Ramadhan Cup yaanza kutumiwa na CCM. Ally Bananga apewa nafasi, amshukuru Rais Samia kwa Ramadhan Cup

Ramadhan Cup yaanza kutumiwa na CCM. Ally Bananga apewa nafasi, amshukuru Rais Samia kwa Ramadhan Cup

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Michuano ya soka iliyochukuliwa kama burudani kwa wale waliofunga Ramadhan, huku wakisubiri daku.

Sasa ni Rasmi imegeuka na kuwa mipango ya kampeni ya CCM, bado hatujajua kama jambo hili ni Bahati mbaya au ni kitu kilichopangwa na waandaaji, na bado hatujajua kama timu zote zinazoshiriki zimekubali kutumiwa na CCM badala ya dini ya kiislam inayohusika na mwezi wa Ramadhan au la.

Bali itakuwa aibu na laana kubwa mbele ya Allah kwa michuano hii kutumiwa na CCM, chama ambacho kwa karibu miaka 70 kimeshindwa kukomboa wananchi kwenye lindi la umasikini.

Akizungumza baada ya kupewa nafasi wakati wa pambano kati ya K4S na Instanbul, Bwana Ally Bananga amemshukuru Rais kwa kukuza michezo hadi kufikia mechi za Ramadhan Cup.

Huku akisema CCM haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu , ambayo ni KMC ya Kinondoni, kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya CCM.

Bali nimesikitishwa sana na Waandaaji wa Ramadhan Cup kuikabidhi michuano hiyo kwa CCM, haya ni sawa na matusi ya nguoni kwa Wapenda soka na hata Waislam waliofunga Ramadhan, yaani viongozi wa ccm ndio mara zote wanakuwa Wageni Rasmi wa mechi hizo.

Mambo yakiendelea hivi nitajitoa rasmi kutazama michuano hii .
 
Michuano ya soka iliyochukuliwa kama burudani kwa wale waliofunga Ramadhan, huku wakisubiri daku.

Sasa ni Rasmi imegeuka na kuwa mipango ya kampeni ya CCM, bado hatujajua kama jambo hili ni Bahati mbaya au ni kitu kilichopangwa na waandaaji , na bado hatujajua kama timu zote zinazoshiriki zimekubali kutumiwa na CCM badala ya dini ya kiislam inayohusika na mwezi wa Ramadhan au la .

Bali itakuwa aibu na laana kubwa mbele ya Allah kwa michuano hii kutumiwa na CCM, chama ambacho kwa karibu miaka 70 kimeshindwa kukomboa wananchi kwenye lindi la umasikini

Akizungumza baada ya kupewa nafasi wakati wa pambano kati ya K4S na Instanbul, Bwana Ally Bananga amemshukuru Rais kwa kukuza michezo hadi kufikia mechi za Ramadhan cup.

Huku akisema ccm haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu , ambayo ni KMC ya Kinondoni , kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya ccm .

Bali nimesikitishwa sana na Waandaaji wa Ramadhan Cup kuikabidhi michuano hiyo kwa ccm , haya ni sawa na matusi ya nguoni kwa Wapenda soka na hata Waislam waliofunga Ramadhan , yaani viongozi wa ccm ndio mara zote wanakuwa Wageni Rasmi wa mechi hizo .

Mambo yakiendelea hivi nitajitoa rasmi kutazama michuano hii .
🤣 gubu ya mwendokasi hiyo dah 🐒

ulidhani angepewa fursa hiyo yule kijana wenu anae ikejeli Bakwata, ambayo ndio sura ya uislamu Tz🐒
 
Na Chadema ianze mikakati ya chini chini ya kampeni. Hapa tunahitaji akili kubwa kufikia lengo maana Policcm na CCM, ACT (tawi la CCM) na "vyama" kama hivyo wataihujumu
sasa hivi Chadema wana mkikakati ya juu kwa juu sio 🤣
 
Michuano ya soka iliyochukuliwa kama burudani kwa wale waliofunga Ramadhan, huku wakisubiri daku.

Sasa ni Rasmi imegeuka na kuwa mipango ya kampeni ya CCM, bado hatujajua kama jambo hili ni Bahati mbaya au ni kitu kilichopangwa na waandaaji , na bado hatujajua kama timu zote zinazoshiriki zimekubali kutumiwa na CCM badala ya dini ya kiislam inayohusika na mwezi wa Ramadhan au la .

Bali itakuwa aibu na laana kubwa mbele ya Allah kwa michuano hii kutumiwa na CCM, chama ambacho kwa karibu miaka 70 kimeshindwa kukomboa wananchi kwenye lindi la umasikini

Akizungumza baada ya kupewa nafasi wakati wa pambano kati ya K4S na Instanbul, Bwana Ally Bananga amemshukuru Rais kwa kukuza michezo hadi kufikia mechi za Ramadhan cup.

Huku akisema ccm haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu , ambayo ni KMC ya Kinondoni , kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya ccm .

Bali nimesikitishwa sana na Waandaaji wa Ramadhan Cup kuikabidhi michuano hiyo kwa ccm , haya ni sawa na matusi ya nguoni kwa Wapenda soka na hata Waislam waliofunga Ramadhan , yaani viongozi wa ccm ndio mara zote wanakuwa Wageni Rasmi wa mechi hizo .

Mambo yakiendelea hivi nitajitoa rasmi kutazama michuano hii .
Innallillah wainnah raajiun. Ramadhani mwezi wa kufanya ibada ndio wameekewa mipira? Dah masheikh wanatakiwa wawakumbushe waislam kuwa ramadhan sio mwezi wa kuchezea
 
Michuano ya soka iliyochukuliwa kama burudani kwa wale waliofunga Ramadhan, huku wakisubiri daku.

Sasa ni Rasmi imegeuka na kuwa mipango ya kampeni ya CCM, bado hatujajua kama jambo hili ni Bahati mbaya au ni kitu kilichopangwa na waandaaji , na bado hatujajua kama timu zote zinazoshiriki zimekubali kutumiwa na CCM badala ya dini ya kiislam inayohusika na mwezi wa Ramadhan au la .

Bali itakuwa aibu na laana kubwa mbele ya Allah kwa michuano hii kutumiwa na CCM, chama ambacho kwa karibu miaka 70 kimeshindwa kukomboa wananchi kwenye lindi la umasikini

Akizungumza baada ya kupewa nafasi wakati wa pambano kati ya K4S na Instanbul, Bwana Ally Bananga amemshukuru Rais kwa kukuza michezo hadi kufikia mechi za Ramadhan cup.

Huku akisema ccm haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu , ambayo ni KMC ya Kinondoni , kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya ccm .

Bali nimesikitishwa sana na Waandaaji wa Ramadhan Cup kuikabidhi michuano hiyo kwa ccm , haya ni sawa na matusi ya nguoni kwa Wapenda soka na hata Waislam waliofunga Ramadhan , yaani viongozi wa ccm ndio mara zote wanakuwa Wageni Rasmi wa mechi hizo .

Mambo yakiendelea hivi nitajitoa rasmi kutazama michuano hii .
Mashindano ya wasio kuwa na kazi, Iddle men,
 
Michuano ya soka iliyochukuliwa kama burudani kwa wale waliofunga Ramadhan, huku wakisubiri daku.

Sasa ni Rasmi imegeuka na kuwa mipango ya kampeni ya CCM, bado hatujajua kama jambo hili ni Bahati mbaya au ni kitu kilichopangwa na waandaaji , na bado hatujajua kama timu zote zinazoshiriki zimekubali kutumiwa na CCM badala ya dini ya kiislam inayohusika na mwezi wa Ramadhan au la .

Bali itakuwa aibu na laana kubwa mbele ya Allah kwa michuano hii kutumiwa na CCM, chama ambacho kwa karibu miaka 70 kimeshindwa kukomboa wananchi kwenye lindi la umasikini

Akizungumza baada ya kupewa nafasi wakati wa pambano kati ya K4S na Instanbul, Bwana Ally Bananga amemshukuru Rais kwa kukuza michezo hadi kufikia mechi za Ramadhan cup.

Huku akisema ccm haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu , ambayo ni KMC ya Kinondoni , kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya ccm .

Bali nimesikitishwa sana na Waandaaji wa Ramadhan Cup kuikabidhi michuano hiyo kwa ccm , haya ni sawa na matusi ya nguoni kwa Wapenda soka na hata Waislam waliofunga Ramadhan , yaani viongozi wa ccm ndio mara zote wanakuwa Wageni Rasmi wa mechi hizo .

Mambo yakiendelea hivi nitajitoa rasmi kutazama michuano hii .
BAKWATA inajulikana ni CCM na si chama cha kupeleka watu mbinguni, wanao jielewa washajitoa huko siku nyingi.
Ni sawa tu na CCT ya walutheri na wamorovian, TEC kina Pengo na Askofu wa KKKT kule Moshi NI EXTENTION YA CCM.
 
Michuano ya soka iliyochukuliwa kama burudani kwa wale waliofunga Ramadhan, huku wakisubiri daku.

Sasa ni Rasmi imegeuka na kuwa mipango ya kampeni ya CCM, bado hatujajua kama jambo hili ni Bahati mbaya au ni kitu kilichopangwa na waandaaji , na bado hatujajua kama timu zote zinazoshiriki zimekubali kutumiwa na CCM badala ya dini ya kiislam inayohusika na mwezi wa Ramadhan au la .

Bali itakuwa aibu na laana kubwa mbele ya Allah kwa michuano hii kutumiwa na CCM, chama ambacho kwa karibu miaka 70 kimeshindwa kukomboa wananchi kwenye lindi la umasikini

Akizungumza baada ya kupewa nafasi wakati wa pambano kati ya K4S na Instanbul, Bwana Ally Bananga amemshukuru Rais kwa kukuza michezo hadi kufikia mechi za Ramadhan cup.

Huku akisema ccm haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu , ambayo ni KMC ya Kinondoni , kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya ccm .

Bali nimesikitishwa sana na Waandaaji wa Ramadhan Cup kuikabidhi michuano hiyo kwa ccm , haya ni sawa na matusi ya nguoni kwa Wapenda soka na hata Waislam waliofunga Ramadhan , yaani viongozi wa ccm ndio mara zote wanakuwa Wageni Rasmi wa mechi hizo .

Mambo yakiendelea hivi nitajitoa rasmi kutazama michuano hii .
Na nyie Chadema itumieni kwani Kuna shida gani? Maana mumezidi ulalamishi usio na msingi
 
Wewe endelea kulia lia na kujiliza utafikiri kengele huku CCM ikichanja mbuga katika mioyo ya Mamilioni ya watanzania. Si ni majuzi hapa ulikuwa unachekelea mabonanza ya wahuni wa Ba vichaa kule Iringa? Sasa nini kinakububujisha machozi kwa sasa? Kaa kwa kutulia uendelee kuona chama kiongozi CCM kinavyopasua mawimbi.
 
Na Chadema ianze mikakati ya chini chini ya kampeni. Hapa tunahitaji akili kubwa kufikia lengo maana Policcm na CCM, ACT (tawi la CCM) na "vyama" kama hivyo wataihujumu
Sahihi, Chadema na upinzani kwa ujumla walipaswa kuwa wameanza kampeni mapema.
 
Michuano ya soka iliyochukuliwa kama burudani kwa wale waliofunga Ramadhan, huku wakisubiri daku.

Sasa ni Rasmi imegeuka na kuwa mipango ya kampeni ya CCM, bado hatujajua kama jambo hili ni Bahati mbaya au ni kitu kilichopangwa na waandaaji , na bado hatujajua kama timu zote zinazoshiriki zimekubali kutumiwa na CCM badala ya dini ya kiislam inayohusika na mwezi wa Ramadhan au la .

Bali itakuwa aibu na laana kubwa mbele ya Allah kwa michuano hii kutumiwa na CCM, chama ambacho kwa karibu miaka 70 kimeshindwa kukomboa wananchi kwenye lindi la umasikini

Akizungumza baada ya kupewa nafasi wakati wa pambano kati ya K4S na Instanbul, Bwana Ally Bananga amemshukuru Rais kwa kukuza michezo hadi kufikia mechi za Ramadhan cup.

Huku akisema ccm haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu , ambayo ni KMC ya Kinondoni , kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya ccm .

Bali nimesikitishwa sana na Waandaaji wa Ramadhan Cup kuikabidhi michuano hiyo kwa ccm , haya ni sawa na matusi ya nguoni kwa Wapenda soka na hata Waislam waliofunga Ramadhan , yaani viongozi wa ccm ndio mara zote wanakuwa Wageni Rasmi wa mechi hizo .

Mambo yakiendelea hivi nitajitoa rasmi kutazama michuano hii .
pole sana jikaze ndio tatizo la ccm ni kama maji!
 
Na Chadema ianze mikakati ya chini chini ya kampeni. Hapa tunahitaji akili kubwa kufikia lengo maana Policcm na CCM, ACT (tawi la CCM) na "vyama" kama hivyo wataihujumu
Kwani maandamano mnayfanya sio sehemu ya kampeni?
 
Hujui dini kuwashinda FaizaFoxy na Ritz

Imam Bukhary na Imam Muslim wamepokea kutoka kwa Abiy Saiyd Al Khudriy (ALLAH ﷻ amuwie radhi) ambaye amesema kuwa Amesema Mtume wa ALLAH ﷺ
✨ Mtaufuata mwenendo wa waliokuwa kabla yenu hatua kwa hatua, dhiraa kwa dhiraa mpaka lau wataingia kwenye shimo la mburukenge mtaingia pamoja nao""
Maswahaba wakauliza ""Ewe Mjumbe wa ALLAH, unamaanisha Wayahudi na Manaswara?
Akajibu ﷺ;
✨Nani wengine kama sio hao?.

Ramadhan lkarim
 
Imam Bukhary na Imam Muslim wamepokea kutoka kwa Abiy Saiyd Al Khudriy (ALLAH ﷻ amuwie radhi) ambaye amesema kuwa Amesema Mtume wa ALLAH ﷺ
✨ Mtaufuata mwenendo wa waliokuwa kabla yenu hatua kwa hatua, dhiraa kwa dhiraa mpaka lau wataingia kwenye shimo la mburukenge mtaingia pamoja nao""
Maswahaba wakauliza ""Ewe Mjumbe wa ALLAH, unamaanisha Wayahudi na Manaswara?
Akajibu ﷺ;
✨Nani wengine kama sio hao?.

Ramadhan lkarim
Takhbiiiiirrrrrr
 
Michuano ya soka iliyochukuliwa kama burudani kwa wale waliofunga Ramadhan, huku wakisubiri daku.

Sasa ni Rasmi imegeuka na kuwa mipango ya kampeni ya CCM, bado hatujajua kama jambo hili ni Bahati mbaya au ni kitu kilichopangwa na waandaaji, na bado hatujajua kama timu zote zinazoshiriki zimekubali kutumiwa na CCM badala ya dini ya kiislam inayohusika na mwezi wa Ramadhan au la.

Bali itakuwa aibu na laana kubwa mbele ya Allah kwa michuano hii kutumiwa na CCM, chama ambacho kwa karibu miaka 70 kimeshindwa kukomboa wananchi kwenye lindi la umasikini.

Akizungumza baada ya kupewa nafasi wakati wa pambano kati ya K4S na Instanbul, Bwana Ally Bananga amemshukuru Rais kwa kukuza michezo hadi kufikia mechi za Ramadhan Cup.

Huku akisema CCM haikubaki nyuma kwenye michezo na ndio maana inamiliki timu kwenye ligi kuu , ambayo ni KMC ya Kinondoni, kiukweli sikuwahi kudhani timu ile ni mali ya CCM.

Bali nimesikitishwa sana na Waandaaji wa Ramadhan Cup kuikabidhi michuano hiyo kwa CCM, haya ni sawa na matusi ya nguoni kwa Wapenda soka na hata Waislam waliofunga Ramadhan, yaani viongozi wa ccm ndio mara zote wanakuwa Wageni Rasmi wa mechi hizo.

Mambo yakiendelea hivi nitajitoa rasmi kutazama michuano hii .
Isusieni michuano ya kikuda
 
Back
Top Bottom