adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Hapa nakupa kongole Mkuu MINOCYCLINE ilikuwa kabla ya kunywa mbege katika vijiwe vya Makolo Katavi ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na'am huwa haadhirAnta haadhiir
Mmepigwa Chuma tatu kama mmesimama kelele nyinyi timu utumbo [emoji23][emoji23]uzi wa kitopolo sijapata kuona tangu february iingie aisee
Mmekula Chuma tatu na uchawi wenu mmerudi nyuma nyuma mmepigwa vitatu [emoji13][emoji13]Siku zote Uchawi wa Simba SC (hasa Jini lake la Ushindi) huwa linafanya Kazi vyema kuanzia Saa 1 Kamili Usiku mpaka Saa 5 na dakika 59 Usiku.
Na hakuna Mechi yoyote Ngumu (ya Kimaamuzi) hasa ya CAFCL au CAFCC Simba SC imecheza Saa 1 Kamili Usiku na haijapata Ushindi wowote.
Kilichofanywa na Simba SC ni Akili Kubwa ambayo huwezi kuikuta Yanga SC na kwa Mtangazaji Maulid Kitenge ambapo Simba SC waliwatega Raja Casablanca FC wacheze Saa 10 Jua Kali kisha akapandikizwa Mtu awaambie Wakatae na Wawaambie CAF ili mechi ichezwe muda wa Machinjio ya Jini Saa 1 Kamili Usiku na Wao wakakubali na Kufurahia wakisahau kuwa hata Simba SC waliulenga huo muda na Mambo yameenda sawa.
Yaani MINOCYCLINE niingie Kazini Raja Casablanca FC asife vibaya Jumamosi kwa Mkapa? Thubutu....hawatoamini Macho yao Kudadadeki.
Vipi mwarabu kafa?[emoji13][emoji13]Muhimu mwarabu afe Dar