Raja Casablanca FC wametegwa Makusudi na Simba SC na wameingia Mtegoni hawatoamini Macho yao

Raja Casablanca FC wametegwa Makusudi na Simba SC na wameingia Mtegoni hawatoamini Macho yao

Hapa nakupa kongole Mkuu MINOCYCLINE ilikuwa kabla ya kunywa mbege katika vijiwe vya Makolo Katavi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚
IMG_20230218_211559.jpg
 
Ukiwekeza kwenye uchawi badala ya kufanya usajili uwezi kukiepuka hiki kikombe, ni lazima uchezee vichapo kama hivi vya kuanzia goli 3 tena ukiwa nyumbani kwako, Msemo wa kwa mkapa atoki mtu umewapumbaza bila kujua timu inao kina kibu denis na wakina sawsdogo yaani hapo ata mlete mganga kutoka Nigeria mtachapwa tu mpaka akili ziwakae sawa
 
Ila we jamaa sa ivi umewageuka wenzako ushawaanzishia kama nyuzi 10 za kuwaponda
 
Siku zote Uchawi wa Simba SC (hasa Jini lake la Ushindi) huwa linafanya Kazi vyema kuanzia Saa 1 Kamili Usiku mpaka Saa 5 na dakika 59 Usiku.

Na hakuna Mechi yoyote Ngumu (ya Kimaamuzi) hasa ya CAFCL au CAFCC Simba SC imecheza Saa 1 Kamili Usiku na haijapata Ushindi wowote.

Kilichofanywa na Simba SC ni Akili Kubwa ambayo huwezi kuikuta Yanga SC na kwa Mtangazaji Maulid Kitenge ambapo Simba SC waliwatega Raja Casablanca FC wacheze Saa 10 Jua Kali kisha akapandikizwa Mtu awaambie Wakatae na Wawaambie CAF ili mechi ichezwe muda wa Machinjio ya Jini Saa 1 Kamili Usiku na Wao wakakubali na Kufurahia wakisahau kuwa hata Simba SC waliulenga huo muda na Mambo yameenda sawa.

Yaani MINOCYCLINE niingie Kazini Raja Casablanca FC asife vibaya Jumamosi kwa Mkapa? Thubutu....hawatoamini Macho yao Kudadadeki.
Mmekula Chuma tatu na uchawi wenu mmerudi nyuma nyuma mmepigwa vitatu [emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom