchi za ulaya wote watasema ni kwelibaba hiyo ni blue, hata kama wanaona kuwa siyo blue bali ni nyeupe!! Kauli ya Marekani huwa haipingwi huko ulaya magharibi! Kwa hiyo hata kama ni kweli kuwa Urusi imehusika Biden akisema siyo kweli itabidi kila mmoja akubali hilo!! Marekani huwa inapingwa tu na wababe wenzake kama Iran, Korea ya Kaskazini, China, Urusi, Uturuki, na kwa kiasi fulani India.
Ni lini imepigana na hao uliowataja mpaka useme huwa inapigwa?
 
WAZUNGU watatutawala MIAKA NENDA MIAKA RUDI LABDA YESU AJE.

VITA INAPIGANWA.
GERMANY, ITALY, FRANCE NA ENGLAND,SPAIN PORTOGAL.

ALAFU MJINGA UTAMSIKIA ANASEMA NI VITA YA DUNIA.

YANI WAPIGANE WAZUNGU USEME DUNIA.

Ujinga ni mzigo.
Wanapigana wazungu lakini athari zinasambaa dunia nzima hususan huku Afrika ndio maana inaitwa kuwa ni world war.
 
Namna ya kumaliza vita haraka ni kufanya mazungumzo sio kupeleka silaha wala kushambulia Poland ,,,,,, RUSSIA akizidiwa atakuwa kwenye option ya kutumia nuclear weapons ... UKRAINE hawezi shinda vita hii HARAKA HARAKA

Tungeomba tu hawa jamaa PUTIN na ZELEnSKY kukutana na Kumaliza vita MARA MOJA

FURAha ya marekani ni kuhakikisha kwamba yeye peke yake anabaki kuwa SUPERPOWER

so it is up to you RUSSIA and UKRAINE
 
Rais Zelensky wa Ukraine ni mtu hatari sana!! Yuko tayari kuiingiza dunia kwenye vita kuu ya dunia ili mradi tu afanikiwe kuziingiza nchi zingine moja kwa moja zipigane na Urusi. Amekuwa akitafuta upenyo wa kufanya hivyo tangu mwanzo kabisa wa vita vya ukraine!!

Anaona haitoshi kupewa silaha na fedha na mafunzo tu bali angetamani vita vya ana kwa ana kati ya magharibi na urusi.

Mwanzoni alitaka NATO iweke no fly zone nchini ukraine ili ndege za urusi ziweze kutunguliwa na NATO. Ukifanya hivyo ni vita ya moja kwa moja kati ya NATO na Urusi. NATO walikataa kabisa ombi hilo!!

Kipindi hiki Ukraine bila shaka wameamua kurusha missile Poland wakati ambapo Urusi ilikuwa inaishambulia Ukraine ili kusingizia kuwa Urusi imeishambulia nchi ya NATO.

Haraka haraka Zelensky akatangaza kuwa Urusi nimeishambulia Poland mwanachama wa NATO hata kabla Serikali ya Poland haijasema kitu!! Hapa Ukraine inataka kuilazimisha NATO kuingia vitani na Urusi!!

Ila siyo rahisi NATO wakakubaliana na hilo na kuamua kuitumbukiza dunia kwenye maafa makubwa ili mradi tu kumfurahisha Zelensky!!

Biden keshasema INAVYOELEKEA URUSI HAIKUHUSIKA, sasa between the lines/katikati ya mistari Biden anasema Ukraine imehusika maana kama siyo Urusi basi Ukraine itakuwa imehusika!!

Mwanzo Zelensky aligomea mazungumzo lakini leo ndo anayatafuta mazungumzo ya amani na Urusi kwa udi na uvumba!!
Mulitoka kusema Zelensky ni mchekeshaji sasa munasema ni mtu hatari sana, subiri hilo kombora lichunguzwe ikibidi iwe mwisho wa taifa linaloitwa russia
 
Mulitoka kusema Zelensky ni mchekeshaji sasa munasema ni mtu hatari sana, subiri hilo kombora lichunguzwe ikibidi iwe mwisho wa taifa linaloitwa russia
Toilet paper yenyewe ya kufutia mikundu inatushinda. Maji , afya, njaa , utapia Milo, elimu . Anzia tupate uhuru , utasikia . Utawasikia wajinga Fulani wakisema nitawaletea maji , maji
Screenshot_2022-11-16-11-14-03-564_com.android.chrome.jpg
 
Rais Zelensky wa Ukraine ni mtu hatari sana!! Yuko tayari kuiingiza dunia kwenye vita kuu ya dunia ili mradi tu afanikiwe kuziingiza nchi zingine moja kwa moja zipigane na Urusi. Amekuwa akitafuta upenyo wa kufanya hivyo tangu mwanzo kabisa wa vita vya ukraine!!

Anaona haitoshi kupewa silaha na fedha na mafunzo tu bali angetamani vita vya ana kwa ana kati ya magharibi na urusi.

Mwanzoni alitaka NATO iweke no fly zone nchini ukraine ili ndege za urusi ziweze kutunguliwa na NATO. Ukifanya hivyo ni vita ya moja kwa moja kati ya NATO na Urusi. NATO walikataa kabisa ombi hilo!!

Kipindi hiki Ukraine bila shaka wameamua kurusha missile Poland wakati ambapo Urusi ilikuwa inaishambulia Ukraine ili kusingizia kuwa Urusi imeishambulia nchi ya NATO.

Haraka haraka Zelensky akatangaza kuwa Urusi nimeishambulia Poland mwanachama wa NATO hata kabla Serikali ya Poland haijasema kitu!! Hapa Ukraine inataka kuilazimisha NATO kuingia vitani na Urusi!!

Ila siyo rahisi NATO wakakubaliana na hilo na kuamua kuitumbukiza dunia kwenye maafa makubwa ili mradi tu kumfurahisha Zelensky!!

Biden keshasema INAVYOELEKEA URUSI HAIKUHUSIKA, sasa between the lines/katikati ya mistari Biden anasema Ukraine imehusika maana kama siyo Urusi basi Ukraine itakuwa imehusika!!

Mwanzo Zelensky aligomea mazungumzo lakini leo ndo anayatafuta mazungumzo ya amani na Urusi kwa udi na uvumba!!
Zelensky hana uwezo wa kauanzisha vita ya dunaia ye anatumika na mataifa makubwa, huyo ni puppets tuu.

Wenye maslahi wapo nyuma huko, wao ndio wauza silaha wao ndio wanataka soko la geso na mafuta la ulaya, huyo zelensky ana maslahi gani na vita!
 
Back
Top Bottom