Raisi Samia Suluhu muige Ibrahim Traore wa Burkina Fasso

Aige nini kwa mtu alie pindua rais
 
Huyu Mwamba anajua anachokifanya soon or later atazipiku nchi nyingi za Kiafrika .Burkinafaso itakuwa ni nchi ya kuigwa barani Afrika.Kasema kila kitu kinawezekana na tunaweza kwenda bila ya wamagharibi bravo captain Traore.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…