Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Scoda Fabia ya Manvir Baryan ilikuwepo kweli?..Huwa naikubali sana ile gari,na dereva wake pia anajua kuitumia..View attachment 1864526
Kitu Scoda Proto inaendeshwa na Gurjit Dhani wa Tanzania na msoma ramani ni Riyaz Ismail wa kenya
Haikuwepo hiyo. Tangu apate ajali mwaka 2019 hajarejea tena. Gari yale ili roll mara 6 nadhani atakuwa ameamua kurelax kwanza. Ni bingwa wa ARC mara tatu mfululizo 2017,2018 na 2019Scoda Fabia ya Manvir Baryan ilikuwepo kweli?..Huwa naikubali sana ile gari,na dereva wake pia anajua kuitumia..
Huwa anatesa sana kwenye WRC.
Hii ameshinda nani?Haikuwepo hiyo. Tangu apate ajali mwaka 2019 hajarejea tena. Gari yale ili roll mara 6 nadhani atakuwa ameamua kurelax kwanza. Ni bingwa wa ARC mara tatu mfululizo 2017,2018 na 2019
SUV kuifanya gari ya rally ni gharama sanaZamani kina Kinjekitile walikuwa wanashiriki mbio na ma Land Rover etc kwanini hatuoni SUV kwenye rally siku hizi? RRONDO, Mshana Jr, Extrovert na wadau wote naomba majibu
Mzee baba umerudi, karibu sana. Ulipokosekana timu ilikuwa haishambulii na pass rula za mwisho zilikosekana kama za Bruno Fernandes.SUV kuifanya gari ya rally ni gharama sana
Return of Gearhead. Karibu jamvini🚗SUV kuifanya gari ya rally ni gharama sana
Ilikuwepo Scoda Proto, Fabia ni habari nyingine mzee, Czech walitulia sana kuisuka mashineScoda Fabia ya Manvir Baryan ilikuwepo kweli?..Huwa naikubali sana ile gari,na dereva wake pia anajua kuitumia..
Huwa anatesa sana kwenye WRC.
Asante mkuuReturn of Gearhead. Karibu jamvini🚗
Carl Tundo kachukua 1st Podium akifuatiwa na Karan PatelHii ameshinda nani?
Ile mashine akiisukuma Manvir Baryan,chuma inatema mlio fulani hivi wa kibabe afu inatembea kinyama.Ilikuwepo Scoda Proto, Fabia ni habari nyingine mzee, Czech walitulia sana kuisuka mashine
Umenikumbusha Land Rover v8 ya blue ya KinjeZamani wabongo ilikuwa ni full mixer,humohumo unazikuta sedani na suv v8 yaani ili mradi umo tu!
Unashiriki na gari gani?Tuanze kufanya maandalizi kuna National Rally Championship Mwezi wa 8 mkoani Morogoro