Tetesi: Rais, zimwi linaitesa Serikali ni watu wako wa ndani. Ask why?

Tetesi: Rais, zimwi linaitesa Serikali ni watu wako wa ndani. Ask why?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
 
Acha kuchanganya taifa na ccm kijana. Adui wa taifa letu ni mafisadi, wakandamiza haki za binadam, wasiofuata utawala bora, wanaofanya mambo kwa kukurupuka na kusababishia taifa hasara. Hao ndio maadui wakubwa wa Taifa.

Hao wanaosaidia kuweka wazi udhalimu, ufedhuli na uhalifu ni wazalendo, njaa isikutoe ufaham kuwaita maadui. Kama hakuna uovu hofu ya nini?
 
Hakika mleta thread umethibitishwa na una taaluma maalum ( Special professional)
Wewe ni Certified idiot of 2019.Ulileta uzi wa kuunga mkono mauaji, baada ya watu kukuita Certified killer sasa unageuza maneno kuwa taasisi za serikali zinatoa Siri

Jaribu kujifunza sio kila linalokujia kichwani na kukutekenya mashavu yako lazima uandike humu jukwaani

Mambo mengine yanayokujia kichwani ni malue lue na ndoto za stress ya muda wote kutetea ujinga

Moja ya vituko unatumia nguvu kubwa kutetea yanayokutekenya wakati unaowatetea hawakufahamu wala hawakupi pesa yeyote

Unaandika uzi ukitegemea mamlaka zitakutafuta kukupa pesa, wakikaa kimya unakuja na Story za vijiweni

Jipange upya mkuu au kasomea taaluma maalum zaidi ya Certified Zero Brain tutakuelewa kuwa una matatizo ya akili
 
Akili za Lissu ni times 100 zaidi ya huyo unayemshauri pamoja na watu wake wa Karibu. Pia lazima afahamu wazi kuwa sio kila mmoja aliye Karibu yake anafurahia matendo na maagizo.

Kama JK Alienda kumnusuru mwanae China akiwa na kundi dogo la wanausalama (about 4) lakini Siri zilivuja mpaka za kugawa gesi yetu, sembuse mipango haramu inayoratibiwa na Mr. Misifa DAB!!!!

Hapa Bosi ajitafakari upya. Hakuna Siri hapa Chini ya Jua. Ni vema amrudie Muumba wake kwa mwili na Roho. Asiende kimwili tu kuwafurahisha wazee wa kanisa ili wabaki kuwa upande wake. Kila mtu atalipwa kwa kadri ya matendo yake.
 
Hivi ukivujisha siri za wizi wa madini,EPA,escrow,
Nani anakuwa mbaya?wewe uliyevujisha au walioiba?
CCM msitafute mchawi,wabaya wapo CCM/serikalini,deals zote za wizi wa rasilimali zinapigwa na watu wa serikali,Lisu anaingia vipi hapo?
Mkulu akitaka kuinyoosha nchi,akamate mawaziri na makatibu wakuu wa wizara ya madini kuanzia awamu ya Mkapa,filisi funga jera,madudu yalianza 1990+
 
Lisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya akili kubwa ndio wewe, Nakupongeza Sana ,Hivi nani mwenye usingizi unaeandika "Nusu kasputi "au Lisu

Kuna muda Kama Taifa ilibidi tukusanye watoto wote wa bahati mbaya Kama wewe tuwapeleke milembe mkapumzike,

Mnaharibu vijana wetu kwa mawazo yenu mgando
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Tatizo hamjui English ,

Nitawapeni mwanangu awe mkalimani wenu ninyi macertified idiots aka maentraprentanyuwaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya akili kubwa ndio wewe, Nakupongeza Sana ,Hivi nani mwenye usingizi unaeandika "Nusu kasputi "au Lisu

Kuna muda Kama Taifa ilibidi tukusanye watoto wote wa bahati mbaya Kama wewe tuwapeleke milembe mkapumzike,

Mnaharibu vijana wetu kwa mawazo yenu mgando
Milembe wataenda kuongeza matatizo kwa wagonjwa

Hao dawa yao ni kuwawekea sumu ya panya

Maintraprentanyuwaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Kwa hiyo unaomba kibali ukamuue huyo mnyetishaji wa Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unaomba kibali ukamuue huyo mnyetishaji wa Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mleta uzi ukiangalia mada zake ni kama damu ya mauaji inamsumbua
Anaweweseka Sana Sana na ana wakati mgumu sana

Haya mambo yatamsumbua maisha yake yote hata akistaafu hiyo kazi anayoitetea humu

Mambo ya ajabu ajabu na kukimbiakimbia yatamtokea sana maishani mwake hii ni mwanzo
 
Huyu Mleta uzi ukiangalia mada zake ni kama damu ya mauaji inamsumbua
Anaweweseka Sana Sana na ana wakati mgumu sana

Haya mambo yatamsumbua maisha yake yote hata akistaafu hiyo kazi anayoitetea humu

Mambo ya ajabu ajabu na kukimbiakimbia yatamtokea sana maishani mwake hii ni mwanzo

Damu ya binadamu mbaya sana itawatesa sana maisha yao yote na watatajana wenyewe mmoja baada ya mwingine. Sijui kwanini hawakulijua hili before kutenda ushetani wao.
 
Back
Top Bottom