Raisi Samia, NHIF inakugombanisha na wazee makusudi kabisa, kinyongo na manung'uniko yao vitakuletea mikosi kwenye uongozi wako

Raisi Samia, NHIF inakugombanisha na wazee makusudi kabisa, kinyongo na manung'uniko yao vitakuletea mikosi kwenye uongozi wako

don-mike

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
600
Reaction score
1,178
Kutokana na kadhia ntayoielezea hapa chini ndio niliyasikia manung'uniko ya wazee, kibaya wazee hawajui kama NHIF ina mkurugenzi mtendaji, wazee wanamjua Mama Samia, lawama zote ni Mama Samia,. Hapa ndio kwa mara ya kwanza nimeone wazee waliokunywa maji ya kijani wakiilaani CCM, na mengine mengi.

Wiki iliyopita nimeshuhudia jambo la ajabu kabisa kutoka NHIF, ukiacha kuhuzunika ila limenitafakarisha sana.

NHIF imeanza utaratibu wa kuhakiki kadi za bima, utaratibu ambao haukuwepo kabla, utaratibu ambao umeanza kiholela bila kuwataarifu wanachama wake, utaratibu wa hovyo kama lilivyo shirika lenyewe ovyo.

Wazee wengi wamekuwa na magonjwa yanayowafanya watumie dawa maisha yao yote, wazee hawa wengi wao hawana nguvu za kwenda kila mwezi kuchukua dawa hospitalini kutokana na magonjwa yao, hivyo inalazimu ndugu wa karibu wachukue jukumu la kwenda kuchukua dawa hospitalini.

Chakushangaza NHIF sasa inakataza hawa wazee kuchukuliwa dawa, wanataka hawa wazee wafike wenyewe kuchukua dawa. Hapa ndipo tatizo lilipo. Muda mrefu tumekuwa tunaomba hawa wazee wapewe dawa za muda mrefu (siku 90 - siku 180), ili achukue dawa mara anapoenda kumuona daktari, ila NHIF hawataki, wanataka toa dawa za siku 30 tu.

Hawa wazee wamechangia huu mfuko maisha yao yote ila leo wanaonekana wasumbufu kwa mfuko waliouchangia maisha yao yote.

Kutokana na kadhia hii ilibidi ndugu wawarudie wazee hao majumbani mwao na kuja nao hospitali, kwa namna wazee hawa walivyochoka, wengine wanakuja kwenye wheel chairs, wengi ni wakushikwa mikono, wapo hata wanaotetemeka tu muda wote, yani hao wote wanafanyiwa makusudi na NHIF.

Kwa hiki kinachofanywa na NHIF tutegemee vifo vingi vya wazee kwa kukosa madawa yanayowafanya waendelee kuwepo duniani hapa.

Ni hayo tu.
 
Hatupendi accountability Kabisa wabongo

Tunataka utelezi
 
Kutokana na kadhia ntayoielezea hapa chini ndio niliyasikia manung'uniko ya wazee, kibaya wazee hawajui kama NHIF ina mkurugenzi mtendaji, wazee wanamjua Mama Samia, lawama zote ni Mama Samia,. Hapa ndio kwa mara ya kwanza nimeone wazee waliokunywa maji ya kijani wakiilaani CCM, na mengine mengi.

Wiki iliyopita nimeshuhudia jambo la ajabu kabisa kutoka NHIF, ukiacha kuhuzunika ila limenitafakarisha sana.

NHIF imeanza utaratibu wa kuhakiki kadi za bima, utaratibu ambao haukuwepo kabla, utaratibu ambao umeanza kiholela bila kuwataarifu wanachama wake, utaratibu wa hovyo kama lilivyo shirika lenyewe ovyo.

Wazee wengi wamekuwa na magonjwa yanayowafanya watumie dawa maisha yao yote, wazee hawa wengi wao hawana nguvu za kwenda kila mwezi kuchukua dawa hospitalini kutokana na magonjwa yao, hivyo inalazimu ndugu wa karibu wachukue jukumu la kwenda kuchukua dawa hospitalini.

Chakushangaza NHIF sasa inakataza hawa wazee kuchukuliwa dawa, wanataka hawa wazee wafike wenyewe kuchukua dawa. Hapa ndipo tatizo lilipo. Muda mrefu tumekuwa tunaomba hawa wazee wapewe dawa za muda mrefu (siku 90 - siku 180), ili achukue dawa mara anapoenda kumuona daktari, ila NHIF hawataki, wanataka toa dawa za siku 30 tu.

Hawa wazee wamechangia huu mfuko maisha yao yote ila leo wanaonekana wasumbufu kwa mfuko waliouchangia maisha yao yote.

Kutokana na kadhia hii ilibidi ndugu wawarudie wazee hao majumbani mwao na kuja nao hospitali, kwa namna wazee hawa walivyochoka, wengine wanakuja kwenye wheel chairs, wengi ni wakushikwa mikono, wapo hata wanaotetemeka tu muda wote, yani hao wote wanafanyiwa makusudi na NHIF.

Kwa hiki kinachofanywa na NHIF tutegemee vifo vingi vya wazee kwa kukosa madawa yanayowafanya waendelee kuwepo duniani hapa.

Ni hayo tu.
Mikosi na laana zilianzia kwenye TOTO Afya Kadi.

HuwezI kuwatolea watoto wadogo bima Afu ukabaki salama
 
Na sasa wanaanza utaratibu mpya wa kutumia fingerprint, hapo ndio kabisa inabidi wafike wenyewe.
 
Hamna tatizo hapo wanachofanya ni kitu kizur kwa manufaa ya mfuko(Nhif) , nimeona hivyo pale Beni Mkapa Hospital nawapongeza Sana
Kuna mwanya wa wizi wameuona so wamekuja na hiyo mbinu kupunguza gharama/bill hewa kutoka kwenye hizo hospitali
 
mikosi mala ya ngapi, ya DP WORLD haitoshi kwani???
 
Na sasa wanaanza utaratibu mpya wa kutumia fingerprint, hapo ndio kabisa inabidi wafike

Kwangu naona hiyo ni miradi tu ya watu kulitafuna mfuko, wataenda zibebesha pia mzigo hospital nyingi zisizo na uwezo wa kufunga hizo system zao.

Kama ni wizi wao wenyewe na vi polytech hospital vyao ndio wezi wakubwa.
 
Na sasa wanaanza utaratibu mpya wa kutumia fingerprint, hapo ndio kabisa inabidi wafike wenyewe.
Finger print ni muhimu

Watu wengi wamekua wakiabuse NHIF kwa kadi moja kutibu zaidi ya mtu mmoja

Ni inconvenience Kwa sasa lakini ni muhimu sana Kwa uhai wa mfuko
 
Finger print ni muhimu

Watu wengi wamekua wakiabuse NHIF kwa kadi moja kutibu zaidi ya mtu mmoja

Ni inconvenience Kwa sasa lakini ni muhimu sana Kwa uhai wa mfuko
kwanini unadhani jubilee na bima nyingine zina survive bila hayo ma-fingerprint?

shida ya NHIF inaanza kwenye namna ya kuendesha shirika. Shirika limejaa wafanyakazi wengi redundunt kuliko uwezo wake, mwisho wa siku wanaanza tafuta uchawi.
 
Hamna tatizo hapo wanachofanya ni kitu kizur kwa manufaa ya mfuko(Nhif) , nimeona hivyo pale Beni Mkapa Hospital nawapongeza Sana
Kuna mwanya wa wizi wameuona so wamekuja na hiyo mbinu kupunguza gharama/bill hewa kutoka kwenye hizo hospitali
Hivi umesoma thread kwaufahamu na kuelewa ni ninihasa kinalalamikiwa? Ni hivi. Tatizo ni kufanya mambo bila taarifa na maandalizi ya kutosha. Huwezi kubadili utaratibu bila kutoa kwanza taarifa na kuandaa wateja ili kusiwe na usumbufu.
 
kwanini unadhani jubilee na bima nyingine zina survive bila hayo ma-fingerprint?

shida ya NHIF inaanza kwenye namna ya kuendesha shirika. Shirika limejaa wafanyakazi wengi redundunt kuliko uwezo wake, mwisho wa siku wanaanza tafuta uchawi.
Zinatumika finger prints na wako strict sana

Tulizoea NHIF kuichezea sasa wanaelekea huko Kwa strategis na jubilee
 
Hivi umesoma thread kwaufahamu na kuelewa ni ninihasa kinalalamikiwa? Ni hivi. Tatizo ni kufanya mambo bila taarifa na maandalizi ya kutosha. Huwezi kubadili utaratibu bila kutoa kwanza taarifa na kuandaa wateja ili kusiwe na usumbufu.

umenena vyema kabisa, huko kwenye mifuko ya kijamii mbona waga wanawapa hawa wazee wetu miezi 3 ya kwenda kujihakiki.

imagine mzee wa watu kaenda jipumzikia kijijini huko, mtoto wake anaenda mchukulia dawa, anakutana na kadhia hiyo, hapo hana fedha za kununua dawa kwa cash, unakuta mzee keshachoka kumsafirisha ni gharama, si ndio wanawaua wazee kijanja.
 
1. Wazee hawajachangia mfuko wa NHIF maisha yao yote: huo mfuko hauna hata miaka 20 hapo ulipo.
2. Finger prints ni muhimu sana ili kufahamu wateja halisi wa bima ya NHIF. Bima zenye performance nzuri zinatumia finger prints.
3. Mfuko wajitahidi kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya hasa katika hispitali private kama Aga Khan.

Kutokana na kadhia ntayoielezea hapa chini ndio niliyasikia manung'uniko ya wazee, kibaya wazee hawajui kama NHIF ina mkurugenzi mtendaji, wazee wanamjua Mama Samia, lawama zote ni Mama Samia,. Hapa ndio kwa mara ya kwanza nimeone wazee waliokunywa maji ya kijani wakiilaani CCM, na mengine mengi.

Wiki iliyopita nimeshuhudia jambo la ajabu kabisa kutoka NHIF, ukiacha kuhuzunika ila limenitafakarisha sana.

NHIF imeanza utaratibu wa kuhakiki kadi za bima, utaratibu ambao haukuwepo kabla, utaratibu ambao umeanza kiholela bila kuwataarifu wanachama wake, utaratibu wa hovyo kama lilivyo shirika lenyewe ovyo.

Wazee wengi wamekuwa na magonjwa yanayowafanya watumie dawa maisha yao yote, wazee hawa wengi wao hawana nguvu za kwenda kila mwezi kuchukua dawa hospitalini kutokana na magonjwa yao, hivyo inalazimu ndugu wa karibu wachukue jukumu la kwenda kuchukua dawa hospitalini.

Chakushangaza NHIF sasa inakataza hawa wazee kuchukuliwa dawa, wanataka hawa wazee wafike wenyewe kuchukua dawa. Hapa ndipo tatizo lilipo. Muda mrefu tumekuwa tunaomba hawa wazee wapewe dawa za muda mrefu (siku 90 - siku 180), ili achukue dawa mara anapoenda kumuona daktari, ila NHIF hawataki, wanataka toa dawa za siku 30 tu.

Hawa wazee wamechangia huu mfuko maisha yao yote ila leo wanaonekana wasumbufu kwa mfuko waliouchangia maisha yao yote.

Kutokana na kadhia hii ilibidi ndugu wawarudie wazee hao majumbani mwao na kuja nao hospitali, kwa namna wazee hawa walivyochoka, wengine wanakuja kwenye wheel chairs, wengi ni wakushikwa mikono, wapo hata wanaotetemeka tu muda wote, yani hao wote wanafanyiwa makusudi na NHIF.

Kwa hiki kinachofanywa na NHIF tutegemee vifo vingi vya wazee kwa kukosa madawa yanayowafanya waendelee kuwepo duniani hapa.

Ni hayo tu.
 
1. Wazee hawajachangia mfuko wa NHIF maisha yao yote: huo mfuko hauna hata miaka 20 hapo ulipo.
2. Finger prints ni muhimu sana ili kufahamu wateja halisi wa bima ya NHIF. Bima zenye performance nzuri zinatumia finger prints.
3. Mfuko wajitahidi kuboresha upatikanaji wa huduma bora za afya hasa katika hispitali private kama Aga Khan.
Go back to your facts ujifunze zaidi uache kupotosha
1. Unaanza kwa kusema uongo, 2001 tayari nilikuwa na kadi ya NHIF kupitia mzee wangu, sasa sijui 2001 hadi leo ni miaka mingapi, huko nyuma sijui ilishafanya kazi kwa muda gani, ila 2001 miaka 22 toka sasa mimi nilishaanza tumia huduma za NHIF.

2. Finger prints sio issue kutumika, ila zitumike pale mgonjwa anapoenda muona daktari, uwekwe utaratibu wa mgonjwa kuchukuriwa dawa, au daktari ampatie mgonjwa dawa hadi za appointment inayofuata kuepuka usumbufu wa kuchukuliwa dawa. Sijui kwa nini NHIF inaogopa mgonjwa kukaa na dawa zake.

3. Ubinafsi wa kutaka kutibiwa Aga Khan ndio unakusumbua, NHIF iache longo longo kulimbikiza madai ya Hospitals kwa muda mrefu, ili hospital ziweze jiendesha kwa faida na kukua kwa haraka ili watu wasihitaji fika Aga Khan tu ili wapate posh services.
 
Ok, good kuwa NHIF ilikuwepo since early 2000s. Lakini bado wazee wako hawakuchangia huo mfuko maisha yao yote. Hii mifuko haijaanzishwa enzi hizo. Uboreshaji bado ni inevitable. BTW NHIF inahudumia sehemu ndogo sana ya wananchi. Kuna wazee wanaolipa cash hospitali for a living, weka pongezi kwa kile kinachopatikana kwa sasa.
 
Kutokana na kadhia ntayoielezea hapa chini ndio niliyasikia manung'uniko ya wazee, kibaya wazee hawajui kama NHIF ina mkurugenzi mtendaji, wazee wanamjua Mama Samia, lawama zote ni Mama Samia,. Hapa ndio kwa mara ya kwanza nimeone wazee waliokunywa maji ya kijani wakiilaani CCM, na mengine mengi.

Wiki iliyopita nimeshuhudia jambo la ajabu kabisa kutoka NHIF, ukiacha kuhuzunika ila limenitafakarisha sana.

NHIF imeanza utaratibu wa kuhakiki kadi za bima, utaratibu ambao haukuwepo kabla, utaratibu ambao umeanza kiholela bila kuwataarifu wanachama wake, utaratibu wa hovyo kama lilivyo shirika lenyewe ovyo.

Wazee wengi wamekuwa na magonjwa yanayowafanya watumie dawa maisha yao yote, wazee hawa wengi wao hawana nguvu za kwenda kila mwezi kuchukua dawa hospitalini kutokana na magonjwa yao, hivyo inalazimu ndugu wa karibu wachukue jukumu la kwenda kuchukua dawa hospitalini.

Chakushangaza NHIF sasa inakataza hawa wazee kuchukuliwa dawa, wanataka hawa wazee wafike wenyewe kuchukua dawa. Hapa ndipo tatizo lilipo. Muda mrefu tumekuwa tunaomba hawa wazee wapewe dawa za muda mrefu (siku 90 - siku 180), ili achukue dawa mara anapoenda kumuona daktari, ila NHIF hawataki, wanataka toa dawa za siku 30 tu.

Hawa wazee wamechangia huu mfuko maisha yao yote ila leo wanaonekana wasumbufu kwa mfuko waliouchangia maisha yao yote.

Kutokana na kadhia hii ilibidi ndugu wawarudie wazee hao majumbani mwao na kuja nao hospitali, kwa namna wazee hawa walivyochoka, wengine wanakuja kwenye wheel chairs, wengi ni wakushikwa mikono, wapo hata wanaotetemeka tu muda wote, yani hao wote wanafanyiwa makusudi na NHIF.

Kwa hiki kinachofanywa na NHIF tutegemee vifo vingi vya wazee kwa kukosa madawa yanayowafanya waendelee kuwepo duniani hapa.

Ni hayo tu.
Kiukweli niupongeze uamuzi wa NHIF kuanza kutumia fingerprint kwani ilikua kama shama la bibi, unakuta kadi moja inatumiwa na watu zaidi ya 10. Big up sana kwao udhibiti mzuri
 
Kutokana na kadhia ntayoielezea hapa chini ndio niliyasikia manung'uniko ya wazee, kibaya wazee hawajui kama NHIF ina mkurugenzi mtendaji, wazee wanamjua Mama Samia, lawama zote ni Mama Samia,. Hapa ndio kwa mara ya kwanza nimeone wazee waliokunywa maji ya kijani wakiilaani CCM, na mengine mengi.

Wiki iliyopita nimeshuhudia jambo la ajabu kabisa kutoka NHIF, ukiacha kuhuzunika ila limenitafakarisha sana.

NHIF imeanza utaratibu wa kuhakiki kadi za bima, utaratibu ambao haukuwepo kabla, utaratibu ambao umeanza kiholela bila kuwataarifu wanachama wake, utaratibu wa hovyo kama lilivyo shirika lenyewe ovyo.

Wazee wengi wamekuwa na magonjwa yanayowafanya watumie dawa maisha yao yote, wazee hawa wengi wao hawana nguvu za kwenda kila mwezi kuchukua dawa hospitalini kutokana na magonjwa yao, hivyo inalazimu ndugu wa karibu wachukue jukumu la kwenda kuchukua dawa hospitalini.

Chakushangaza NHIF sasa inakataza hawa wazee kuchukuliwa dawa, wanataka hawa wazee wafike wenyewe kuchukua dawa. Hapa ndipo tatizo lilipo. Muda mrefu tumekuwa tunaomba hawa wazee wapewe dawa za muda mrefu (siku 90 - siku 180), ili achukue dawa mara anapoenda kumuona daktari, ila NHIF hawataki, wanataka toa dawa za siku 30 tu.

Hawa wazee wamechangia huu mfuko maisha yao yote ila leo wanaonekana wasumbufu kwa mfuko waliouchangia maisha yao yote.

Kutokana na kadhia hii ilibidi ndugu wawarudie wazee hao majumbani mwao na kuja nao hospitali, kwa namna wazee hawa walivyochoka, wengine wanakuja kwenye wheel chairs, wengi ni wakushikwa mikono, wapo hata wanaotetemeka tu muda wote, yani hao wote wanafanyiwa makusudi na NHIF.

Kwa hiki kinachofanywa na NHIF tutegemee vifo vingi vya wazee kwa kukosa madawa yanayowafanya waendelee kuwepo duniani hapa.

Ni hayo tu.
.
IMG-20230710-WA0001.jpg
 
Kutokana na kadhia ntayoielezea hapa chini ndio niliyasikia manung'uniko ya wazee, kibaya wazee hawajui kama NHIF ina mkurugenzi mtendaji, wazee wanamjua Mama Samia, lawama zote ni Mama Samia,. Hapa ndio kwa mara ya kwanza nimeone wazee waliokunywa maji ya kijani wakiilaani CCM, na mengine mengi.

Wiki iliyopita nimeshuhudia jambo la ajabu kabisa kutoka NHIF, ukiacha kuhuzunika ila limenitafakarisha sana.

NHIF imeanza utaratibu wa kuhakiki kadi za bima, utaratibu ambao haukuwepo kabla, utaratibu ambao umeanza kiholela bila kuwataarifu wanachama wake, utaratibu wa hovyo kama lilivyo shirika lenyewe ovyo.

Wazee wengi wamekuwa na magonjwa yanayowafanya watumie dawa maisha yao yote, wazee hawa wengi wao hawana nguvu za kwenda kila mwezi kuchukua dawa hospitalini kutokana na magonjwa yao, hivyo inalazimu ndugu wa karibu wachukue jukumu la kwenda kuchukua dawa hospitalini.

Chakushangaza NHIF sasa inakataza hawa wazee kuchukuliwa dawa, wanataka hawa wazee wafike wenyewe kuchukua dawa. Hapa ndipo tatizo lilipo. Muda mrefu tumekuwa tunaomba hawa wazee wapewe dawa za muda mrefu (siku 90 - siku 180), ili achukue dawa mara anapoenda kumuona daktari, ila NHIF hawataki, wanataka toa dawa za siku 30 tu.

Hawa wazee wamechangia huu mfuko maisha yao yote ila leo wanaonekana wasumbufu kwa mfuko waliouchangia maisha yao yote.

Kutokana na kadhia hii ilibidi ndugu wawarudie wazee hao majumbani mwao na kuja nao hospitali, kwa namna wazee hawa walivyochoka, wengine wanakuja kwenye wheel chairs, wengi ni wakushikwa mikono, wapo hata wanaotetemeka tu muda wote, yani hao wote wanafanyiwa makusudi na NHIF.

Kwa hiki kinachofanywa na NHIF tutegemee vifo vingi vya wazee kwa kukosa madawa yanayowafanya waendelee kuwepo duniani hapa.

Ni hayo tu.
Unalosema uko sahihi. Nipo hapa MZRH, Mbeya nimemleta mzee.. Kwa jumla, wazee wananyanyasika hadi unaogopa na kuchukia uzee.
Kumwona daktari sasa! Department ya maradhi ya moyo ndoyo imevunja rekodi ya urasimu. Ni masaa 4 sasa daktari anasubiriwa. Nnji hii!
 
Kama kawaida mmekuja na utetezi usio na kichwa wala miguu. Naomba mjue kwamba hakuna mtu anayependa kwenda mchukulia mtu dawa, usumbufu waa kuacha shughuli zako za kukuingizia kipato uende panga foleni ya dawa hakuna anayependezwa na hali hiyo.

Kama hamtaki hawa wazee kuchukuliwa dawa basi at minimum muwape dawa za siku 90 na sio 30 kama mnavyo-waforce madaktari.

Mmekula fedha za hawa wazee kwa muda mrefu, toeni huduma stahiki.
 
Unachosema ni kweli mtupu mabadiliko ni mzuri ili yalete tija. Lkn taarifa itolewa. Mi binafsi kuna bibi yangu aliungwa bima na mtoto wake,,sijui imekuaje eti wamemtoa..Siku hiyo ameenda hospitali anaambiwa kadi yako haifanyi kazi hebu fikiria ikabidi mtoto wake aende kuuliza tatizo nini anaambiwa eti taarifa ilituma kwenye sms aende kuhakiki hivyo kwa sababu hajaenda ndo maana wamemtoa. Sasa dunia ya leo taarifa muhimu mtu unampa kwa sms? Na je kama shirika lina amini vipi taarifa imefika kwa walengwa hadi wafikie hatua ya kumtoa mtu.

Ikabidi aambiwe apeleke taarifa upya ili arudishwe kwenye mfumo. Kweli ni kuwachosha wazeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom