Ok umeshinda huwa sipendi kubishana na muislamu mwenzangu
.kwani emoji ambayo kaitumia yeye amesema ni ibada au ametumia kama ada ya kuwakilisha jambo fulani?
Wew hutaki kuelekezwa nimeamua bora ubaki na ubishi wakoHapa hatushindani wala hatutafuti mshindi,bali tunaelekezana.
Kubishana si katika tabia nja na hii si katika tabia yangu.
Nipo ...
Ramadhani Mubarak nawe pia nduguRamadhan Mubarak ndugu zangu katika imani
Mkuu maana ya karerm ni nini mbona wahangaika sana?
Ebu tuliza akili sio kila fatwaa wataka kuitawanya na kuitumia pasi na adillah.
Maana YA KARIM ni ipi katika lugha ya kiswahili?
Ramadhan MubarakMbona uzi wa ramadhaan mmeugeuza kijiwe cha gahawa wazee baba?
Halafu ulicho elezea haupingi bali unakubaliana na Ramadhan KareemMaana ya Karimu nimeilezea huko nyuma.
Nakuuliza swalo dogo. Wewe huu msemo wa "Ramadhani Kareem" umeutoa wapi?
Wew hutaki kuelekezwa nimeamua bora ubaki na ubishi wako
Halafu ulicho elezea haupingi bali unakubaliana na Ramadhan Kareem
Nitakujibu ila lazima na wew unijibu hili ni wapi kwenye Quran wamekataza kutamka neno Ramadhan KareemSawa.
Ila naomba unijibu swali hili.
Msemo wa Ramadhani Kareem umeutoa wapi ? Kwenye Qur'aan au Hadithi au umeutoa wapi ?
Kwa sababu tukio ni la msimuHuu uzi wa msimu
NimeelewaUtakuwa hujaelewa.
Ramadhan kareem, ndugu.Ramadhan Mubarak
Nitakujibu ila lazima na wew unijibu hili ni wapi kwenye Quran wamekataza kutamka neno Ramadhan Kareem
Aliyetumia katumia kwa lengo gani?Hili swali ulitakiwa uulize baada ya wewe kujua ni ipi asili ya ile ishara na ina maana gani ?
Jamaa hafanyi fea,ni mtu wa chenga nyingiiiWew hutaki kuelekezwa nimeamua bora ubaki na ubishi wako
.Leo kwani tarehe ngapi, Islamic date?