Dada upo london nn ?
ukiachana na funga yenyewe, utukufu wa mwezi huu ni pamoja na kuteremshwa qu'ran pia ni mwezi ambao usiku wa lailatul qadr upatikana, in sha allah wenye ilm na maarifa zaidi wataongezea.swali zuri, ngoja waje kutoa ufafanuzi
Nasaha za maana allah akulipe kila la kheri, mimi nisaidie tu kwa Aaliyyah nikufanye mshenga akhy 👐.Aamin. Allah akulipe kheri dada yangu Aaliyyah, ila hapo kwenye Inshallah, toa weka Aamin. Sababu;
Hadith: None of you should say: O Allah, forgive me if You will; O Allah, be Merciful to me if You will; but he should appeal to Allah with determination, for nobody can force Allah to do something against His will....
Hata hiyo inatosha sana Jaza ka Allah kheirukiachana na funga yenyewe, utukufu wa mwezi huu ni pamoja na kuteremshwa qu'ran pia ni mwezi ambao usiku wa lailatul qadr upatikana, in sha allah wenye ilm na maarifa zaidi wataongezea.
Huna akili 😀😀Madem nao bye-bye
Ni wakati mwingine wa kuelekea toba. Ya dunia yanatuchanganya lakini Allah atatusaidia tuyashinde.
Ninaona madem wa bar wakizidi kunawiri na bia zenyewe utamu ujizidi.
Ada sidaiwi usiniulize maswali
Nimesikia Takbir nikiwa naongea na wanangu hukowakuu vipi mwezi umeonekana
UmeshatangazwaTukutane hapa kwa dondoo za mfungo
1. Je umeendama?
Tayari mkuusaudia tayari vipi bongo