UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Ila watu tumekuwa tunabaguana na kudharauliana kielimu na tunaona ni kitu cha kawaida kabisa,hasa darasa la saba na form 4 wanaongoza kwa kudharauliwa na kuonekana hawana mchango wowote ule.
Hii sio sawa hasa ukizingatia wengine walishindwa kuendelea na masomo kwa changamoto mbalimbali ila wewe unakuja na kumfanya aonekane hana msaada wowote ni mtu duni kisa kaishia la 7.
Hii sio sawa hasa ukizingatia wengine walishindwa kuendelea na masomo kwa changamoto mbalimbali ila wewe unakuja na kumfanya aonekane hana msaada wowote ni mtu duni kisa kaishia la 7.