Na akaenda mbali zaidi ya kwamba ili wawapate wavujisha siri ni lazima kuwepo mkakati maalum wa kumtapisha Lissu siri zote aliziambiwa. Baada ya Lissu kutapika siri sijui kifuatacho ni nini. Haki ya Mungu kuna watu na watu mfano wa watu.Devil!Yes
..analalamika mtu alovujisha siri...akaenda mbali zaidi aanze kutafta mchawi alovujisha hii ishu...hatari kwakweli...!wao wanaona kawaida...haikutakiwa kuvuja..wanadhan watu wote wajinga
Na akaenda mbali zaidi ya kwamba ili wawapate wavujisha siri ni lazima kuwepo mkakati maalum wa kumtapisha Lissu siri zote aliziambiwa. Baada ya Lissu kutapika siri sijui kifuatacho ni nini. Haki ya Mungu kuna watu na watu mfano wa watu.Devil!
Kwa kusema tu kama ulivyosema ni rahisi kuwaaminisha wasiojua ukweli wa mambo ila pale tu unapoambiwa ukanushe ayasemayo kwa 'dalili' ndo hapo uharo unapobadilika kuwa ngumungumu ghafla!Lisu bado dawa za usingizi hszijatoka kichwan, nusu ksputi msrs 23 sio kidogo mjue lazima dishi lihame, so tusihangaike naye anachokiongea hata yeye hakijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kuna watu wanaamini ngonjera za kikwete kuuza gesi kisa madawa?Akili za Lissu ni times 100 zaidi ya huyo unayemshauri pamoja na watu wake wa Karibu. Pia lazima afahamu wazi kuwa sio kila mmoja aliye Karibu yake anafurahia matendo na maagizo.
Kama JK Alienda kumnusuru mwanae China akiwa na kundi dogo la wanausalama (about 4) lakini Siri zilivuja mpaka za kugawa gesi yetu, sembuse mipango haramu inayoratibiwa na Mr. Misifa DAB!!!!
Hapa Bosi ajitafakari upya. Hakuna Siri hapa Chini ya Jua. Ni vema amrudie Muumba wake kwa mwili na Roho. Asiende kimwili tu kuwafurahisha wazee wa kanisa ili wabaki kuwa upande wake. Kila mtu atalipwa kwa kadri ya matendo yake.
Yule ndio alikuwa spika wa bungeWakati wa jester ya Richmond Marehemu Sitta aliwaambia wabunge wenzake kuwa haiwezekani kuwa na mshikamano kwenye uovu.
Kwa hiyo uko upande wa wauaji? Unataka siri ya mauaji itunzwe?
Na akaenda mbali zaidi ya kwamba ili wawapate wavujisha siri ni lazima kuwepo mkakati maalum wa kumtapisha Lissu siri zote aliziambiwa. Baada ya Lissu kutapika siri sijui kifuatacho ni nini. Haki ya Mungu kuna watu na watu mfano wa watu.Devil!
Ndiyomaana walitaka arudi wamrushe frog jump aseme yote.Na akaenda mbali zaidi ya kwamba ili wawapate wavujisha siri ni lazima kuwepo mkakati maalum wa kumtapisha Lissu siri zote aliziambiwa. Baada ya Lissu kutapika siri sijui kifuatacho ni nini. Haki ya Mungu kuna watu na watu mfano wa watu.Devil!
Kila goti litapigwa siku hiyo.......Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni.
Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe.
Either walimpa tango pori au ni kweli aliyo ambiwa kuna watu wanatoa siri nyeti za serikali na hao ndio maadui wa kwanza wa taifa.
Maana ndio waliosababisha lisu kuamini kile anaamini.
Maneno kama anaogopa kuwataja watu walio mwambia siri ya shambuliz lake kwani watauwawa ni uthibitisho tosha wapo watu ndani ya serikali wanatoa siri za serikali.
Mtu huyo mkubwa alie waambia wabunge wanao shabikia mambo ya lisu ni nan?
Mtu mkubwa alie ongea kwenye kikao cha mawaziri ambacho ni siri ninani?
Waziri huyo pia ni adui namba moja wa taifa pamoja na wote wanao mpa siri Lisu.
Nimalizie kwa kusema Lisu ana taarifa ambayo ni nyeti sana na kumaliza zengwe nilazima akili itumike kumtapisha siri zote.
Nimalizie kwa kusema Adui yetu sasa tunamjuwa ni watumishi ndani ya idara zetu wasio kuwa waaminifu.
Ndiyo amekiri hivyo....mdogo mdogo mambo hadharaniKwahiyo unalalamika kuhusu aliyetoa siri za serikali kumuua Lissu au? Kama nimeelewa vizuri bandiko lako.