Damu ya Ben saanane lazima aende nayo kaburini.Huyu Mleta uzi ukiangalia mada zake ni kama damu ya mauaji inamsumbua
Anaweweseka Sana Sana na ana wakati mgumu sana
Haya mambo yatamsumbua maisha yake yote hata akistaafu hiyo kazi anayoitetea humu
Mambo ya ajabu ajabu na kukimbiakimbia yatamtokea sana maishani mwake hii ni mwanzo
Naam hatimaye tumekuwa na mtazamo mmoja kuna msemo wa kiswahili usemao ni " heri Mchawi kuliko mnafiki" huyu mtu au kikundi hiki cha watu wanadhani wamejificha sana lakini ujumbe tu uwafikie kuwa siku zao zinahesabika. Kadri TL anavyofunguka ndivyo tunavyoweza kupata mwanga wa hawa informers.Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.
Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.
Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.
Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.
Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.
Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?
Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?
Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.
Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.
Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Hata hivyo Lissu hajawahi kuongea na wapumbavu kama wewe,level yake ni akina VOA,BBC,nkLisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa pekee ya kumnyamazisha Lissu huko Duniani aliko ili aachane na kuituhumu serikali yake, dawa hiyo aliyenayo ni serikali yenyewe kujishughulisha na suala la Lissu ikiwa ni pamoja na ;Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.
Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.
Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.
Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.
Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.
Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?
Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?
Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.
Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.
Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Sasa kama hapo anapowavua nguo unasema bado dawa za usingizi hazijatoka kichwani, zikija kutoka je? Anaweza chomeka vijiti mbele ya wakwe zenu zikija kumtoka hizo dawaLisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm kuna maprofesa wengi sana wa entrentanyuwaaaHata hivyo Lissu hajawahi kuongea na wapumbavu kama wewe,level yake ni akina VOA,BBC,nk
Halifichiki pembe la ng'ombe
Mipango wa kuua watu,kuwanyonga na kuwatorture ndio kazi pekee wanayoweza cabinet ya awamu ya tanoDamu ya Ben saanane lazima aende nayo kaburini.
Lisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ni kubwa kuliko ccm, jitahidi kuwa positive hata mara chacheMh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.
Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.
Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.
Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.
Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.
Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?
Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?
Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.
Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.
Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Kuna watu wamo ndani ya system kwa sababu tu ya mishahara. Lakini ni wapenda haki na ni waadilifu. Na si wote walioko huko ni wapenzi wa USUKUMA.Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.
Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.
Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.
Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.
Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.
Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?
Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?
Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.
Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.
Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Hahahaha
Hahahaha
Nusu kaputi na mbaya zaidi ni hizo OxyContin na Percocet ambazo ana tumia kila siku kwa ajili ya maumivu
Hizo dawa ni sawa na unga au vumbi la congo, zinamfanya mimacho inamtoka na mijidomo inamcheza, jiuso lake si unaliona lilivyo vimba
Alafu anaongea bila reasonings
Kasheshe mlemavu yule
Mkuu Kwa jinsi ulivyo andika hapa wewe ndo wa hovyo kuliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti huyu naye mchangiaji ?!Hahahaha
Hahahaha
Nusu kaputi na mbaya zaidi ni hizo OxyContin na Percocet ambazo ana tumia kila siku kwa ajili ya maumivu
Hizo dawa ni sawa na unga au vumbi la congo, zinamfanya mimacho inamtoka na mijidomo inamcheza, jiuso lake si unaliona lilivyo vimba
Alafu anaongea bila reasonings
Kasheshe mlemavu yule
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.
Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.
Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.
Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.
Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.
Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?
Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?
Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.
Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.
Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.