Uchaguzi 2020 Rajab Abdul "Harmonize" kugombea ubunge Tandahimba

Uchaguzi 2020 Rajab Abdul "Harmonize" kugombea ubunge Tandahimba

Uyo katan si aliunga juhudi na kuhamia ccm!!! Itakuwa mtifuano uko ccm mwaka huu katika kura za maoni
 
Hivi wale nilijua ni graduates. Ok ila mimi sikuwa katika uchama. Ni aibu mtu hata degree huna unagombea ubunge kwakuwa tu wewe ni maarufu.

Awe CHADEMA , CCM au CUF ningependa sheria iweke sifa za elimu kwa kila nafasi

Elimu ya aina gani sasa? Before all itabid ujue maana ya Elimu.
 
kuna mikoa tanzania inatofautiana kama mlima na bonde. I swear mtu mwenye kiwango cha uelewa alichonacho harmonize ni vigumu sana kupewa ubunge kwenye wilaya nyingi za mikoa wa Kilimanjarp,na Kagera. kubali kataa that is a truth
 
Hao ndio tunawahitaji tuwajaze bungeni na wakina Musukuma, Kibajaji etc

Hao tukipeleka muswada bungeni wanagonga meza tu kuunga mkono hoja maana hata kilichoandikwa ndani hawakielewi.

Bunge la kisayansi 2020-2025 linawezekana, tuwaunge mkono wagombea wa dizaini hii kwa wingi.
Mbona wanaoelewa kilichoandikwa ndani ya mikataba hakuna cha mana walichofanya
[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka hapa elimu za wabunge wote wa chadema na ccm alafu utajionea vituko viko wapi
Wabunge wa CCM ndiyo vilaza ndiyo maana CCM wananunua wabunge toka chadema kama wabunge wa CCM wangekuwa wana ujanja spika asingekuwa anawatumia kibajaji na Msukuma darasa la saba
 
Spika ajaye atapata tabu sana kuwavua heleni na kuwapandisha suruali juu ya kiuno, aina hii ya Wabunge iwapo kwa 'bahati mbaya' wataingia huko mjengoni.

Bado na wale wa Bongo Muvi!🤔 Hakika patachimbika.
Ha ha ha wasanii wa Bongo bado wanavaa mlegezo kata k hapa marekani kata K ni jukwaani tu mitaani kata hawaitaki hata American Airlines walipiga marufuku Abiria wao kuvaa kata k ukapanda Ndege zao.
 
Wale wale kina Kibajaj na Jah people na Kasheku yaani mtu kutokea kwenye kuokota makopo na chupa chakavu leo hii anakuwa mtunga sheria!
Mfano Hamonize awe mtunga Sheria Bungeni ataweza kuitunga Sheria ipi ? au ataitunga Sheria ya kuruhusu kuvaa suruali chini ya makalio hata mbele ya wazazi wake
 
Hao ndio tunawahitaji tuwajaze bungeni na wakina Musukuma, Kibajaji etc

Hao tukipeleka muswada bungeni wanagonga meza tu kuunga mkono hoja maana hata kilichoandikwa ndani hawakielewi.

Bunge la kisayansi 2020-2025 linawezekana, tuwaunge mkono wagombea wa dizaini hii kwa wingi.
Tanzania.
 
Tuwe fair hao maprofesa waliopo Bungeni wana mchango gani kwa Taifa wawapo mjengoni. Wakati mwingine tumeshuhudia std 7 bungeni wanatoa hoja zenye mashiko kuliko wasomi waliopo Bungeni
Mfano Hamonize awe mtunga Sheria Bungeni ataweza kuitunga Sheria ipi ? au ataitunga Sheria ya kuruhusu kuvaa suruali chini ya makalio hata mbele ya wazazi wake
 
Hivi wale nilijua ni graduates. Ok ila mimi sikuwa katika uchama. Ni aibu mtu hata degree huna unagombea ubunge kwakuwa tu wewe ni maarufu.

Awe CHADEMA , CCM au CUF ningependa sheria iweke sifa za elimu kwa kila nafasi
Wasomi acheni ubaguzi, kama una ubavu nendeni mkapambane, kazi za Siasa ni uwakilishi wa watu, aliye karibu nao anakuwa na mtaji wa ziada kushinda hakuna kutegemea Kubebwa na elimu yako, wananchi wamechoka kuchagua wasomi ambao hawakai majimboni wala hawana uhalisia wa maisha ya wapiga kura
 
Hapa mi sichangii kitu, SIASA za TZ ni kitu cha hovyo sana....
 
Back
Top Bottom