Rally Bwalya Simba wamepigwa mchana kweupe!

Rally Bwalya Simba wamepigwa mchana kweupe!

Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda...
Nikusahihishe hata muhogo mchungu wako ni kocha hakumtaka Ila kwa mashabiki ndio kiungo Bora na bado Bora juu ya Rally ni habari nyingine kbs tz na duniani

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda...
Hivi mwenye huu Uzi sasahivi akiusoma anajisikiaje?
 
Dah aisee nimesoma huu uzi nimecheka mpaka mbavu zinauma, mtoa mada sijui ana hali gani saiv .. nahisi ingekuwepo option ya kufuta uzi angesha futa kitambo sana [emoji23][emoji23] ..
 
Dah aisee nimesoma huu uzi nimecheka mpaka mbavu zinauma, mtoa mada sijui ana hali gani saiv .. nahisi ingekuwepo option ya kufuta uzi angesha futa kitambo sana [emoji23][emoji23] ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasikia yako anaanda uzi wa osmane sakho
 
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda!

Klabu ya Simba ifike wakati wabadilike, badala ya kusajili magarasabya kigeni kwa bei nyingi ni heri wawape nafasi wazawa tu! Huwezi ukamnunua mchezaji kwa bei kubwa halafu mechi kama ya juzi ya Plateau anawekwa benchi na mchezaji mzawa kama Mzamiru Yassin!

Ni hayo tu, povu ruksa!
Bado upo humu kwani
 
Uto mnataaaabu sana
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda!

Klabu ya Simba ifike wakati wabadilike, badala ya kusajili magarasabya kigeni kwa bei nyingi ni heri wawape nafasi wazawa tu! Huwezi ukamnunua mchezaji kwa bei kubwa halafu mechi kama ya juzi ya Plateau anawekwa benchi na mchezaji mzawa kama Mzamiru Yassin!

Ni hayo tu, povu ruksa!
 
Back
Top Bottom