Hivi wewe mkuu, ule hiyo saa kumi alfajiri ndiiii, tumbo nga nga nga! Utahitaji tena kula mchana? Hamna kufunga hapo... Kufunga ushinde na njaa, wanatujazia ushuzi tu kwenye magari, maana wakishashiba hiyo alfajiri,.. Na wanavyojua kuchanganya vitu, mahindi, Mayai, ugali, mapera,.. Sasa usubiri kujamba tu mchana.. Kila la heri Jamaa zangu watoto wa mama Mdogo,.... Mungu wenu akawape hitaji la moyo wenu, mkapunguze chuki,.
hayo maswali yenu zipo thread humu jf hizo mada zimejibiwa naomba mzitafute
ningewajibu ila najua mnataka ligi so mtaharibu malengo ya huu uzi
bundle ni za kwenu siwapingii cha kupost, tunawaomba wakuu kwa ihsani yenu