Tetesi: Rais, zimwi linaitesa Serikali ni watu wako wa ndani. Ask why?

Tetesi: Rais, zimwi linaitesa Serikali ni watu wako wa ndani. Ask why?

Huyu Mleta uzi ukiangalia mada zake ni kama damu ya mauaji inamsumbua
Anaweweseka Sana Sana na ana wakati mgumu sana

Haya mambo yatamsumbua maisha yake yote hata akistaafu hiyo kazi anayoitetea humu

Mambo ya ajabu ajabu na kukimbiakimbia yatamtokea sana maishani mwake hii ni mwanzo
Damu ya Ben saanane lazima aende nayo kaburini.
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Naam hatimaye tumekuwa na mtazamo mmoja kuna msemo wa kiswahili usemao ni " heri Mchawi kuliko mnafiki" huyu mtu au kikundi hiki cha watu wanadhani wamejificha sana lakini ujumbe tu uwafikie kuwa siku zao zinahesabika. Kadri TL anavyofunguka ndivyo tunavyoweza kupata mwanga wa hawa informers.
Na bila shaka hawa ndio wanao hujumu kila hatua za maendeleo za serikali hii...
Serikali ingeanza na wale waliotumwa ama waliojituma kwenye sakata la TL kisha wale waliobanwa pale St peters.!
Hawa watatoa muongozo sahihi wa tukio zima. Na washirika wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Dawa pekee ya kumnyamazisha Lissu huko Duniani aliko ili aachane na kuituhumu serikali yake, dawa hiyo aliyenayo ni serikali yenyewe kujishughulisha na suala la Lissu ikiwa ni pamoja na ;

1.Serikali kutoa ushahidi usio na shaka wa mtu halisi aliyehusika kumshambulia Lissu

2. Serikali kuieleza Dunia walikokuwa walinzi waliokuwa zamu kulinda nyumba za serikali wakati Lissu anashambuliwa.

3. Serikali kuieleza Dunia zilikokwenda CCTV camera baada ya Lissu kushambuliwa.

Kwa nini serikali ndo inapaswa kuwa na majibu haya? Kwa sababu ndo pekee ina mamlaka ya kutoa majibu hayo na si mwingine!!! Hayo ndiyo maswali pekee ambayo Lissu amekuwa akiyauliza kila kwenye chombo cha habari cha kimataifa anachoalikwa!!
 
Lisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama hapo anapowavua nguo unasema bado dawa za usingizi hazijatoka kichwani, zikija kutoka je? Anaweza chomeka vijiti mbele ya wakwe zenu zikija kumtoka hizo dawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaha
Hahahaha
Nusu kaputi na mbaya zaidi ni hizo OxyContin na Percocet ambazo ana tumia kila siku kwa ajili ya maumivu
Hizo dawa ni sawa na unga au vumbi la congo, zinamfanya mimacho inamtoka na mijidomo inamcheza, jiuso lake si unaliona lilivyo vimba
Alafu anaongea bila reasonings
Kasheshe mlemavu yule


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Tanzania ni kubwa kuliko ccm, jitahidi kuwa positive hata mara chache
 
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Kuna watu wamo ndani ya system kwa sababu tu ya mishahara. Lakini ni wapenda haki na ni waadilifu. Na si wote walioko huko ni wapenzi wa USUKUMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha
Hahahaha
Nusu kaputi na mbaya zaidi ni hizo OxyContin na Percocet ambazo ana tumia kila siku kwa ajili ya maumivu
Hizo dawa ni sawa na unga au vumbi la congo, zinamfanya mimacho inamtoka na mijidomo inamcheza, jiuso lake si unaliona lilivyo vimba
Alafu anaongea bila reasonings
Kasheshe mlemavu yule
Mkuu Kwa jinsi ulivyo andika hapa wewe ndo wa hovyo kuliko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha
Hahahaha
Nusu kaputi na mbaya zaidi ni hizo OxyContin na Percocet ambazo ana tumia kila siku kwa ajili ya maumivu
Hizo dawa ni sawa na unga au vumbi la congo, zinamfanya mimacho inamtoka na mijidomo inamcheza, jiuso lake si unaliona lilivyo vimba
Alafu anaongea bila reasonings
Kasheshe mlemavu yule


Sent using Jamii Forums mobile app
Eti huyu naye mchangiaji ?!
Ndiyo GT wa team Lumumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siri ya kupanga kudhuru wengine haijawahi kumuacha yeyote salama hii itawatesa sana usicheze na damu za watu damu ya mtu haifi huendelea kuota na kuwavuraga akili waasisi wa nia ile mbovu. Kuna wana wema ambao daima hawawezi wakakubali taifa likapakwa matope kwa ajili ya kikundi flani utakuta taarifa zinavuja kwa nia njema kuwa taifa ni kubwa kuliko wachache hao.
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.

Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.

Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.

Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.

Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.

Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?

Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?

Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.

Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.

Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
 
Huyu jamaa damu alizomwaga bila hatia inamtesa na itamtesa milele yote hadi siku ya kiama.nakushauri ndgu akatubu
 
Back
Top Bottom