adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
IJUE SWAUM YAKO 1โฃ1โฃ
๐ ุณุคุงู ูุฌูุงุจ ูู ุฃุญูุงู ุงูุตูุงู .
๐ KWA SHARTI HILI ITAFAA KUPIGA MSWAKI NA DAWA YA MENO KWA ALIYEFUNGA, MCHANA WA RAMADHAN.
Swali:
Ni ipi hukumu ya kupiga mswaki kwa kutumia dawa ya meno wakati wa mchana kwa mtu aliyefunga?
Jawabu:
Kupiga mswaki kwa kutumia dawa ya meno wakati wa mchana kwa mtu aliyefunga, ni sawa iwe katika mwezi wa Ramadhani au miezi mingine, hakuna tatizo endapo haikupita kwenye koo na kuingia tumboni.
Lakini iliyo bora ni kuacha kutumia, kwa sababu inapenya kwa haraka (kuingia tumboni), kwa hiyo huenda ikapita na kuingia tumboni hali ya kuwa mtu hajui.
โ๏ธ ูุถููุฉ ุงูุดูุฎ ู ุญู ุฏ ุงูุนุซูู ูู ุฑุญู ู ุงููู
Tarjama; Ustadh Abu Halima Arafat ุญูุธู ุงููู ุชุนุงูู ูุฑุนุงู
โขโโโโโขโฟโโฟโขโโโโโข
๐ฑ ุฌุฒู ุงููู ุฎูุฑูุง ู ู ูุฑุฃูุง ูุนู ู ุจูุง ูุณุงุนุฏูุง ุนูู ูุดุฑูุง..
ููุงูุฏููุงููู ุนูููู ุงููุฎูููุฑู ููููุงุนูููู
๐ ุณุคุงู ูุฌูุงุจ ูู ุฃุญูุงู ุงูุตูุงู .
๐ KWA SHARTI HILI ITAFAA KUPIGA MSWAKI NA DAWA YA MENO KWA ALIYEFUNGA, MCHANA WA RAMADHAN.
Swali:
Ni ipi hukumu ya kupiga mswaki kwa kutumia dawa ya meno wakati wa mchana kwa mtu aliyefunga?
Jawabu:
Kupiga mswaki kwa kutumia dawa ya meno wakati wa mchana kwa mtu aliyefunga, ni sawa iwe katika mwezi wa Ramadhani au miezi mingine, hakuna tatizo endapo haikupita kwenye koo na kuingia tumboni.
Lakini iliyo bora ni kuacha kutumia, kwa sababu inapenya kwa haraka (kuingia tumboni), kwa hiyo huenda ikapita na kuingia tumboni hali ya kuwa mtu hajui.
โ๏ธ ูุถููุฉ ุงูุดูุฎ ู ุญู ุฏ ุงูุนุซูู ูู ุฑุญู ู ุงููู
Tarjama; Ustadh Abu Halima Arafat ุญูุธู ุงููู ุชุนุงูู ูุฑุนุงู
โขโโโโโขโฟโโฟโขโโโโโข
๐ฑ ุฌุฒู ุงููู ุฎูุฑูุง ู ู ูุฑุฃูุง ูุนู ู ุจูุง ูุณุงุนุฏูุง ุนูู ูุดุฑูุง..
ููุงูุฏููุงููู ุนูููู ุงููุฎูููุฑู ููููุงุนูููู