Ramadhan Special Thread

Ramadhan Special Thread

IJUE SWAUM YAKO 1โƒฃ1โƒฃ
๐Ÿ“š ุณุคุงู„ ูˆุฌูˆุงุจ ููŠ ุฃุญูƒุงู… ุงู„ุตูŠุงู….

๐Ÿ“œ KWA SHARTI HILI ITAFAA KUPIGA MSWAKI NA DAWA YA MENO KWA ALIYEFUNGA, MCHANA WA RAMADHAN.

Swali:
Ni ipi hukumu ya kupiga mswaki kwa kutumia dawa ya meno wakati wa mchana kwa mtu aliyefunga?

Jawabu:
Kupiga mswaki kwa kutumia dawa ya meno wakati wa mchana kwa mtu aliyefunga, ni sawa iwe katika mwezi wa Ramadhani au miezi mingine, hakuna tatizo endapo haikupita kwenye koo na kuingia tumboni.

Lakini iliyo bora ni kuacha kutumia, kwa sababu inapenya kwa haraka (kuingia tumboni), kwa hiyo huenda ikapita na kuingia tumboni hali ya kuwa mtu hajui.

โœ๏ธ ูุถูŠู„ุฉ ุงู„ุดูŠุฎ ู…ุญู…ุฏ ุงู„ุนุซูŠู…ูŠู† ุฑุญู…ู‡ ุงู„ู„ู‡
Tarjama; Ustadh Abu Halima Arafat ุญูุธู‡ ุงู„ู„ู‡ ุชุนุงู„ู‰ ูˆุฑุนุงู‡

โ€ขโ”ˆโ”ˆโ”ˆโ”ˆโ€ขโœฟโโœฟโ€ขโ”ˆโ”ˆโ”ˆโ”ˆโ€ข
๐ŸŒฑ ุฌุฒู‰ ุงู„ู„ู‡ ุฎูŠุฑู‹ุง ู…ู† ู‚ุฑุฃู‡ุง ูˆุนู…ู„ ุจู‡ุง ูˆุณุงุนุฏู†ุง ุนู„ู‰ ู†ุดุฑู‡ุง..
ููŽุงู„ุฏู‘ูŽุงู„ู‘ู ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู’ุฎูŽูŠู’ุฑู ูƒูŽููŽุงุนูู„ูู‡
 
IJUE SWAUM YAKO 0โƒฃ1โƒฃ
๐Ÿ“šุณุคุงู„ ูˆุฌูˆุงุจ ููŠ ุฃุญูƒุงู… ุงู„ุตูŠุงู….
โœ๏ธ ู„ูุถูŠู„ุฉ ุงู„ุดูŠุฎ ู…ุญู…ุฏ ุงู„ุนุซูŠู…ูŠู† ุฑุญู…ู‡ ุงู„ู„ู‡

๐Ÿ“œ JE NIA YA SIKU YA KWANZA YA RAMADHANI INATOSHA KWA MWEZI MZIMAโ“

SWALI 01;
Je, kunuwia siku ya kwanza katika mwezi wa Ramadhani kunatosheleza kuwa ndio Nia ya mwezi mzima?

JAWABU;
Nia ya siku ya kwanza ya Ramadhani inatosheleza, wala si mwenye kuhitajia kuifanya upya Nia yake kila siku.
Isipokuwa ikipatikana sababu ambayo ameruhusiwa yeye kula mchana (wa Ramadhani) atakula, na akitaka kuendelea tena na saumu atanuwia upya.

Tarjama; Ustadh Abu Halima Arafat ุญูุธู‡ ุงู„ู„ู‡ ุชุนุงู„ู‰ ูˆุฑุนุงู‡


โ€ขโ”ˆโ”ˆโ”ˆโ”ˆโ€ขโœฟโโœฟโ€ขโ”ˆโ”ˆโ”ˆโ”ˆโ€ข
๐ŸŒฑ ุฌุฒู‰ ุงู„ู„ู‡ ุฎูŠุฑู‹ุง ู…ู† ู‚ุฑุฃู‡ุง ูˆุนู…ู„ ุจู‡ุง ูˆุณุงุนุฏู†ุง ุนู„ู‰ ู†ุดุฑู‡ุง..
ููŽุงู„ุฏู‘ูŽุงู„ู‘ู ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู’ุฎูŽูŠู’ุฑู ูƒูŽููŽุงุนูู„ูู‡
 
b49c0f541160424db2f217d1972b2507.jpg
 
Mmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh
 
Mmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh
Hii kweli! Zamani wslikua wanakula nje kwenye mkeka ukipita unaitwa au wanapitisha nyumba hadi nyumba.
 
Mmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh
njoo kwetu huo utaratibu bado upo na wifi yako kaondoka fika bila kukosa
 
Mmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh
Ukute hayo majumba hata watu hawamo tena. Na kama wamo basi sio wale wale mnaowajua nyie hao mnaowaita wa 'zamani'
Binafsi Ramadhan karibu yote nafutaria ofisini, huyo jirani nampelekea nini! Maisha yamebadilika sio tena km yale tuliotoka zama hizo.
Ila nafkiri kuna baadhi ya sehemu bado watu wanaendeleza huo utaratibu. Sema ukute na wewe jirani hata nyumbani hukai kwa mihangaiko ya kutwa. Unarudi nyumbani kulala tu kama umepanga room hotel
 
Ukute hayo majumba hata watu hawamo tena. Na kama wamo basi sio wale wale mnaowajua nyie hao mnaowaita wa 'zamani'
Binafsi Ramadhan karibu yote nafutaria ofisini, huyo jirani nampelekea nini! Maisha yamebadilika sio tena km yale tuliotoka zama hizo.
Ila nafkiri kuna baadhi ya sehemu bado watu wanaendeleza huo utaratibu. Sema ukute na wewe jirani hata nyumbani hukai kwa mihangaiko ya kutwa. Unarudi nyumbani kulala tu kama umepanga room hotel
Inshort zama zimebadilika...
 
Ukute hayo majumba hata watu hawamo tena. Na kama wamo basi sio wale wale mnaowajua nyie hao mnaowaita wa 'zamani'
Binafsi Ramadhan karibu yote nafutaria ofisini, huyo jirani nampelekea nini! Maisha yamebadilika sio tena km yale tuliotoka zama hizo.
Ila nafkiri kuna baadhi ya sehemu bado watu wanaendeleza huo utaratibu. Sema ukute na wewe jirani hata nyumbani hukai kwa mihangaiko ya kutwa. Unarudi nyumbani kulala tu kama umepanga room hotel
Sahihi na ikitokea upo nyumban unakaanga mayai mawili umemaliza, japo kwa upande wangu hua natafuta siku moja ya kualika watu wachache tufuturu pamoja ili kupata fadhila za kufuturisha
 
Mmekua wachoyo mno siku hizi..zamani daah tulifaidi aiseee....uji..mara chapati kdg tambi...
Yani siku hzi mnajifungia manyumbani kwenu sio tena vibarazani...
Aaaaaghhhh
Maisha ya sasa yanafosi watu waishi hivyo. Vitu gharama zipo juu hivyo chakula kinachopatikana hakitoshelezi
 
Back
Top Bottom