Raja Casablanca FC wametegwa Makusudi na Simba SC na wameingia Mtegoni hawatoamini Macho yao

Hapa nakupa kongole Mkuu MINOCYCLINE ilikuwa kabla ya kunywa mbege katika vijiwe vya Makolo Katavi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukiwekeza kwenye uchawi badala ya kufanya usajili uwezi kukiepuka hiki kikombe, ni lazima uchezee vichapo kama hivi vya kuanzia goli 3 tena ukiwa nyumbani kwako, Msemo wa kwa mkapa atoki mtu umewapumbaza bila kujua timu inao kina kibu denis na wakina sawsdogo yaani hapo ata mlete mganga kutoka Nigeria mtachapwa tu mpaka akili ziwakae sawa
 
Ila we jamaa sa ivi umewageuka wenzako ushawaanzishia kama nyuzi 10 za kuwaponda
 
Mmekula Chuma tatu na uchawi wenu mmerudi nyuma nyuma mmepigwa vitatu [emoji13][emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…