Rally of Tanzania 2021 Ubena Zomozi

Scoda Fabia ya Manvir Baryan ilikuwepo kweli?..Huwa naikubali sana ile gari,na dereva wake pia anajua kuitumia..
Huwa anatesa sana kwenye WRC.
Haikuwepo hiyo. Tangu apate ajali mwaka 2019 hajarejea tena. Gari yale ili roll mara 6 nadhani atakuwa ameamua kurelax kwanza. Ni bingwa wa ARC mara tatu mfululizo 2017,2018 na 2019
 
Haikuwepo hiyo. Tangu apate ajali mwaka 2019 hajarejea tena. Gari yale ili roll mara 6 nadhani atakuwa ameamua kurelax kwanza. Ni bingwa wa ARC mara tatu mfululizo 2017,2018 na 2019
Hii ameshinda nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…